Uchaguzi 2020 Kijana mbaroni kwa kuchana picha za Magufuli

Uchaguzi 2020 Kijana mbaroni kwa kuchana picha za Magufuli

"Takwimu zao zinaonyesha hakuna dalili yoyote kwa Mgombea wa Chama cha Meko full kupata hata asilimia 40 ya kura. Chama cha Meko full wameshakata tamaa na ushindi. Kwa msingi huo wamepangwa kumtangaza Mgombea wa Chama Cha Meko full usiku wa manane.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wamechanganyikiwa haswaa
 
"Takwimu zao zinaonyesha hakuna dalili yoyote kwa Mgombea wa Chama cha Meko full kupata hata asilimia 40 ya kura. Chama cha Meko full wameshakata tamaa na ushindi. Kwa msingi huo wamepangwa kumtangaza Mgombea wa Chama Cha Meko full usiku wa manane.

Sent using Jamii Forums mobile app
Raisbwetu ameshatuambia kuwa ni lazima kuzilinda kura zetu na isipite saa 6 ya tarehe 28
 
Na tutazilinda lwa nguvu zetu zote, hatuohopi wallah, watatujua mwala huu, ni jino kwa jino
Kiufupi magufuli hana namna ya kufanya zaidi ya kutupisha.
Na akitaka kufanya ujinga kama niliousikia leo wa kusistiza vijana kuwa wapole bac aandae ticket ya kwenda abroad
 
Kwamujibu wa sheria zauchaguzi hairuhusiwi kuchana mabango ya wagombea kama wahusika wakiona na kutoa taarifa na ukajulikana na kukawa na ushahidi unaingia matatani.
Tuwaache mbuzi wachane ila sisi wanadamu tuache huo upuuzi. Siasa nikuvumiliana

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
kama wamebandika kwa frame zako na hutaki je?
 
Unajua hadi sir GOD akiangalia anashangaa unakuta labda anasema cheki wale wamemkamata mtu kisa kachana picha ya mtu ambae uongozi wake unaisha huku huku duniani ;;; ona wale wengine wanaiba kura daaa kuna vitu vinachekesha asee
 
Kiufupi magufuli hana namna ya kufanya zaidi ya kutupisha.
Na akitaka kufanya ujinga kama niliousikia leo wa kusistiza vijana kuwa wapole bac aandae ticket ya kwenda abroad
Tatizo hata abroad hawamtaki, na anaogopa kupanda ndege, bila kusahau lugha inamsumbua mzee baba
 
[emoji16][emoji16] Tundu lisu alisema tamuweka kwenye ndege na kumrjdisha kwao chato kwa kuwa maejenga uwanja wa hadhi ya international 3km
Tatizo hata abroad hawamtaki, na anaogopa kupanda ndege, bila kusahau lugha inamsumbua mzee baba
 
Back
Top Bottom