Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,305
Hapo kwenye bold mkuu. Nimesema siko chini ya miaka 29 na siko zaidi ya 35. Mkuu mie siyo mtoto sema mambo ya mjini na maisha ndiyo yanatupelekea kufanya mambo kama haya
at list umekuwa honest.
i like t
SASA KAKA KUMUKA AKUNA UNACHOPANDA APO....NI KWAMBA UNAJICHIMBIA KABURI..MAGONJWA MENG NA MUMEWE AKIJUA ATAKUGECHA.
AKUNA JEMA JUU YA SWALA LAKO
AMKA .TAFUTA DEMU WA SAIZI YAKO NA MUNGUA ATAKUBARIKI
UWEZ KUFANIKIWA KWA KUUZA MWILI KAKANGU..NI LAANA
FANYA KAZ ZA HALALI NA MUNGUA TABARIKI KAZ ZA MIKONO YAKO
USIFUNGWE NA PESA ZA UYO MAMA APO NI KM SHETAN TU ANAKULAGAI UMSUJUDIE ILI AKUPE ULIMWENGU WOTE
AMKA...huo ni mtego..km ela ya kula unayo .nauli unapata..basi komaa taratibu utapata unavyodream lakin kwa njia iyo ya kuuza dudu ili upatiwe.....dah itakula kwako .autapata.
HAKUNA MEMA KWA SWAGA IZI ZA KISHETAN.
ACHA KABISA,
NAKUONEA HURUMA SANA NA
NAKUPENDA SANA