Kuna mahali nimekusoma kuwa huna chama lakini kote nilikokuona naona una side na ccmView attachment 1590716
Ni ushauri wa bure, tumia mitandao ya kijamii vizuri
Usitukane, usidhalilishe Uchaguzi utapita Tanzania itabaki
Kuna mahali nimekusoma kuwa huna chama lakini kote nilikokuona naona una side na ccmView attachment 1590847
Mkuu we so ulisema huna chama.
Wakili Robert Amsterdam amesema CCM inatoa vitisho vingi vikali kwa raia zaidi ya vitisho vilivyotolewa na wakoloni.
CCM washaanza kuogopa nguvu ya umma.
CCM haijawahi kushinda uchaguzi zenji tangu 95, na huku bara CCM washapigwa 2010 na 2015 - sema tu hii Tume yetu huwa inawanyima ushindi wapinzaniMimi sina chama ila nikiangalia Ccm inapendwa sana na Magufuli anapendwa sana Ninaona dalili kuwa Ccm itashinda sana
CCM haijawahi kushinda uchaguzi zenji tangu 95, na huku bara CCM washapigwa 2010 na 2015 - sema tu hii Tume yetu huwa inawanyima ushindi wapinzani
Wewe ndiye yule jana ulikuja na id ya bia yetu.View attachment 1590716
Ni ushauri wa bure, tumia mitandao ya kijamii vizuri
Usitukane, usidhalilishe Uchaguzi utapita Tanzania itabaki
Wewe ndiye yule jana ulikuja na id ya bia yetu.
Naona leo umekuja na bwana jela.
Mnahangaika nini wakati taasisi zote zipo chini yenu?
Kama hujui ni kuwa watanzania kwa sasa hawaitapigia kura ccm eti kwakua ina sera nzuri au inatenda vizuri kwenye kamapeni.
Watanzania hawataki kuiamini tena ccm maana wana hali ngumu na nyie mliwaahidi maisha bora kwa kila mtanzania
Watu waliokaribu na wewe wanatembea na bomu linaweza walipukia mda wowoteView attachment 1590716
Ni ushauri wa bure, tumia mitandao ya kijamii vizuri
Usitukane, usidhalilishe Uchaguzi utapita Tanzania itabaki
Watu waliokaribu na wewe wanatembea na bomu linaweza walipukia mda wowote
Mungu akubariki kama ni kweli tofauti na hapo unatafuta laana kubwaHapana kaka yangu mimi naongea ukweli
Hahaaaa sasa mnaulizana vijana wa ccm mnategemea nini na chama kinawalisha.Mimi sina chama ila nikiangalia Ccm inapendwa sana na Magufuli anapendwa sana Ninaona dalili kuwa Ccm itashinda sana
Kila ukimuuliza kijana anasema atapigia Magufuli
Asante kaka yangu tuitangulize Tanzania mbele
Mkuu ccm inapendwa sana na watu kama wewe, sasa jiulize wewe ni mtu wa aina gani?Mimi sina chama ila nikiangalia Ccm inapendwa sana na itashinda
Wote ni wale wale sema mmoja ndiyo hajui hata kuandika(Jane Lowassa )Na anakuja kwa kasi ya dreamliner,sasa hivi anampiku Jane lowasa na bia yeti.
Stupidiest allegations, new CCM narratives: you not violent, you are not thieves, Infact you're both! Violent and voter fraudsView attachment 1590716
Ni ushauri wa bure, tumia mitandao ya kijamii vizuri
Usitukane, usidhalilishe Uchaguzi utapita Tanzania itabaki