Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Tena huyo alipaswa kwenda na wale mbuzi wetu kwenda kuchana chana matakataka yote ya chama cha meko full
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamechanganyikiwa haswaa"Takwimu zao zinaonyesha hakuna dalili yoyote kwa Mgombea wa Chama cha Meko full kupata hata asilimia 40 ya kura. Chama cha Meko full wameshakata tamaa na ushindi. Kwa msingi huo wamepangwa kumtangaza Mgombea wa Chama Cha Meko full usiku wa manane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Raisbwetu ameshatuambia kuwa ni lazima kuzilinda kura zetu na isipite saa 6 ya tarehe 28"Takwimu zao zinaonyesha hakuna dalili yoyote kwa Mgombea wa Chama cha Meko full kupata hata asilimia 40 ya kura. Chama cha Meko full wameshakata tamaa na ushindi. Kwa msingi huo wamepangwa kumtangaza Mgombea wa Chama Cha Meko full usiku wa manane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na tutazilinda lwa nguvu zetu zote, hatuohopi wallah, watatujua mwala huu, ni jino kwa jinoRaisbwetu ameshatuambia kuwa ni lazima kuzilinda kura zetu na isipite saa 6 ya tarehe 28
Kiufupi magufuli hana namna ya kufanya zaidi ya kutupisha.Na tutazilinda lwa nguvu zetu zote, hatuohopi wallah, watatujua mwala huu, ni jino kwa jino
Yule mbuzi alipigwa sana sijui kama alipona!Wakakamate na zile mbuzi zilizochana
Ila za Lissu zikichanwa poa tu hata wakishusha bendera za chadema poa tu ?
kama wamebandika kwa frame zako na hutaki je?Kwamujibu wa sheria zauchaguzi hairuhusiwi kuchana mabango ya wagombea kama wahusika wakiona na kutoa taarifa na ukajulikana na kukawa na ushahidi unaingia matatani.
Tuwaache mbuzi wachane ila sisi wanadamu tuache huo upuuzi. Siasa nikuvumiliana
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Tatizo hata abroad hawamtaki, na anaogopa kupanda ndege, bila kusahau lugha inamsumbua mzee babaKiufupi magufuli hana namna ya kufanya zaidi ya kutupisha.
Na akitaka kufanya ujinga kama niliousikia leo wa kusistiza vijana kuwa wapole bac aandae ticket ya kwenda abroad
Tatizo hata abroad hawamtaki, na anaogopa kupanda ndege, bila kusahau lugha inamsumbua mzee baba
Chato ataenda tu, akiona hapafai akake burigi kabisa[emoji16][emoji16] Tundu lisu alisema tamuweka kwenye ndege na kumrjdisha kwao chato kwa kuwa maejenga uwanja wa hadhi ya international 3km
Anaweza kula senene mpk anakufa kwa adhabu atakayo pewaChato ataenda tu, akiona hapafai akake burigi kabisa