pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Unatekenywa beki[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wajitokeze wenzake kutoka humu Jf wakamtoe maana ni kijana wa humuhumu. Nadhani akiwa huko ndo atajua Sasa kuwa ile support ya nyuma ya keyboard, haina uhalisia wowote uraiani.
Kama unamchukia Rais na hutaki aendelee kukaa madarakani, kwanini usihamasishe Vijana wenzio mkapige kura kwa wingi? Kwahiyo kuchana hizo picha kungebadilisha Nini Sasa[emoji848].
muulize m.meoHivi Lissu yupo wapi Leo kwa kampeni? Eti makamanda
Kwa sasa nipo KILINDI Tanga na ndiko hakuna bango hata moja la chama kingine tofauti na ccmWewe uko wapi hapo Mkuu ??.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unataka Kuja jeny msambwanda
Ova
Ndio maana watu wanakimbizana kuwania zulia jekundu. Huyo DC anatetea heshima ya raia namba moja wa nchi.Hahah Maisha bana,picha ya Magu imechanwa mpk RPC anaongea.
Hee, watu watabanwa na pumu leo.Tanga lipo gari la mkaa leo. Linamwaga moshi huko nyuma balaa!!;
Mwenye mbuzi. Alipaswa kumzuia.Kule Daresalama tuliona youtube clip ikimuonesha mbuzi akiwa anachana bango la Gwajima, hapo Mambosasa atamshtaki nani ??.
Lile lenye vyuma chakavu liko wapi leo?Tanga lipo gari la mkaa leo. Linamwaga moshi huko nyuma balaa!!
We nae ngumu sana kukuelewa. Mara unataka njano na kijani mara umehamia Red na Blue.Hivi Lissu yupo wapi Leo kwa kampeni? Eti makamanda
Washakuwa supu mda mbona?Wakakamate na zile mbuzi zilizochana
Utopolo huwezi kunielewaWe nae ngumu sana kukuelewa. Mara unataka njano na kijani mara umehamia Red na Blue.
mwisho utakuwa Purple tushindwe kukuelewa
Ati?Utopolo huwezi kunielewa
Hivi wale waliochana picha za chadema na kushusha bendera walikamatwa?POLISI mkoani Morogoro wamemkamata mtu aliyetambuliwa kwa jina la Isihaka Exavery (20) mkazi wa Mkundi, manispaa ya Morogoro kwa tuhuma za kuchana picha za mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli.
Kijana huyo pia anatuhumiwa kuchana picha za mgombea udiwani kata ya Mkundi kupitia CCM .
Kamanda wa Polisi wa mkoa huo Wilbroad Mutafungwa, alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea Oktoba 15 mwaka huu saa tano asubuhi katika mtaa wa Mlimani, kata ya Mkundi, Manispaa ya Morogoro.
Kamanda Mutafungwa alisema kijana huyo alichana picha za Magufuli na za ombea Seif Zahoro Chomoka, akakimbia.
Alisema, Polisi baada ya kupata taarifa hizo walifika eneo la tukio na kuanza msako na kwa kushirikiana na wananchi walioshuhudia tukio hilo walimkamata mtuhumiwa huyo na picha alizochana.
Kamanda Mutafungwa alisema Polisi wanaendelea kumhoji kijana huyo na kwamba upepelezi ukikamilika atafikishwa mahakamani.
"Takwimu zao zinaonyesha hakuna dalili yoyote kwa Mgombea wa Chama cha Meko full kupata hata asilimia 40 ya kura. Chama cha Meko full wameshakata tamaa na ushindi. Kwa msingi huo wamepangwa kumtangaza Mgombea wa Chama Cha Meko full usiku wa manane.POLISI mkoani Morogoro wamemkamata mtu aliyetambuliwa kwa jina la Isihaka Exavery (20) mkazi wa Mkundi, manispaa ya Morogoro kwa tuhuma za kuchana picha za mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli.
Kijana huyo pia anatuhumiwa kuchana picha za mgombea udiwani kata ya Mkundi kupitia CCM .
Kamanda wa Polisi wa mkoa huo Wilbroad Mutafungwa, alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea Oktoba 15 mwaka huu saa tano asubuhi katika mtaa wa Mlimani, kata ya Mkundi, Manispaa ya Morogoro.
Kamanda Mutafungwa alisema kijana huyo alichana picha za Magufuli na za ombea Seif Zahoro Chomoka, akakimbia.
Alisema, Polisi baada ya kupata taarifa hizo walifika eneo la tukio na kuanza msako na kwa kushirikiana na wananchi walioshuhudia tukio hilo walimkamata mtuhumiwa huyo na picha alizochana.
Kamanda Mutafungwa alisema Polisi wanaendelea kumhoji kijana huyo na kwamba upepelezi ukikamilika atafikishwa mahakamani.