Bwana Jela
Senior Member
- Nov 25, 2019
- 131
- 655
- Thread starter
- #61
Mimi sina chama ila nikiangalia Ccm inapendwa sana na Magufuli anapendwa sana na Watanzania atashinda kwa kishindo
Watu wachache huwa hawakosi kulalamika
Watu wachache huwa hawakosi kulalamika
Imekula kwenu.
Wizi wa kura sasa basi. Uonevu sasa basi.
Ubaguzi wa maendeleo sasa basi.
Tumeamua mabadiliko ni ukombozi kwa watanzaniaView attachment 1591267View attachment 1591268