Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Hapa mwanachuo anayepata bumu anapata hela nyingi na huku mahitaji yakiwa down
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hili halikuhus kaa chonjo wenye uhitaji tutapita nalo.Hapa kama sio wale wauza mabeseni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ahh itakua watembeza sabuni vijana wanavaa tai jua kaliii wanauza mabeseni bidhaa inachakaa kabla haijauzwa [emoji23][emoji23][emoji23] tangazo halisemi kazi gani alafu mshahara 200k dah bongo nyoso. Alaf mtu anapanic eti leta malipo ya wafanyakazi kumi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maisha mdogo mdogo kaka simbachawene ashakuwa utingo sembuse laki mbili kwa mwenzi.Maisha haya, laki mbili ni nyingi lkn.
Ila ukilinganisha na flani analipwa nini ndio shida inapoanzia.
Hiyo laki 2 kuna watu ndio posho yao ya siku ktk vikao vya masaa mawili.
😂😂😂😂😂😂 SawaMkuu hili halikuhus kaa chonjo wenye uhitaji tutapita nalo.
Binafsi nikiona mtu anatuma emoji hsa za kucheka ovyo bila sababu najua akili zake zina shida mahali.
Na ww kawe utingo uone kama utakua kama simbachawene. 😂😂😂😂Maisha mdogo mdogo kaka simbachawene ashakuwa utingo sembuse laki mbili kwa mwenzi.
Mwanaume kuweka emoji za kuchekacheka sio ishara nzuri.Na ww kawe utingo uone kama utakua kama simbachawene. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa 😂😂😂😂Mwanaume kuweka emoji za kuchekacheka sio ishara nzuri.
Miaka sita yote huna lesen broDaah!mkuu Mimi Nina ujuzi wa vyote hivyo ila changamoto yangu ni leseni na Cheti Cha udereva.ila kuride na kudrive niko njema zaidi ya miaka 6 sasa.
Pengine kajamaa kana biashara kama yanguWatakuja wengi ila hujawafanyia fair kabisa.
Yani watu hata hawajui wanakuja kufanya nini, ofisi ipo mbezi mwisho ni ofisi ya nini??