Kijana Unaetafuta kazi, Uwe unajua Kuendesha Pikipiki/Gari

Kijana Unaetafuta kazi, Uwe unajua Kuendesha Pikipiki/Gari

Hapa kama sio wale wauza mabeseni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ahh itakua watembeza sabuni vijana wanavaa tai jua kaliii wanauza mabeseni bidhaa inachakaa kabla haijauzwa [emoji23][emoji23][emoji23] tangazo halisemi kazi gani alafu mshahara 200k dah bongo nyoso. Alaf mtu anapanic eti leta malipo ya wafanyakazi kumi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hili halikuhus kaa chonjo wenye uhitaji tutapita nalo.

Binafsi nikiona mtu anatuma emoji hsa za kucheka ovyo bila sababu najua akili zake zina shida mahali.
 
Mkuu hili halikuhus kaa chonjo wenye uhitaji tutapita nalo.

Binafsi nikiona mtu anatuma emoji hsa za kucheka ovyo bila sababu najua akili zake zina shida mahali.
😂😂😂😂😂😂 Sawa
 
Hiyo section ya pili ya mwanaume mwenye sura ya dada mbona inanipa ukakasi!

Au mimi tu?
 
Daah!mkuu Mimi Nina ujuzi wa vyote hivyo ila changamoto yangu ni leseni na Cheti Cha udereva.ila kuride na kudrive niko njema zaidi ya miaka 6 sasa.
 
Daah!mkuu Mimi Nina ujuzi wa vyote hivyo ila changamoto yangu ni leseni na Cheti Cha udereva.ila kuride na kudrive niko njema zaidi ya miaka 6 sasa.
Miaka sita yote huna lesen bro

Lesen ni 200k ukichonga mchomgo C1 mapema sana

Sasa miaka 6 hukipa 200k ya lesen

Au unamaanisha nn
 
Back
Top Bottom