Bwana Jela
Senior Member
- Nov 25, 2019
- 131
- 655
- Thread starter
-
- #41
Mkuu ccm inapendwa sana na watu kama wewe, sasa jiulize wewe ni mtu wa aina gani?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
They have colonised their own people!!Wakili Robert Amsterdam amesema CCM inatoa vitisho vingi vikali kwa raia zaidi ya vitisho vilivyotolewa na wakoloni.
Jizungumzie wewe mwenyewe usizungumzie Watanzani. Wacha kutulisha maneno.Wewe ndiye yule jana ulikuja na id ya bia yetu.
Naona leo umekuja na bwana jela.
Mnahangaika nini wakati taasisi zote zipo chini yenu?
Kama hujui ni kuwa watanzania kwa sasa hawaitapigia kura ccm eti kwakua ina sera nzuri au inatenda vizuri kwenye kamapeni.
Watanzania hawataki kuiamini tena ccm maana wana hali ngumu na nyie mliwaahidi maisha bora kwa kila mtanzania
Nisiwalishe maneno wewe na nani?Jizungumzie wewe mwenyewe usizungumzie Watanzani. Wacha kutulisha maneno.
Umeeleweka. Hata mkiwa wawili ni Watanzania. Subiri tar 28 mzabwe makofi.Nisiwalishe maneno wewe na nani?
Si ungejizungumzia wewe?
Narudia tena nimesema watanzania. Kasoro wewe na wenzako wazee wa ndio kwa kila jambo
Katiba sio msahafu au biblia .huwa inabadilishwaView attachment 1590716
Ni ushauri wa bure, tumia mitandao ya kijamii vizuri
Usitukane, usidhalilishe Uchaguzi utapita Tanzania itabaki
Mkuu, siyo pandikizi la Tz bara, bali la ccmUkweli mchungu ni kwamba Mwinyi ni pandikizi la Tanzania bara la kulinda Muungano dhalimu huko Zanzibar
Acha ujinga zuzu weweAsante kaka yangu
Mimi sina chama ila nikiangalia Ccm inapendwa sana na itashinda
PumbafuView attachment 1590716
Ni ushauri wa bure, tumia mitandao ya kijamii vizuri
Usitukane, usidhalilishe Uchaguzi utapita Tanzania itabaki
Hofu yenu nini bado vijana tunatumia mitandao vizuri tulieni tuchague viongozi tunaowataka hapo oct28View attachment 1590716
Ni ushauri wa bure, tumia mitandao ya kijamii vizuri
Usitukane, usidhalilishe Uchaguzi utapita Tanzania itabaki
View attachment 1590716
Ni ushauri wa bure, tumia mitandao ya kijamii vizuri
Usitukane, usidhalilishe Uchaguzi utapita Tanzania itabaki
Sasa mbona Magufuli aneshatangaza kuwanyima maendeleo wote watakao chaguwa wapinzani???. Au kwenu huo ndo uhuru usawa na haki?View attachment 1590716
Ni ushauri wa bure, tumia mitandao ya kijamii vizuri
Usitukane, usidhalilishe Uchaguzi utapita Tanzania itabaki
Sasa mbona Magufuli aneshatangaza kuwanyima maendeleo wote watakao chaguwa wapinzani???. Au kwenu huo ndo uhuru usawa na haki?
View attachment 1590716
Ni ushauri wa bure, tumia mitandao ya kijamii vizuri
Usitukane, usidhalilishe Uchaguzi utapita Tanzania itabaki