Kijana uliyechapwa na maisha usipanic kwenye uwanja wa vita. Hao marafiki zako wanaorusha picha mtandaoni huku wameegemea magari makali wengi si yao

Kijana uliyechapwa na maisha usipanic kwenye uwanja wa vita. Hao marafiki zako wanaorusha picha mtandaoni huku wameegemea magari makali wengi si yao

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Mtu dhaifu hujitutumua ili asionekane dhaifu.

Mtu maskini hujitutumua ili asionekane maskini.

Mtu asiye na fedha hujitutumua ili asionekane hana pesa.

Pia ni tabia za Kiafrika kila mtu kutoka kujionyesha si mnyonge.
Hizo picha za maeneo mazuri zisikupagaishe, hapo ni bar, restaurants, hotel n.k hawana hisa na hisa sehemu hata ya 0.1%.

Gari za kukodi kawe ziko nyingi tu, WENGINE ni gari za ndugu, rafiki au kazini kwao. Wengine ni mafundi wa magari wakitest wanakwenda nalo mpaka home kwao ili tu waonekane .

Wengine ni malaya. Unajua sifa ya malaya ni kupenda nguo za juu kidogo kama mtego kwa mabinti. Hawana cha maana mfukoni.

Sasa wewe ukiona mipicha unapagawa.
Usipozingatia malengo yako utakuwa chizi kweli.
Focus your target, ikiwezekana achana na mitandao au itumie panapobidi tu.
Be careful
1741243811918.jpg
 
Hata kupata fursa ya kuegemea gari ya tajiri ni hatua, tafadhali isipuuzwe.

Unapata uelewa wa madili kadri unavyowasoma wenye vyenye unaegemea.

Chance of Opportunity is closer to you as you get closer to your available choices.
 
Mtu dhaifu hujitutumua ili asionekane dhaifu.

Mtu maskini hujitutumua ili asionekane maskini.

Mtu asiye na fedha hujitutumua ili asionekane hana pesa.

Pia ni tabia za Kiafrika kila mtu kutoka kujionyesha si mnyonge.
Hizo picha za maeneo mazuri zisikupagaishe, hapo ni bar, restaurants, hotel n.k hawana hisa na hisa sehemu hata ya 0.1%.

Gari za kukodi kawe ziko nyingi tu, WENGINE ni gari za ndugu, rafiki au kazini kwao. Wengine ni mafundi wa magari wakitest wanakwenda nalo mpaka home kwao ili tu waonekane .

Wengine ni malaya. Unajua sifa ya malaya ni kupenda nguo za juu kidogo kama mtego kwa mabinti. Hawana cha maana mfukoni.

Sasa wewe ukiona mipicha unapagawa.
Usipozingatia malengo yako utakuwa chizi kweli.
Focus your target, ikiwezekana achana na mitandao au itumie panapobidi tu.
Be careful
View attachment 3260889
1741234848887.jpg
 
Vijana wasipanik ila kusema wanaorusha magari mtandaoni sio yao ni hoja dhaifu. Tusipende kujifariji kwenye umaskini. Maskini tunapenda kampani kwenye umaskini wetu kitu ambacho ni upuuzi. Hata ukijifariji kuwa sio magari yao haikusaidii. Tufanye kazi kwa bidii na maarifa.
 
naona changamoto inaanza kwenye malezi kama wazazi hawakufundisha kuhusu maisha na ustaarabubwake kuna mambo yatakupagawisha sana ila kuna katabia ukifundishwa na wazazi wako kamwe hutakua na tamaa ya walivyo navyo watu fulani....... leo usipopambana ukibaki kuona vya watu basi kuna shida kubwa itakukuta hasa kweye mareeeender
 
Back
Top Bottom