Kijana unayepambana kimaisha using'ang'anie kuishi uswahilini

Kijana unayepambana kimaisha using'ang'anie kuishi uswahilini

Kijana unaepambana kimaisha ukipata acheni kidogo hama huko uswahilini,hasa hasa jiji daressalam, uswahilini ya daressalam ni milango ya kuzimu ..watu wamechoka, watu wamekata tamaa, Jana yao ni Bora sana kuliko Leo .. mwanyamala kwa kopa, manzese, tandika ..mbagara sehemu sehemu.. kuendelea kukaa uswahilini kunafunga liziki zako ..kumbuka uswahilini ndio sehemu pekee watu hushindana Kula vizuri Na hapana lingine wanalofikiria..
Ni kweli mkuu uswahilini kuna changamoto kibao, kelele nyingi na kufuatiliana maisha

Yataje basi maeneo ambayo hayana uswahili ili watu wayatambue.
 
Sehemu yoyote utakayoishi hapa Tanzania zingatia kitu kinaitwa Authentic Life ( Kuishi maisha yako) na sio kuiga na kufata mkumbo.

Uswahilini kuna watu wamejenga maghorofa ,biashara wanafanya and everything is on map .

Kufanikiwa huwa ni mchakato wa kujua Unataka nini tu na kuanza kupambania na kufanyia kazi.


Then unabidi kuelewa -uswahili watu wengi hawafanikiwi wala kujipata ni kwa sababu wanakuwa Vulnerability (kushambulika ,kimwili ,kiakili kiroho)

Mfano , Ngono ,pombe ,kamali, bangi, kuacha shule na mimba zisizo na baba yote hii humpata MTU ambaye anaishi maisha ambayo sio yake.


Hivyo mkuu , uswahili ni kama ilivyo ushuwani ukiweza kuishi Authentic life - maisha yako halisi Genuine maana yake hata uishi na wazinzi ,walevi ,wezi ,wavuta bangi Ila bado hautokuwa vulnerability na kutoka mchezoni.

Mambo ya lango la kuzimu ni maneno yanayotamkwa na watu wajinga huwezi kuita sehemu lango la kuzimu wakati wengine katika hilo lango wametoboa na wanaishi vizuri
Well said Mkuu

Ila kwanini kijana akiwa na hiyo authentic life kama ulivyoieleza then akiwa anaish uswahilini anakutana na changamoto sana hususa kwa wanaomzunguka?
 
Well said Mkuu

Ila kwanini kijana akiwa na hiyo authentic life kama ulivyoieleza then akiwa anaish uswahilini anakutana na changamoto sana hususa kwa wanaomzunguka?


Changamoto sio kitu kibaya maana changamoto ndo zinamfanya MTU kuwa imara .

Kikubwa inapotekea changamoto yoyote ukiwa uswahilini usiikimbie Ila jikite kutafuta majibu zaidi .

Na changamoto huwa inawagawa watu katika pande mbili survival and victim.

Mfano ukiwa unaishi uswahili , unaweza kupitia changamoto Kama kuibiwa , uchawi , chuki , kisa tu Una I shi authentic life Ila Mwisho wa siku unabidi wewe kuwa mkubwa kuzishinda changamoto na ndo utaitwa survival Ila ukikubali hizo changamoto zikutoe mchezoni utaitwa victim mwathirika.

So Authentic ni silaha ya kuzishinda changamoto .

NB : tunapozungumzia usiige wala kufata mkumbo ni katika maisha yako Ila mambo chanya Kama biashara ,kazi n.k unaweza kuiga.
 
Kijana unaepambana kimaisha ukipata acheni kidogo hama huko uswahilini, hasa hasa jiji Dar es Salaam, uswahilini ya Dar es salam ni milango ya kuzimu ..watu wamechoka, watu wamekata tamaa, Jana yao ni Bora sana kuliko Leo.

Mwanyamala kwa kopa, Manzese, Tandika, Mbagala sehemu sehemu. kuendelea kukaa uswahilini kunafunga liziki zako

Kumbuka uswahilini ndio sehemu pekee watu hushindana Kula vizuri Na hapana lingine wanalofikiria..
Uswazi huko yani ni vigodoro kwenda mbele,mipasho, wananchi hawawazi maendeleo ni vijiwe tu, huko uswazi full kurogana, wuvu, husda, kuibiana ma bwana, matusi kiujumla hakuna maadili watoto wala sio kwa wakubwa ni matusi kwenda mbele, watu wanaokaa huko hawana ustaarabu kama wewe ni mstaarabu huko hakukufai
 
Sio hivyo mkuu! Mimi mwenyewe wakati najitafuta geto langu la kwanza lilikuwa gongolamboto mzambarsauni! Si kwauswahili huo! Nikaamia sinza potelea mbali nikishindia mihogo chpsi dume! Uamuzi uu ulinisaidia sana
Kaa sehemu unapata changamoto za kukua ki akili sasa uswahilini unatoboaje
 
Back
Top Bottom