Naomba wazee watunzwe na serikali iwalinde ni kama hazina ya taifa😂Sio kuhonga ni kumuhudumia mpenzi wako.
Mbona Wazee tunahudumia,
Lazima kuhakikisha msichana wako ameenda Saluni, umemnunulia gesi, umemlipia kisimbuzi, umemlipia Kodi ya nyumba bila kusahau kumlipia Kikoba, maana bila hivyo hautaweza kupewa vya uvunguni 😜
NB; Jikune Mkono unapofikia
Sio kuhonga ni kumuhudumia mpenzi wako.
Mbona Wazee tunahudumia,
Lazima kuhakikisha msichana wako ameenda Saluni, umemnunulia gesi, umemlipia kisimbuzi, umemlipia Kodi ya nyumba bila kusahau kumlipia Kikoba, maana bila hivyo hautaweza kupewa vya uvunguni 😜
NB; Jikune Mkono unapofikia
Umezungumzia Vijana Wa Chermford Street Au Wa Buza Kwa Mpalange?Miaka 40 Huku Kwetu Watu Hawana Hata Kitanda.Vuka boda uende Kwa Chenge pale Bariadi, kaopoe binti mmoja wa kisukuma mrembo uanze naye maisha
Najua huwezi kukosa shilingi elfu 10 ya kumwachia ya kula Kila Siku
Wewe ukirudi kwenye utafutaji Jioni, unakuta amekuandalia Maji ya moto ya kuoga, na chakula Kipo mezani ili mle pamoja
Saa nne usiku mnavuka zenu mbingu na kwenda Dunia ya peke yenu mkitafuta watoto
Mkifikia miaka 40 mna watoto 4 na Uchumi imara 👊
Wewe usiyehinga una nyumba ngapi1. Ni bei ya Samaki kilo moja
2.Ni bei ya kuku wa nyama mmoja na chenchi inabaki
3.Unatoa mikeka 10 ya buku kwa mhindi
4. Sukari kilo 3
5. Dona kilo 4
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya Ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Luku unit 28
10. Tofali za ujenzi 10
Elfu Kumi ni kubwaaaaa sana1. Ni bei ya Samaki kilo moja
2.Ni bei ya kuku wa nyama mmoja na chenchi inabaki
3.Unatoa mikeka 10 ya buku kwa mhindi
4. Sukari kilo 3
5. Dona kilo 4
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya Ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Luku unit 28
10. Tofali za ujenzi 10
11. Vipochi manyoya viwili pale Riverside .1. Ni bei ya Samaki kilo moja
2.Ni bei ya kuku wa nyama mmoja na chenchi inabaki
3.Unatoa mikeka 10 ya buku kwa mhindi
4. Sukari kilo 3
5. Dona kilo 4
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya Ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Luku unit 28
10. Tofali za ujenzi 10
Baba yote hii ulikuwa unawahi nini mzee 24 nipo form two 🤣nagombania wali shuleHahaha..............poleni sana Mkuu
Ndiyo maana ili kuepuka hayo, mnatakiwa muoe mapema
Mimi nakumbuka nilioa nikiwa na miaka 24, kufika 26 tayari nina first born
Hahaha...............form II sio rahisi Kwa umri huo Mkuu, labda useme ulikuwa Chuo kikuu 🤗Baba yote hii ulikuwa unawahi nini mzee 24 nipo form two 🤣nagombania wali shule
Miaka 40 ukose Kitanda sio rahisi Mkuu,Umezungumzia Vijana Wa Chermford Street Au Wa Buza Kwa Mpalange?Miaka 40 Huku Kwetu Watu Hawana Hata Kitanda.
Siri ni kustick na Mpenzi mmoja, ukiwa nao zaidi lazima wakuendeshe na ushindwe kuwahudumiaI wish I could come accross you Sir!
Kwa kweli mtutunze tu, Kwa maana tumebaki wachache sana kwasasa 🤗Naomba wazee watunzwe na serikali iwalinde ni kama hazina ya taifa😂
Nilikuwa memkwa🤣fatherHahaha...............form II sio rahisi Kwa umri huo Mkuu, labda useme ulikuwa Chuo kikuu 🤗
HahahahaKiasi hiki cha umasikini wa fikra ni kikubwa sana. Hata mimi jobless sina fikra za namna hii
Pole Mkuu, ila muhimu umesoma na kuhitimu 👏👏👏Nilikuwa memkwa🤣father
Hahaha.......... Wanaume tumeumbiwa mateso 😜Umesahau Na Kwenye Kugegeda Pia Umkojoze!
🤣Kitambo Sema mada ya Huyu kijana imenitia hasira heka tatu ni natumia shingap Kuzungusha fence ya kozi moja?Pole Mkuu, ila muhimu umesoma na kuhitimu 👏👏👏
Mwambie fundi akufanyie tathmini🤣Kitambo Sema mada ya Huyu kijana imenitia hasira heka tatu ni natumia shingap Kuzungusha fence ya kozi moja?
Hayo mambo huku Afrika hakuna, Mwanamke utakayeingia naye kwenye mahusiano ni lazima umuhudumueMimi sihudumii girlfriend, utaratibu wangu ni kwamba kama demu anafikiri kwa sababu ya kufanya sex basi ana haki ya kulipwa na mwanaume maana yake anajiuza kwaiyo tukubaliane bei twende lodge tukamalizane baada ya hapo no attachment, no billing.
na kama ameridhia tuingie kwenye mahusiano ya kimapenzi basi yeye kama mtu mzima mwenye nguvu na akili timamu anawajibika kufanya kazi ajihudumie mahitaji yake. Love relationship is not ascaping route of your financial responsibilities
Shilingi 160,000 inatosha kumwachia Mkeo na akaibania Matumizi mkala hadi kufikia hata tarehe za katikati ya mwisho wa reliBabu unatuingiza chaka wajukuu zako, yaani gharama ya chakula iwe ndogo mkiwa wawili kuliko ukiwa peke yako.! mimi shilingi 5000 inanitosha kabisa kula siku nzima embu niambie nitaigawa vipi iyo kwa wawili, kumbuka mchana nakua kazini ambapo siwezi kula chakula cha nyumbani lazima ninunue.
Dada poa wa kiwango cha kawaida bei elekezi ni elfu 20 baada ya hapo no attachment, no billings. Kwa wiki inakua elfu 40 kwa mwezi 160K. Piga hesabu ya gharama ya kuhudumia mke/girlfriend kuanzia kula, kulala, kupendeza, posho ya sex, matibabu akiumwa, kumtoa out n.k.
Kumbuka pamoja na kuhudumia hauwezi kula mboga iyo iyo kila siku kwaiyo kuna kutenga bajeti ya kuchepuka pia lakini kununua dadapoa sio lazima awe uyo uyo kila siku.
Kumbuka hakuna guaranteed return ya uwekezaji wako kwa mwanamke. Feelings change, human get bored, heart chase fantasies and crave advanture, so your love can fall out of love with you at any given time without prior warning or any valid reason.
Kununua dadapoa kuna punguza gharama na risk ya kuingia hasara ukilinganisha na kumtunza mwanamke ambae na yeye ni kama anajiuza tu indirectly sema biashara yake amei-brand kwa jina la matunzo