Bwana Jela
Senior Member
- Nov 25, 2019
- 131
- 655
Sawa mzalendo
Hii barua haikupaswa kuandikwa na CCM.
Maana yenyewr imrjipimaje kuwa haijakosea ila wengine ndio wamekosea.
Ilitakiwa itolewe na independent institution iliyofanya external observation sio mchezaji
Wewe ndio umesema au CCM yenyewe?Ccm wanafanya ustaarabu, vyama vingine vina fujo
Wewe ndio umesema au CCM yenyewe?
'Kifinyo' kipo palepale endapo mtakimbia na masanduku ya kura ,tumechoka hatutaki ujinga safari hii.View attachment 1590716
Ni ushauri wa bure, tumia mitandao ya kijamii vizuri
Usitukane, usidhalilishe Uchaguzi utapita Tanzania itabaki
Una akili mingi aiseeππView attachment 1590716
Ni ushauri wa bure, tumia mitandao ya kijamii vizuri
Usitukane, usidhalilishe Uchaguzi utapita Tanzania itabaki
'Kifinyo' kipo palepale endapo mtakimbia na masanduku ya kura ,tumechoka hatutaki ujinga safari hii.
Na uovu wenu 'mkiwa gizani' mnaopanga kuufanya Mungu atawapiga nao kizazi chenu
Ukweli mchungu ni kwamba Mwinyi ni pandikizi la Tanzania bara la kulinda Muungano dhalimu huko Zanzibar
Mkuu we so ulisema huna chama.Ccm wanafanya ustaarabu, vyama vingine vina fujo
Kajifichaaaa Ila spana zimezidi kajianika mwenyewe πππMkuu we so ulisema huna chama.
CCM itapita Tanzania itabaki hivyo nyie ccm muache kujiona miungu watuView attachment 1590716
Ni ushauri wa bure, tumia mitandao ya kijamii vizuri
Usitukane, usidhalilishe Uchaguzi utapita Tanzania itabaki
Na anakuja kwa kasi ya dreamliner,sasa hivi anampiku Jane lowasa na bia yeti.Kajifichaaaa Ila spana zimezidi kajianika mwenyewe πππ
Hili nalo nonahitaji tochi mkuu? Mfano ni mgombea urais wa CHADEMA kushindwa kufanya kampeni na kuanzisha uana harakati, huu ni uvunjifu wa amaniHii barua haikupaswa kuandikwa na CCM.
Maana yenyewe imejipimaje kuwa haijakosea ila wengine ndio wamekosea.
Ilitakiwa itolewe na independent institution iliyofanya external observation sio mchezaji