Kijana shituka, mpira wa miguu ni biashara ya watu

Kijana shituka, mpira wa miguu ni biashara ya watu

Tatizo lako ni kutokujua kutenganisha kati ya MAKING na SPENDING.

Tunatafuta pesa (Making) hili tutumie kwa yale tunayoyapenda (Spending) kwenye context ya mada hawo wanaopata pesa wanafanya Making ila sisi tunafanya SPENDING baada ya kufanya Making sehemu nyengine pia na hao wanaoingizaa pesa uwanjano nao pia wanatumia hizo pesa sehemu nyenginge (SPENDING).

Hakuna maana ya kutafuta pesa bila kuzitumia, nieleze hao wanaopata pesa kujaza uwanja wanazipeleka wapi.

Hapo wamiliki wa hiko ki board na nguo wanaingiza pesa ila Mo kapoteza pesa alizopata uwanjani, na hao Walsingham pesa kwa Mo hap wataenda kujaza uwanja.
View attachment 3070797
Nakala ya kopi iwekwe kwenye fremu ikawekwe maktaba kuu ya taifa, nyi gine kwenye viwanja vyoote vya burudani

Kifupi shabiki wa mpira, na anaeenda bar kutumia, anaenununua ama kuhonga totozi ili agegede hawana tofauti, wanatumia pesa zao kuburudika.
 
Dah ila ukweli mchungu. Kunakapuku mmoja anajiita Labani og sasa mtu kama huyu anapoteza bando masaa 24 kuinanga simba na kuipamba yanga. Maskini ya mungu hata 100 hapati...wengine hawa MwananchiOG ngara23
Wanaoendelea kutajirika ni injinia kanjanja hersi na tapeli mo bila kumsahau shoga kamwe na mzee gsm ,Wanakua mabilionea
Hao wakitajirika au wakipata hasara kipesa hayatuhusu sisi tukipata utajiri wa FURAHA unatosha mkuu!. Kweli mpira wa miguu ni biashara, biashara ni watu, na sisi ndiyo watu na biashara yetu ni FURAHA
 
Dunia hii kila kitu biashara... Sisi ndio wateja
 
Biashara ya mpira wa miguu inalipa sana.

Unajazwa upepo na wewe mjinga unafula na kusema tumeujaza uwanja. Wewe hujaujaza uwanja bali wenye akili wamekujaza uwanjani kisha wanaondoka na mamilioni.

Somebody mnayemwita msemaji wa timu yenu anawaambia tusikubali lazima tujaze uwanja nyie kwa uboya wenu mnasema ndio lazima tuujaze.

Mkifungwa mnataka kunywa sumu huku matajiri wanapitisha mgao wanunue magari mapya.

Eti jezi ka t-shirt tu unauziwa elfu 50 maskini huku umepanga kachumba kamoja Magomeni au Keko kunakonuka kinyesi.

Kama timu ikiwajaza upepo na kuwauzia jezi watu 500000 hapo timu (watu wajanja) itakusanya billions of money.
Na app mnalipia, kadi mnalipia.

Ngumi mnapigana na timu hasimu huku wenye akili wanabadili magari kwa pesa zenu. Eti mnabishana jersey ipi kali.
Akili ya mleta mada👇👇
 

Attachments

  • download.jpeg
    download.jpeg
    7.9 KB · Views: 3
Biashara ya mpira wa miguu inalipa sana.

Unajazwa upepo na wewe mjinga unafula na kusema tumeujaza uwanja. Wewe hujaujaza uwanja bali wenye akili wamekujaza uwanjani kisha wanaondoka na mamilioni.

Somebody mnayemwita msemaji wa timu yenu anawaambia tusikubali lazima tujaze uwanja nyie kwa uboya wenu mnasema ndio lazima tuujaze.

Mkifungwa mnataka kunywa sumu huku matajiri wanapitisha mgao wanunue magari mapya.

Eti jezi ka t-shirt tu unauziwa elfu 50 maskini huku umepanga kachumba kamoja Magomeni au Keko kunakonuka kinyesi.

Kama timu ikiwajaza upepo na kuwauzia jezi watu 500000 hapo timu (watu wajanja) itakusanya billions of money.
Na app mnalipia, kadi mnalipia.

Ngumi mnapigana na timu hasimu huku wenye akili wanabadili magari kwa pesa zenu. Eti mnabishana jersey ipi kali.
Hivi kina Ahmed Ally, Ally kamwe,Haji mantra Zaka zakazi,na Masau Bwire hawapo huku JF waje watuchambie mtu 😁🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom