Sehemu yoyote utakayoishi hapa Tanzania zingatia kitu kinaitwa Authentic Life ( Kuishi maisha yako) na sio kuiga na kufata mkumbo.
Uswahilini kuna watu wamejenga maghorofa ,biashara wanafanya and everything is on map .
Kufanikiwa huwa ni mchakato wa kujua Unataka nini tu na kuanza kupambania na kufanyia kazi.
Then unabidi kuelewa -uswahili watu wengi hawafanikiwi wala kujipata ni kwa sababu wanakuwa Vulnerability (kushambulika ,kimwili ,kiakili kiroho)
Mfano , Ngono ,pombe ,kamali, bangi, kuacha shule na mimba zisizo na baba yote hii humpata MTU ambaye anaishi maisha ambayo sio yake.
Hivyo mkuu , uswahili ni kama ilivyo ushuwani ukiweza kuishi Authentic life - maisha yako halisi Genuine maana yake hata uishi na wazinzi ,walevi ,wezi ,wavuta bangi Ila bado hautokuwa vulnerability na kutoka mchezoni.
Mambo ya lango la kuzimu ni maneno yanayotamkwa na watu wajinga huwezi kuita sehemu lango la kuzimu wakati wengine katika hilo lango wametoboa na wanaishi vizuri