Kijana unayepambana kimaisha using'ang'anie kuishi uswahilini

Kijana unayepambana kimaisha using'ang'anie kuishi uswahilini

Me kipindi najitafuta sikuwahi kukaa uswahilini na kiukweli ilinisaidia,
1. Nilikuwa nakutana na watu ambao walikuwa wanani inspire kufika walipofika, watu kama kina mama Tibaijuka, kamanda Tibaigana, nk
2. Nilianza kufukuzia pisi kali, zinazotoka familia ambazo kiukweli zinajiweza kwahyo ikawa rahisi kuepukana na hawa wavaa vijola. Hapa nilipata baby mama kadhaa ambao wanajielewa na walinisaidia kwa kiasi kikubwa kutimiza ndoto zangu kupitia connection za washua wao.
3. Nilijifunza kuishi in a civilized way ambayo washua wengi mjini wanaishi, inaleta wepesi kwenye kuchangamana na washua wengine hata kama unakutana nao sehemu tofauti.
4. Fursa za kazi nilizipata kwa urahisi kwa sababu maboss walikuwa wengi, ukikomaa ukapewa appointment tu, ushatoboa. Lazima hapa uwe mshiriki wa mambo ya kijamii kama jumuiya, misiba na shughuli zingine.
 
Usile vizuri , Wala usivae vizuri wataanza kuulizana anafanya kazi Gani? Anaishi wapi?.....watatamani waone mpaka unapolala
 
Me kipindi najitafuta sikuwahi kukaa uswahilini na kiukweli ilinisaidia,
1. Nilikuwa nakutana na watu ambao walikuwa wanani inspire kufika walipofika, watu kama kina mama Tibaijuka, kamanda Tibaigana, nk
2. Nilianza kufukuzia pisi kali, zinazotoka familia ambazo kiukweli zinajiweza kwahyo ikawa rahisi kuepukana na hawa wavaa vijola. Hapa nilipata baby mama kadhaa ambao wanajielewa na walinisaidia kwa kiasi kikubwa kutimiza ndoto zangu kupitia connection za washua wao.
3. Nilijifunza kuishi in a civilized way ambayo washua wengi mjini wanaishi, inaleta wepesi kwenye kuchangamana na washua wengine hata kama unakutana nao sehemu tofauti.
4. Fursa za kazi nilizipata kwa urahisi kwa sababu maboss walikuwa wengi, ukikomaa ukapewa appointment tu, ushatoboa. Lazima hapa uwe mshiriki wa mambo ya kijamii kama jumuiya, misiba na shughuli zingine.
Safi sana, lazima ujitengeneze kuwa mtu Fulani ili upate mambo Fulani
 
nimeishi tandale kwa tumbo kwa miaka 19, eeh mungu nashukuru sana kwa kuniondoa ukO nimeuona ukuu wako, USWAHIINI NI SEHEMU ISIYOFAA, NITAUBIRI NENO HILI KWA WATOTO NA WAJUKUU ZANGU.
 
Hawa jamaa kwenye huu uzi wako walikukaribisha na kukutunza hapa Dar, sasa hivi umeanza kuwananga

 
Mazingira Yana influence katika kumjenga mtu tabia...na kawaida huwez ona au tambua kuwa upo affected na mazingira labda mtu Baki anaweza kumwambia .

Uswailini sio sehem sahihi kuishi.. uswailini panaua ndoto, uswailini panafundisha uchafu, uswailini panafundisha umalaya Kwa pande zote , uswailini panafundisha kulalamika ktk kila jambo, uswailini unaweza ridhika na vitu vidogooo ktk maisha, uswailini.....!!!

Uswailini ni kuzimu ya duniani...
 
Hawa jamaa kwenye huu uzi wako walikukaribisha na kukutunza hapa Dar, sasa hivi umeanza kuwananga

Mimi ni msomi mkuu ninaishi kwa kuchanganua mambo Na Mimi sikuzaliwa kushindwa kwenye haya maisha, ndani ya siku kadhaa nilizoishi uswahilini daressalam hicho ndicho nilichokigundua Na Leo nawaasa vijana wenzangu wapambanaji kama Mimi, wasiokubali kushindwa kama Mimi, wanaofanyiwa figisu, ghilba, choyo Na hiyana kwenye mambo yao ili wasitoboe lakini bado mungu anawainua....Kila nitakapokuwa napata kitu kipya katika kujifunza kwangu sitaacha kushea hapa jamii forum..
 
Asantee
Mazingira Yana influence katika kumjenga mtu tabia...na kawaida huwez ona au tambua kuwa upo affected na mazingira labda mtu Baki anaweza kumwambia .

Uswailini sio sehem sahihi kuishi.. uswailini panaua ndoto, uswailini panafundisha uchafu, uswailini panafundisha umalaya Kwa pande zote , uswailini panafundisha kulalamika ktk kila jambo, uswailini unaweza ridhika na vitu vidogooo ktk maisha, uswailini.....!!!

Uswailini ni kuzimu ya duniani...
 
Una hoja, lakini uswahilini ndio kuna supu za jero, maharagwe jero, pande la muhogo 100, yani ukiwa na buku uswahilini asubuhi breakfast unapata, ukiwa na buku mbili unapiga breakfast ya kifahari.

Sasa unapotaka wahamie wakati wanajitafuta wataweze breakfast za shilling 5000 na kuendelea?
Apa umenena mkuu ushwahilini ukiwa na buku uhakika wa kushiba upo
 
Me kipindi najitafuta sikuwahi kukaa uswahilini na kiukweli ilinisaidia,
1. Nilikuwa nakutana na watu ambao walikuwa wanani inspire kufika walipofika, watu kama kina mama Tibaijuka, kamanda Tibaigana, nk
2. Nilianza kufukuzia pisi kali, zinazotoka familia ambazo kiukweli zinajiweza kwahyo ikawa rahisi kuepukana na hawa wavaa vijola. Hapa nilipata baby mama kadhaa ambao wanajielewa na walinisaidia kwa kiasi kikubwa kutimiza ndoto zangu kupitia connection za washua wao.
3. Nilijifunza kuishi in a civilized way ambayo washua wengi mjini wanaishi, inaleta wepesi kwenye kuchangamana na washua wengine hata kama unakutana nao sehemu tofauti.
4. Fursa za kazi nilizipata kwa urahisi kwa sababu maboss walikuwa wengi, ukikomaa ukapewa appointment tu, ushatoboa. Lazima hapa uwe mshiriki wa mambo ya kijamii kama jumuiya, misiba na shughuli zingine.
Wewe ni Mhaya?
 
Kijana unaepambana kimaisha ukipata auheni kidogo hama huko uswahilini, hasa hasa jiji la Dar es Salaam, uswahilini ya Dar es salam ni milango ya kuzimu ..watu wamechoka, watu wamekata tamaa, Jana yao ni Bora sana kuliko Leo.

Mwanyamala kwa kopa, Manzese, Tandika, Mbagala sehemu sehemu. kuendelea kukaa uswahilini kunafunga liziki zako

Kumbuka uswahilini ndio sehemu pekee watu hushindana Kula vizuri Na hapana lingine wanalofikiria..
Mkuuu kwa.maisha ya sasa yalivyoo wabaki hukohukoo else tutazalisha mashogaaa wengi wasio na tija
 
Halafu mwisho wa siku watoto wako wewe mshuwa na mimi mswazi wote wanakutana bodi ya mikopo na wanasoma chuo kimoja, hapo mjinga nani?
Cha ajabu nini mkuu wangu, baada ya chuo hapo kati ya mtoto wa uswazi na kishuani yupi atapata connection ya kazi haraka na ya maana, ukweli ni huo kaka
 
Back
Top Bottom