🤣🤣🤣sinza sijawahi kupaelewa isee ni kama uswahili tu kulipopoa.Sio hivyo mkuu! Mimi mwenyewe wakati najitafuta geto langu la kwanza lilikuwa gongolamboto mzambarsauni! Si kwauswahili huo! Nikaamia sinza potelea mbali nikishindia mihogo chpsi dume! Uamuzi uu ulinisaidia sana
Jinsi ya kufikiri na kutamani maisha ya ushuani! Kuanzia hapo nilianza kutamani nijenge nyumba ya aina gani na ninunue kiwanja sehemu gani!ilikusaidia nini ulipohamia Sinza?
Labda sasa hivi lakini miaka ya 90 walikaa watu wanaojielewa!🤣🤣🤣sinza sijawahi kupaelewa isee ni kama uswahili tu kulipopoa.
Ni kweli mkuu uswahilini kuna changamoto kibao, kelele nyingi na kufuatiliana maishaKijana unaepambana kimaisha ukipata acheni kidogo hama huko uswahilini,hasa hasa jiji daressalam, uswahilini ya daressalam ni milango ya kuzimu ..watu wamechoka, watu wamekata tamaa, Jana yao ni Bora sana kuliko Leo .. mwanyamala kwa kopa, manzese, tandika ..mbagara sehemu sehemu.. kuendelea kukaa uswahilini kunafunga liziki zako ..kumbuka uswahilini ndio sehemu pekee watu hushindana Kula vizuri Na hapana lingine wanalofikiria..
NitayatajaNi kweli mkuu uswahilini kuna changamoto kibao, kelele nyingi na kufuatiliana maisha
Yataje basi maeneo ambayo hayana uswahili ili watu wayatambue.
😁😁 chukua kata hiyo mkuuMimi uswahilini sihami, kwanza wananishawishi niwe diwani wao, huko ushuwani kwenu ananijuwa nani?
Mimi au wewe?Acha ushamba mkuu
unawaongoza huku unakula viuno OG vya kina mwajuma ndala ndefu😂Mimi uswahilini sihami, kwanza wananishawishi niwe diwani wao, huko ushuwani kwenu ananijuwa nani?
Kabisavery very true ndugu.
Well said MkuuSehemu yoyote utakayoishi hapa Tanzania zingatia kitu kinaitwa Authentic Life ( Kuishi maisha yako) na sio kuiga na kufata mkumbo.
Uswahilini kuna watu wamejenga maghorofa ,biashara wanafanya and everything is on map .
Kufanikiwa huwa ni mchakato wa kujua Unataka nini tu na kuanza kupambania na kufanyia kazi.
Then unabidi kuelewa -uswahili watu wengi hawafanikiwi wala kujipata ni kwa sababu wanakuwa Vulnerability (kushambulika ,kimwili ,kiakili kiroho)
Mfano , Ngono ,pombe ,kamali, bangi, kuacha shule na mimba zisizo na baba yote hii humpata MTU ambaye anaishi maisha ambayo sio yake.
Hivyo mkuu , uswahili ni kama ilivyo ushuwani ukiweza kuishi Authentic life - maisha yako halisi Genuine maana yake hata uishi na wazinzi ,walevi ,wezi ,wavuta bangi Ila bado hautokuwa vulnerability na kutoka mchezoni.
Mambo ya lango la kuzimu ni maneno yanayotamkwa na watu wajinga huwezi kuita sehemu lango la kuzimu wakati wengine katika hilo lango wametoboa na wanaishi vizuri
Well said Mkuu
Ila kwanini kijana akiwa na hiyo authentic life kama ulivyoieleza then akiwa anaish uswahilini anakutana na changamoto sana hususa kwa wanaomzunguka?
Uswazi huko yani ni vigodoro kwenda mbele,mipasho, wananchi hawawazi maendeleo ni vijiwe tu, huko uswazi full kurogana, wuvu, husda, kuibiana ma bwana, matusi kiujumla hakuna maadili watoto wala sio kwa wakubwa ni matusi kwenda mbele, watu wanaokaa huko hawana ustaarabu kama wewe ni mstaarabu huko hakukufaiKijana unaepambana kimaisha ukipata acheni kidogo hama huko uswahilini, hasa hasa jiji Dar es Salaam, uswahilini ya Dar es salam ni milango ya kuzimu ..watu wamechoka, watu wamekata tamaa, Jana yao ni Bora sana kuliko Leo.
Mwanyamala kwa kopa, Manzese, Tandika, Mbagala sehemu sehemu. kuendelea kukaa uswahilini kunafunga liziki zako
Kumbuka uswahilini ndio sehemu pekee watu hushindana Kula vizuri Na hapana lingine wanalofikiria..
[emoji12][emoji12]Shida ukianzisha familia uswahilini ni ngumu kuibadilisha hata ukihamia palipo tulia utajikuta familia yako bado inakua ya kiswahili swahili
Kaa sehemu unapata changamoto za kukua ki akili sasa uswahilini unatoboajeSio hivyo mkuu! Mimi mwenyewe wakati najitafuta geto langu la kwanza lilikuwa gongolamboto mzambarsauni! Si kwauswahili huo! Nikaamia sinza potelea mbali nikishindia mihogo chpsi dume! Uamuzi uu ulinisaidia sana
Wewe unawaza kama waswazi wenzako ndiyo tunachosema hapa sasa[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi uswahilini sihami, kwanza wananishawishi niwe diwani wao, huko ushuwani kwenu ananijuwa nani?