BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 958
Unampenda huyo kikongwe wako,usimdhalilishe bure, pesa sijui unataka ya nini na wewe wafanya kazi,ridhika na kile ulicho nacho kijana yatakutokea puaniHujakosea mkuu! si unajua hizi familia bora za masaki na mikocheni? chochote kinawezekana kati ya hivi vitu 2. Usikute wamechokana au mzee ana dogodogo au nyumba ndogo mpya. Kuna siku huyu mama aliniambia tokea huu mwaka uanze wamekutana na mzee mara 2 tu kwenye tendo la ndoa! Sasa hapo unategemea nini mkuu?
Unampenda huyo kikongwe wako,usimdhalilishe bure, pesa sijui unataka ya nini na wewe wafanya kazi,ridhika na kile ulicho nacho kijana yatakutokea puani
Halafu nishakujua mshikachuma ngoja kesho ofisiniHujakosea mkuu! si unajua hizi familia bora za masaki na mikocheni? chochote kinawezekana kati ya hivi vitu 2. Usikute wamechokana au mzee ana dogodogo au nyumba ndogo mpya. Kuna siku huyu mama aliniambia tokea huu mwaka uanze wamekutana na mzee mara 2 tu kwenye tendo la ndoa! Sasa hapo unategemea nini mkuu?
Ye si kasema handsome, pesa inaenda kwa mwenye simple look tu, anatofauti gani na wale machangu wanaojiuza? na angekuwa anataka pesa angeshasepa hapo kuna kingine anafaidi hawaambii tuPesa ya nini? Hiyo pesa si ni extra income....au hutaki Mshikachuma awe tough in wallet?
Mkuu hapo kwenye bold siwezi kumwanika hapa,itakuwa nimevukisha mipaka.mshika chumaaaaaaaa......hivi hiyo age ya 55-60 huyo mama yuko fiti kiaje...anayawea mambo kweli mbona umri huo umemtupa mkono sana........anaweza kutikisa kweli mkuu......
NB:aliwah kukwambia ana watot
o wangapi?...
Ye si kasema handsome, pesa inaenda kwa mwenye simple look tu, anatofauti gani na wale machangu wanaojiuza? na angekuwa anataka pesa angeshasepa hapo kuna kingine anafaidi hawaambii tu
kufaidi mfaidi wote halafu mmama akulipe? Tena Akukamue zaidi akuache bila hata hela ya sabuni!
Heshima mbele wana jamvi!. Hii ni true story na siyo tungo.
Ni mara chache sana huwa napita kwenye jukwaa hili la MMU....jukwaa la siasa ndiyo maskani yangu hasa.
Ila kutokana na issue ambayo inanichanganya kidogo,nimeona si mbaya kwa leo nikipita huku ili kupata maoni kidogo juu ya swala hili.
Binafsi mie ni kijana,siko chini ya miaka 29 na sijafikia miaka 35. Kama mnavyojua mambo ya mjini katika mizunguko ya hapa na pale
siku moja nikakutana na lijimama (mke wa mzito fulani) yaani ni lijimama la nguvu,limepanda hewani,maji ya kunde. Umri wake nahisi ata
kuwa kwenye 55 au 60. Tokea tumeanza mahusiano huu ni mwezi kama wa 7 hivi, lakini kitu ambacho kinanisikitisha ni hubahiri wa huyu
mama kwenye pesa. Yaani ananipeleka kwenye hotel za bei na analipia room kuanzia elfu 50 hadi 80,nakula na kunywa ninachokitaka na
analipa bili yote! lakini linapokuja swala la kumuomba anisaidie pesa kiasi fulani' basi hapo huwa mbogo na mkali....na hiyo pesa hanipi.
Kama kujituma tuwapo kwenye 6x6 najituma sana hadi mwenyewe anaridhika,lakini likija swala la mimi kutaka pesa mama anakuwa bahili.
Sasa najiuliza, maisha haya mpaka lini? ukizingatia kitu ninachokifanya ni zambi kwa mungu! na mke wa mtu ni sumu. Lakini majuzi kaniam
bia eti kuna kitu cha maana sana atanifanyia na nitafurahi sana....lakini simwamini kutokana na ubahili wake (lakini ni family yenye mshiko)
Naombeni ushahuri wenu jamani! - Je ni kweli iko siku atanitoa au ananitumia tu kama condom?.
<br />Katika mpango kama huo anayemhitaji mwenzie zaidi ni jimama ambalo limeacha mume na kwenda kujivinjari na dogodogo la sivyo lisingekuwa linamhitaji dogodogo Mshikachuma lingebaki na mumewe. <br />
<br />
Mshikachuma bado ni janki...halihitaji kihivyo hilo lijimama ambalo usikute ngozi yake ishaanza kupata makunyanzi na hivyo halivutii kihivyo! <br />
<br />
<br />
<br />
Ni kweli wanasaidiana lakini kuna mmoja kati yao ambaye anauhitaji msaada wa mwenzie zaidi. Mshikachuma anaweza kabisa kuchukua dogodogo mwenzake bila wasiwasi wowote (kama hafanyi hivyo tayari). Lakini hilo jimama unadhani market value yake iko juu kihvyo na umri lilionao? Asilani. So go figure!<br />
<br />
<br />
<br />
Mshikachuma anachotakiwa kufanya ni kutolipa muda mwingi hilo jimama halafu aone litafanyaje. Mimi nahisi lenyewe litalegeza msimamo.
Aendelee kusubiria zawadi kama atapata, kama anazitaka aanze kumwambia sasa sio anaenda tu ,halafu NN unatetea sana na wewe umekamatika niniMwenyewe kasema wana wine and dine halafu kaahidiwa zawadi. Jimama na lenyewe janja hilo...usikute limeshapiga mahesabu likaona huenda Mshikachuma anaweza kusepa wakati wowote hivyo limekuja na gia ya zawadi ili kumfanya jamaa aendelee kuwepo akisubiri hiyo zawadi...
<br />
<br />
Ni wazi huyo bibi ndo muhitaji, ila kwa mshikachuma kuwa readily available whenever he is needed ni tatizo pia....
Hebu ajipandishe bei, siku libibi likimwita auchune aone kama hajaulizwa anataka nini? ....lol!
Daah huyo bibi wa mshikachuma safi sana....hii ndo dawa ya viserengeti boys vipenda miteremko!
Aendelee kusubiria zawadi kama atapata, kama anazitaka aanze kumwambia sasa sio anaenda tu ,halafu NN unatetea sana na wewe umekamatika nini
Kama mtoto wa kiume unapenda kufanyiwa vitu basi achana nae huyo, nina bussiness patner wangu ana asili ya kiarabu ana show room ya magari, kama uko interested basi atakupa Toyota Cresta GX 110, yeye ni mpenzi wa vijambio vya wanaume vya wanawake hana mpango navyo.
Tafakari kama shida yako ni kufanyiwa mambo mazuri basi mchuma huo upo show room. niMP nikuunganishie dili hilo.
Mmh! mama alianzaga hivi hivi.....na leo tumefikia hapa! ukiniona live kunahisia waweza pata dada!Halafu nishakujua mshikachuma ngoja kesho ofisini
Mie nitajitagidi niolewe na kijana mwenzangu ili tuwe ngoma droo,usikute mama mumewe ana miaka 70Na wewe subiri tu ufikie huo umri...utatafuta janki wako na utamhudumia kila kitu.
<br />Ooh yeah..jamaa anachotakiwa kufanya ni ajifanye yuko bize...jimama lazima litalegeza msimamo<br />
<br />
<br />
<br />
Mpaka hapo walipo Mshikachuma ndo anayefaidi zaidi. Maana jimama linam-wine and dine...linalipia vyumba vya hoteli na usikute hata usafiri linatoa. Kwa jinsi nilivyomsoma Mshikachuma ni kwamba yeye hagharimiki kwa chochote kile zaidi ya kumega.<br />
<br />
Anachotaka cha ziada ni cash money. Kwa hiyo unaweza ukaona kuwa linachofanya jimama kuwa ni safi lakini ukienda kwa kina zaidi unaona bado kuwa anayefaidika zaidi bila kuingia gharama kubwa katika huo mpango (kwa sasa) ni Mshikachuma.
Mkuu kuna rafiki yangu wa jirani sana....baada ya kumpa full story alipenda kumwona huyu mama,na mie siku moja nikamuonesha kiaina na akamjua bila ya huyu mama kushitukia. Wazo alilonipa huyu mshikaji ni eti nimtapeli huyu mama kama ile movie fulani ya kinaigeria....eti nimrecord video kisha nitishie kupeleka kwa mme wake,eti hapo mama ni lazima akate mpunga wa maisha. Kwahiyo bado niko njia panda na roho hainitumi kufanya huo umafiaOoh yeah..jamaa anachotakiwa kufanya ni ajifanye yuko bize...jimama lazima litalegeza msimamo
Mpaka hapo walipo Mshikachuma ndo anayefaidi zaidi. Maana jimama linam-wine and dine...linalipia vyumba vya hoteli na usikute hata usafiri linatoa. Kwa jinsi nilivyomsoma Mshikachuma ni kwamba yeye hagharimiki kwa chochote kile zaidi ya kumega.
Anachotaka cha ziada ni cash money. Kwa hiyo unaweza ukaona kuwa linachofanya jimama kuwa ni safi lakini ukienda kwa kina zaidi unaona bado kuwa anayefaidika zaidi bila kuingia gharama kubwa katika huo mpango (kwa sasa) ni Mshikachuma.