Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,437
- 4,618
Mimi kama kijana nitamchagua kiongozi anayejali maslahi yangu mimi kama mimi na maslahi ya taifa kwa ujumla.
1. Ajira
2. Uhuru wa kijieleza
3. Mafao
4. ahueni kwemye mkopo wa elimu ya Juu
5. Bima ya afya
6. Kuzingatia infalation kwenye ajira
7. Katiba- hapa kuna mengi sitaeleza
8.
1. Ajira
2. Uhuru wa kijieleza
3. Mafao
4. ahueni kwemye mkopo wa elimu ya Juu
5. Bima ya afya
6. Kuzingatia infalation kwenye ajira
7. Katiba- hapa kuna mengi sitaeleza
8.