Uchaguzi 2020 Kijana mbaroni kwa kuchana picha za Magufuli

Vipi zinapochanwa za upinzani eg chadema?
Kwanza ukienda hata kutoa taarifa polisi watakuweka ndani wewe unaetoa taarifa na ukabambikiwa kesi ya kubaka!
 
Unatekenywa beki
 
Kwanza kuweka hayo mabango ni ufujaji wa fedha na ubadhilifu mkubwa
 
Mvua imenyesha last week na kuharibu hayo mabango na picha zao hatukuona wanasema kitu wala kuonekana kusikitika.

Wamuachie kijana wa watu. Mungu anawaona.
 
Nchi imekuwa ya ovyo hii, mbona mbuzi wakizitafuna hawawakamati??
 
Hivi wale waliochana picha za chadema na kushusha bendera walikamatwa?
 
"Takwimu zao zinaonyesha hakuna dalili yoyote kwa Mgombea wa Chama cha Meko full kupata hata asilimia 40 ya kura. Chama cha Meko full wameshakata tamaa na ushindi. Kwa msingi huo wamepangwa kumtangaza Mgombea wa Chama Cha Meko full usiku wa manane.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…