Anonymous77
JF-Expert Member
- May 29, 2022
- 589
- 1,515
- Thread starter
- #21
Kijana hiyo ni hadhina ya TAIFA.. 😎Uzi mbovu wa wiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana hiyo ni hadhina ya TAIFA.. 😎Uzi mbovu wa wiki
Hiyo hapana.Ni mwanzo wa kupatisha kichwa baridi.🤣itafute mkuu itakua na views nyingi ukiisearch itatokea juu🤣
maswali sitaki niliona vitu vya kutisha
Kwani wewe hapa ulipofikia leo Sio mtumwa au..!?Hao wazee wa zamani si ndo haohao walikukuwa na akili finyu wakafanywa watumwa ?? Walishindwa kujiongoza leo wakuongoze wewe!!!
Weka link mzee...!itafute mkuu itakua na views nyingi ukiisearch itatokea juu🤣
maswali sitaki niliona vitu vya kutisha
Umpigie picha aone ulivyo nyoa auAliekwambia tunanyoa na wembe nani na wewe, si kiwembe kitachana marinda yangu, tuna nyoa na magic shaver, nikirudi nyumban nitakupigia picha uamini
mimi sio mtumwa wa fikra mzee ndo maana nimeweza kutafakari huo utumbo hapo juuKwani wewe hapa ulipofikia leo Sio mtumwa au..!?
Mimi sinyoi kabisa ila umenitisha unaposema nywele za mtaroni ni hazima ya taifa. Mkuu labda ni hazina ya taifa lako, labda huzifahamu hazina na kazi zake ndio maana unasema eti hazina ya taifa.AstaghafiluAllah kijana NYWELE ZA NYUMA hazinyolewi kabisa enyi vijana wa hovyo ni hadhina ya TAIFA HIYO
Hivi niambie unakaaje kaaje mpaka kuzinyoa huko? Mimi navojua hazitolewi kabisaAliekwambia tunanyoa na wembe nani na wewe, si kiwembe kitachana marinda yangu, tuna nyoa na magic shaver, nikirudi nyumban nitakupigia picha uamini
Ungekuwa sio mtumwa fikra nchi hii tungekuwa mbali sana ni kweli huamini walosema wazee wako ila unaamini wewe uliwai kuwa nyani kila liandikwalo katika karatasi ukalisoma na ukarikubar ni utumwa ikiwa Hauna uthibitsho bila shaka ulisoma historia je ww n nyani..!?mimi sio mtumwa wa fikra mzee ndo maana nimeweza kutafakari huo utumbo hapo juu
Elewa neno ya taifa.. ukinyoa yumekupotezaMimi sinyoi kabisa ila umenitisha unaposema nywele za mtaroni ni hazima ya taifa. Mkuu labda ni hazina ya taifa lako, labda huzifahamu hazina na kazi zake ndio maana unasema eti hazina ya taifa.
Ni kitu kidogo ila janga lake ni kubwa ni vipi kama tukiwa mahanithi kweli je unajua inachochoa ushoga kwa kiasi Fulani hili janga lake ni kubwa kuliko ujuavyoKwaio tukae hapa serious kabisa, tuache kazi zetu muhim za kuweka mkono kinywani, busy kabisaa tudiscuss MAVUZI?
Are you serious??
Hopeless!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Welcome to the comment section, what would you like to drink?
Wewe umenishinda?Kha!Welcome to the comment section, what would you like to drink?
😂😂😂 Kumbe unanijua ni afsa ubashiri mwenzio 😁Tutoe wacheza kamari hapo sisi ni maafisa ubashiri na tunalipa kodi kubwa serikalini. Halafu we jamaa si mdau kule uzi wetu wa wazee wa mikeka.
Kunavutwa na mkonoHao Wazee walisema nyuma kunanyolewa na Nini?