Kijana shituka, mpira wa miguu ni biashara ya watu

Kijana shituka, mpira wa miguu ni biashara ya watu

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Biashara ya mpira wa miguu inalipa sana.

Unajazwa upepo na wewe mjinga unafula na kusema tumeujaza uwanja. Wewe hujaujaza uwanja bali wenye akili wamekujaza uwanjani kisha wanaondoka na mamilioni.

Somebody mnayemwita msemaji wa timu yenu anawaambia tusikubali lazima tujaze uwanja nyie kwa uboya wenu mnasema ndio lazima tuujaze.

Mkifungwa mnataka kunywa sumu huku matajiri wanapitisha mgao wanunue magari mapya.

Eti jezi ka t-shirt tu unauziwa elfu 50 maskini huku umepanga kachumba kamoja Magomeni au Keko kunakonuka kinyesi.

Kama timu ikiwajaza upepo na kuwauzia jezi watu 500000 hapo timu (watu wajanja) itakusanya billions of money.
Na app mnalipia, kadi mnalipia.

Ngumi mnapigana na timu hasimu huku wenye akili wanabadili magari kwa pesa zenu. Eti mnabishana jersey ipi kali.
 
Hii Dunia ina kanuni, mojawapo ni ya wenye akili kuwatumia wajinga kupiga pesa.

Wajinga wanajazwa ujinga wanawahi sa 12 uwanjani, wanapigwa jua mchana kutwa ili tu kushuhudia wanaume wenzao wanapiga hela uwanjani na wamiliki wa timu wamekaa VIP kwenye kiyoyozi wanakula raha wajinga wanashangilia.

Masikini anatafta hela kwa shida kisha anadanganywa na tajiri kwamba timu ni yao, wanaenda uwanjani kushangilia kisha kulipa pesa kwa tajiri. Unaweza kukuta mtu anafanya kazi kwenye miwanda cha Mo, analipwa 5k kwa siku, kisha anachukua hiyo 5k ujila wake wa siku mzima, anaenda kumpelekea Mo na mbaya zaidi anapoteza siku nzima akishangilia uwanjani kwa Mo kupiga hela. Poor people are easily manipulated.
 
Tatizo lako ni kutokujua kutenganisha kati ya MAKING na SPENDING.

Tunatafuta pesa (Making) hili tutumie kwa yale tunayoyapenda (Spending) kwenye context ya mada hawo wanaopata pesa wanafanya Making ila sisi tunafanya SPENDING baada ya kufanya Making sehemu nyengine pia na hao wanaoingizaa pesa uwanjano nao pia wanatumia hizo pesa sehemu nyenginge (SPENDING).

Hakuna maana ya kutafuta pesa bila kuzitumia, nieleze hao wanaopata pesa kujaza uwanja wanazipeleka wapi.

Hapo wamiliki wa hiko ki board na nguo wanaingiza pesa ila Mo kapoteza pesa alizopata uwanjani, na hao Walsingham pesa kwa Mo hap wataenda kujaza uwanja.
Screenshot_20240815-141736_Instagram.jpg
 
Hizo ndo zile kauli za kilimbukeni yaani unakuta mtu kakaza fuvu kabisa yaani anasema "NYIE MNAPIGA KELELE WENZENU WANAINGIZA PESA"....

Hebu tuambie wewe kuna STAREHE gani hapa duniani utafanya ambayo wenzako hawaingizi hela?..

Ikishaitwa BURUDANI au STAREHE obvious watu wameweka hela zao ili wewe uburudike, sasa unataka uwekezewe hela bure?

Ndo maana ya uwanja mpana wa starehe na burudani, ukiona hau-fit kwenye Soccer a.k.a Football basi hata NETIBOLI ipo nayo kule hawauzi jezi wala hawajazi uwanja na hawapigani ngumi...
 
Biashara ya mpira wa miguu inalipa sana.
Unajazwa upepo na wewe mjinga unafula na kusema tumeujaza uwanja. Wewe hujaujaza uwanja bali wenye akili wamekujaza uwanjani kisha wanaondoka na mamilioni.
Somebody mnayemwita msemaji wa timu yenu anawaambia tusikubali lazima tujaze uwanja nyie kwa uboya wenu mnasema ndio lazima tuujaze.
Mkifungwa mnataka kunywa sumu huku matajiri wanapitisha mgao wanunue magari mapya.
Eti jezi ka t-shirt tu unauziwa elfu 50 maskini huku umepanga kachumba kamoja Magomeni au Keko kunakonuka kinyesi.
Kama timu ikiwajaza upepo na kuwauzia jezi watu 500000 hapo timu (watu wajanja) itakusanya billions of money.
Na app mnalipia, kadi mnalipia.
Ngumi mnapigana na timu hasimu huku wenye akili wanabadili magari kwa pesa zenu.
Eti mnabishana jersey ipi kali.
Wajinga ndio waliwao
 
Tatizo lako ni kutokujua kutenganisha kati ya MAKING na SPENDING.

Tunatafuta pesa (Making) hili tutumie kwa yale tunayoyapenda (Spending) kwenye context ya mada hawo wanaopata pesa wanafanya Making ila sisi tunafanya SPENDING baada ya kufanya Making sehemu nyengine pia na hao wanaoingizaa pesa uwanjano nao pia wanatumia hizo pesa sehemu nyenginge (SPENDING).

Hakuna maana ya kutafuta pesa bila kuzitumia, nieleze hao wanaopata pesa kujaza uwanja wanazipeleka wapi.

Hapo wamiliki wa hiko ki board na nguo wanaingiza pesa ila Mo kapoteza pesa alizopata uwanjani, na hao Walsingham pesa kwa Mo hap wataenda kujaza uwanja.
View attachment 3070797
5r
Tatizo lako ni kutokujua kutenganisha kati ya MAKING na SPENDING.

Tunatafuta pesa (Making) hili tutumie kwa yale tunayoyapenda (Spending) kwenye context ya mada hawo wanaopata pesa wanafanya Making ila sisi tunafanya SPENDING baada ya kufanya Making sehemu nyengine pia na hao wanaoingizaa pesa uwanjano nao pia wanatumia hizo pesa sehemu nyenginge (SPENDING).

Hakuna maana ya kutafuta pesa bila kuzitumia, nieleze hao wanaopata pesa kujaza uwanja wanazipeleka wapi.

Hapo wamiliki wa hiko ki board na nguo wanaingiza pesa ila Mo kapoteza pesa alizopata uwanjani, na hao Walsingham pesa kwa Mo hap wataenda kujaza uwanja.
View attachment 3070797
Kunywa soda nakuja kulipa.
 
Biashara ya mpira wa miguu inalipa sana.

Unajazwa upepo na wewe mjinga unafula na kusema tumeujaza uwanja. Wewe hujaujaza uwanja bali wenye akili wamekujaza uwanjani kisha wanaondoka na mamilioni.

Somebody mnayemwita msemaji wa timu yenu anawaambia tusikubali lazima tujaze uwanja nyie kwa uboya wenu mnasema ndio lazima tuujaze.

Mkifungwa mnataka kunywa sumu huku matajiri wanapitisha mgao wanunue magari mapya.

Eti jezi ka t-shirt tu unauziwa elfu 50 maskini huku umepanga kachumba kamoja Magomeni au Keko kunakonuka kinyesi.

Kama timu ikiwajaza upepo na kuwauzia jezi watu 500000 hapo timu (watu wajanja) itakusanya billions of money.
Na app mnalipia, kadi mnalipia.

Ngumi mnapigana na timu hasimu huku wenye akili wanabadili magari kwa pesa zenu. Eti mnabishana jersey ipi kali.
Kitu gani dunia hii Sio biashara ya Watu? Hata kifo chako.ni biashara ya watu na unapopambana kumeza dawa upone kuna watu wanalala njaa kwa wewe kutokufa. 😂️
 
Mpira ni biashara, tunanua jezi, tunalips viingilio, alafu timu inawanunua wachezaji kutoka familia masikini kama vile akina kapombe, mwamnyeto kibwana shomari nk Kwa Hadi mil.300, alafu akina mwamnyeto na wenzake wanainua masikini wenzako wanaowazunguka..Kwa hiyo we kama hupendi mpira tafuta starehe yako ya bure, na sijui utaipata wapi maana hata mkeo utamgharamia kumpeleka saluni , na mwenye saluni anapiga hela
 
Back
Top Bottom