Kijana Usifanye Maisha na Aina hii ya Mwanamke!!

Kijana Usifanye Maisha na Aina hii ya Mwanamke!!

Shunie ....., nitaandika tu 'Asomaye aelewe".


Ona mfano, Kuna Bidada wiki ilopita nilichukua namba yake, na nikamwambia ,Nina familia,nahitaji urafiki nawewe wakawaida yaan Kufuck na mengine .


Bidada alinitukana sana sana matusi ya mbwa koko.
Sikumjibu... Lkn nikawa namtext...Mwanamke mzuriii nmemis kuona unavyotembeaa vizuri..na blaah blaaah kibao...akawa hajibu.



Leo kanitafuta mwenyewe wasap ,yaan mahaba mahabani !!


SIWEZI KUMLAUMU WALA KUMUONA MJINGA,, NI KWA SABABU MIMI MWENYEWE NDIO NMEMFANYA ASAHAU KUA ALINIKATALIA MWANZO.


So kwenu nyie wanawake. Huwa hata MTU mmjue vipi, kama mkimwelewa mnamwelewa ivoivo regardless ya ukweli ALOKWAMBIA......HISIA !!!.
Carlos halafu ulimwambia ukweli napenda mwanaume mkweli hata aniambie ukweli uniumize lakini amesimama kwenye ukweli wake sasa kutana na wanaume waongo utajuta kwanza hawajiamini kabisa
 
Carlos halafu ulimwambia ukweli napenda mwanaume mkweli hata aniambie ukweli uniumize lakini amesimama kwenye ukweli wake sasa kutana na wanaume waongo utajuta kwanza hawajiamini kabisa
Nawewe umeona mengi..😂

Upo salama kweli..?
 
Back
Top Bottom