BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 958
Looooo wewe ni mzaire au,unaimba bendi ganiMkuu kuna rafiki yangu wa jirani sana....baada ya kumpa full story alipenda kumwona huyu mama,na mie siku moja nikamuonesha kiaina na akamjua bila ya huyu mama kushitukia. Wazo alilonipa huyu mshikaji ni eti nimtapeli huyu mama kama ile movie fulani ya kinaigeria....eti nimrecord video kisha nitishie kupeleka kwa mme wake,eti hapo mama ni lazima akate mpunga wa maisha. Kwahiyo bado niko njia panda na roho hainitumi kufanya huo umafia
Mkuu kuna rafiki yangu wa jirani sana....baada ya kumpa full story alipenda kumwona huyu mama,na mie siku moja nikamuonesha kiaina na akamjua bila ya huyu mama kushitukia. Wazo alilonipa huyu mshikaji ni eti nimtapeli huyu mama kama ile movie fulani ya kinaigeria....eti nimrecord video kisha nitishie kupeleka kwa mme wake,eti hapo mama ni lazima akate mpunga wa maisha. Kwahiyo bado niko njia panda na roho hainitumi kufanya huo umafia
We nawe ni kijipu uchungu.mbona unamshauri mwenzio vibaya NN atakamatwa vibaya huyuUsifanya hivyo bana. Wewe endelea kufaidi tu hizo treatment za jimama. Kwa kutumia mfano wa mpira wewe hadi sasa unaongoza 3-1! Unachotakiwa kufanya sasa ni kuanza kuchukua cash money juu ya hizo huduma zingine unazopata.
We nawe ni kijipu uchungu.mbona unamshauri mwenzio vibaya NN atakamatwa vibaya huyu
<br />Usifanya hivyo bana. Wewe endelea kufaidi tu hizo treatment za jimama. Kwa kutumia mfano wa mpira wewe hadi sasa unaongoza 3-1! Unachotakiwa kufanya sasa ni kuanza kuchukua cash money juu ya hizo huduma zingine unazopata.<br />
<br />
Halafu hebu piga mahesabu yako vizuri uone kiasi cha fedha unacho save kwa kujivinjri na hilo jimama. Unaweza ukajikuta unaanza kujenga hivi hivi kimzaha.....
Mkuu kuna baadhi ya watu hapa wanafikiria kuwa mimi nazungumzia laki moja au millioni moja. Mkuu huyu mama na mume wake wana maapartment za kupangisha kama 6 hivi hapa mjini na yote ni ya kufa mtu! na wana mayard ya kuuza magari kama mawili hivi hapa mjini,na miradi hii yote anasimamia huyu mama,kwakuwa mzee yupo busy na mambo ya kioffici.....so ninaposema nahitaji pesa sizungumzii laki moja au millioni moja! kwani hiyo pesa teyari ninayo na si mshamba wa pesa kiasi hicho. Mimi kwa huyu mama nazungumzia pesa kuanzia milllion kadhaa na kuendelea,ili nifanye kitu cha kunitoa kimaisha!Usifanya hivyo bana. Wewe endelea kufaidi tu hizo treatment za jimama. Kwa kutumia mfano wa mpira wewe hadi sasa unaongoza 3-1! Unachotakiwa kufanya sasa ni kuanza kuchukua cash money juu ya hizo huduma zingine unazopata.
Halafu hebu piga mahesabu yako vizuri uone kiasi cha fedha unacho save kwa kujivinjri na hilo jimama. Unaweza ukajikuta unaanza kujenga hivi hivi kimzaha.....
Mkuu kuna baadhi ya watu hapa wanafikiria kuwa mimi nazungumzia laki moja au millioni moja. Mkuu huyu mama na mume wake wana maapartment za kupangisha kama 6 hivi hapa mjini na yote ni ya kufa mtu! na wana mayard ya kuuza magari kama mawili hivi hapa mjini,na miradi hii yote anasimamia huyu mama,kwakuwa mzee yupo busy na mambo ya kioffici.....so ninaposema nahitaji pesa sizungumzii laki moja au millioni moja! kwani hiyo pesa teyari ninayo na si mshamba wa pesa kiasi hicho. Mimi kwa huyu mama nazungumzia pesa kuanzia milllion kadhaa na kuendelea,ili nifanye kitu cha kunitoa kimaisha!
Ukiona hababaiki kukupa hizo milioni ujue mmepangwa, kwa hiyo ukiringa anaenda kwa mwingine, sio lazima wewe, na kama kweli unataka hzo pesa kuanzia kesho usipokee simu yake, akipiga mwambie uko busy una matatizo makubwa, au una shoti huko kazini,kwa hiyo akili yako haiko sawa kufanya mapenzi,,kama kweli anakupenda atakupa, na kama hakupendi atakuchunia anahamia kwa konda wa daladala ambae atampa af 20 tuMkuu kuna baadhi ya watu hapa wanafikiria kuwa mimi nazungumzia laki moja au millioni moja. Mkuu huyu mama na mume wake wana maapartment za kupangisha kama 6 hivi hapa mjini na yote ni ya kufa mtu! na wana mayard ya kuuza magari kama mawili hivi hapa mjini,na miradi hii yote anasimamia huyu mama,kwakuwa mzee yupo busy na mambo ya kioffici.....so ninaposema nahitaji pesa sizungumzii laki moja au millioni moja! kwani hiyo pesa teyari ninayo na si mshamba wa pesa kiasi hicho. Mimi kwa huyu mama nazungumzia pesa kuanzia milllion kadhaa na kuendelea,ili nifanye kitu cha kunitoa kimaisha!
Kumbe bado kuna wanaume wajinga. Hili nalo linahitaji katiba mpya?. Wewe mwili wako una thamani ya shilingi ngapi? Umemfanyia kaz gan il akulipe? Hawa ndio nyie mnasifu ngono na pombe halafu unadai ccm inakuonea. Ungekuwa karibu yangu ningekutandka kofi.
<br />mshika chumaaaaaaaa......hivi hiyo age ya 55-60 huyo mama yuko fiti kiaje...anayawea mambo kweli mbona umri huo umemtupa mkono sana........anaweza kutikisa kweli mkuu......<br />
<br />
NB:aliwah kukwambia ana watoto wangapi?...
<br />Edson watoto wa siku hizi wana laana, imagine sijui hata yukoje kule loooo,na wamama wengine tangu sixteen wanafanya hawachoki??????????????????????
Kwakuwa tayari ni Mshikachuma nadhani hiyo transition ya kuwa 'Mshikabati' itakuwa smooth,namsikitikia sana huyu dogo na NN ajitayarishe kumhudumia hospitali baada ya mme wa jimama kumkodia wale wahuni wa 'Hailali' toka Tanga.Mshika chuma angalia usije shikishwa mchuma tu, maana wababa wao wanakuwaga wakali kama mbogo
Kwakuwa tayari ni Mshikachuma nadhani hiyo transition ya kuwa 'Mshikabati' itakuwa smooth,namsikitikia sana huyu dogo na NN ajitayarishe kumhudumia hospitali baada ya mme wa jimama kumkodia wale wahuni wa 'Hailali' toka Tanga.
NN baada ya kusoma posts zako nyingi najuwa wewe ni borntown na utakuwa ulisikia kile kisa miaka ileee cha yule jamaa anayeuza magari aliyekodiwa 'Hailali' baada ya kutembea na mke wa njemba la Bandari na kuonywa mara mbili,sasa muepushe huyu rafiki yako wa hapa JF....Sasa ukilipata kama hili ambalo libido yake bado inadai kwa nini uzubae?
We mwache tu, eti pesa, na kama ameweza kutoka na wewe kwa kukutamanisha pesa.kesho ukimtolea nje anatooka na mwingine tena ambaye ataona anashida ya bia na chakula tuKwakuwa tayari ni Mshikachuma nadhani hiyo transition ya kuwa 'Mshikabati' itakuwa smooth,namsikitikia sana huyu dogo na NN ajitayarishe kumhudumia hospitali baada ya mme wa jimama kumkodia wale wahuni wa 'Hailali' toka Tanga.
wale wameolewa kabisa na kuwa na haki na kila kitu sio kuwa third party then unataka ukwangue vya ndaniWadada wa kibongo wakipata vibabu vya kizungu wanafanya kweli...angalia akina Mwamvy, Mange, and co. Hao washatoka kimaisha hao. Sasa kwa nini wakaka nao wakipata fursa za mijimama yenye mshiko walaze damu?