Kijana usiingie kwenye ndoa kwa tumaini la kusaidiana na mkeo kifedha

Kijana usiingie kwenye ndoa kwa tumaini la kusaidiana na mkeo kifedha

Mkuu zama zimebadilika, unaweza ukajikuta una 45+ na bado huelewi
Hiyo inasababisha ongezeko la watoto wa mitaani, mtu anaingia ndoa wakati uwezo hana wa kuhudumia mke, amna mwana mke asie penda raha na maisha mazuri ni uvumilivu tu nakukosa pa kuenda, au mtongozaji serious
 
Sasa sini bora tu ukaoa mwanamke ambae hana chochote ukajitambua una mzigo na ukajipanga kuubeba hutojilaum sana kuliko kuoa mwenye chochote kitu afu akakuachia msalaba mzimamzima utajihisi umesalitiwa[emoji80]
Mkuu ni mind set yako, kwanini utegemee pesa ya mkeo, mwana umme upanga bajeti ya kuendesha familia kwa kutegemea mkeo!!!! Hayo ni majenga kweli kweli ndo maana wengi wanamalizia na broken families
 
Mkuu ni mind set yako, kwanini utegemee pesa ya mkeo, mwana umme upanga bajeti ya kuendesha familia kwa kutegemea mkeo!!!! Hayo ni majenga kweli kweli ndo maana wengi wanamalizia na broken families
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ausio naona tajiriii hutaki kabisa mkeo akusaidie hata kununua Chumvi.. Anyway muda ni mwalimu mzuri
 
Hakunaga mwanamke wa maisha fulani. Unaweza kutana na binti wa kishua ambaye ameishi kishua maisha yake yote ila ukaanza nae mahusiano akakubali kuanza kurasa mpya ya maisha na wewe tena maisha ya kawaida na aka adopt.
Wanawake kiubongo wapo wired kuona mwanaume anafanya mambo mazuri ya kufanya maisha yake kuwa interesting so haijalishi ni mambo gani. [emoji3578][emoji4][emoji106]
 
Watu si wanafikiria maisha ni burudani tu. Maisha ni fumbo mkuu, kuoa ni mtihani unahitaji akili sana. Binafsi mi ntao mke wa mfano wa huyo shemeji yako. Hata nikifa watoto wangu wako sehemu salama coz mama yao ni strong.
Una akili mingi Sana mkuu,
Nafatilia comments zako kwa karibu Sana
Vijana Wana mengi ya kujifanza humu wasipuuze
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ausio naona tajiriii hutaki kabisa mkeo akusaidie hata kununua Chumvi.. Anyway muda ni mwalimu mzuri
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Hahahah mkuu uko with negative thoughts kuhusu relationship na ndoa. Mwanamke sio mtu special kama unavyodhani, mlichopishana ni mindset na viungo vya uzazi tu.

Kuishi na mwanamke kama mke wako inataka akili na utu na heshima sana. She has to know you first na aweze ku adopt na mazingira yako. Sasa unaposema uoe ila usitegemee msaad toka kwa mke ile dhana ya mke kuwa msaidizi wako inakuwa haiko, unaoa ili iweje sasa?

Kama unaoa mke aje kuwa kama parasite huo ni uamuzi wako. Ambao wataoa wake wakijua maisha ni kupwa na kujaa kama bahari waache waoe wa aina hio. Mwanamke yuko wa kuendana na kila mtu.
Kwa kweli lengo la kuoana ni kusaidiana kwa kila jambo.
 
Una akili mingi Sana mkuu,
Nafatilia comments zako kwa karibu Sana
Vijana Wana mengi ya kujifanza humu wasipuuze
Yeah wa kusikia na asikie, anaekaza fuvu basi aendelee kukaza fuvu tu
 
Kwa kweli lengo la kuoana ni kusaidiana kwa kila jambo.
Ni kweli inapswa iwe hivo ila most of our girls are primitive wana olewa kupata walivyo kosa kwao kupata raha starehe sio kusaidia mwanaumme kifedha ukiwa na fikra kama hiyo na ukawa frustrated na mkeo utachanganyikiwa bure, bora ujitowe mapema kutegemea pesa ya mwanamke.
 
Ukishaweka akilini ndoa ni Vita utapata tabu. Na ni heri usioe, kwanini uumizwe na mtu uliyejuana nae ukubwani. Mwanamke humwelew mteme achana nae maswala ya vita hamko jeshini.
We mbona umekazania watu wasioe wasiolewe[emoji848][emoji848]

Halafu unajiita mideko daaah
 
OKW BOBAN SUNZU jamaa yako bado anateseka na ule uzi wako uliomnyoosha 2M shemeji yetu
Huyu jamaa angu alibugi mwanaumme unashindwa je kushawishi mkeo akupe pesa kihalali kuliko kutumia njia za utapeli, udalali wizi. Naona hawezi kutegeneza huyu demu wake vizuri hao viumbe ni rahisi kuwamanipulate lakini sio kuwaibia mkuu wa familia hapana
 
Hahahah mkuu uko with negative thoughts kuhusu relationship na ndoa. Mwanamke sio mtu special kama unavyodhani, mlichopishana ni mindset na viungo vya uzazi tu.

Kuishi na mwanamke kama mke wako inataka akili na utu na heshima sana. She has to know you first na aweze ku adopt na mazingira yako. Sasa unaposema uoe ila usitegemee msaad toka kwa mke ile dhana ya mke kuwa msaidizi wako inakuwa haiko, unaoa ili iweje sasa?

Kama unaoa mke aje kuwa kama parasite huo ni uamuzi wako. Ambao wataoa wake wakijua maisha ni kupwa na kujaa kama bahari waache waoe wa aina hio. Mwanamke yuko wa kuendana na kila mtu.
Umenena vizuri Sana mkuu
 
Mtoa mada Ana mindset ya kipumbavu Sana.Kwanza Ni utwambie umetumia sample ya watu wangapi katika huo utafiti wako ndo ukajua ndoa bila hell ya mwanaume haidumu?

Unatakiwa ujue kwamba maisha hayana fomyula hata kidgo.Wapo watu wengi Sana ambao Wana uchumi mzuri Sana na bado ndoa zao zinayumba na pia wapo ambao uchumi wao haujakaa vizuri ika ndoa zao zimejaa upendo,amani,furaha na uaminifu.

Uaminifu,upendo na utu uzima ndo vigezo vikubwa Sana vya kuzingatia kwenye suala la kumchagua mwenza wako.

Tuache kupotoshana kwa mambo ya kijinga kijinga.
 
Marriage ( Love) is one thing and Money is another thing.
Put that in your mind.
Sahii kabisa
Mwanaume Kuitwa Kichwa Cha familia sio kua na uwezo wa kukuna pumbu TU asbh.

Bali Ni uwezo wa kumhudumia familia yako, ya wazazi wako, na wazazi wa mkeo[emoji4][emoji106]
 
Usikute unamfanyia hay
Mimi nina mke ni takribani miaka 11 ila ni metenganisha pesa za mke wangu na zangu, zangu zina simamia majukumu yote ya familia bila kumtegemea huyu wife na lipa ada za wanangu nanua chakula cha fortnight, na fuel gari langu na nampa lifiti kila siku kazini kwake bila yeye kuchagia mafuta na aliniumi....... ni kikosa pesa nakaa ndani bila kumsemesha chochote anachangia sometime ila simuamambie ahsante sitaki mazoea ya kujishusha kwake.. ...mkuu na kushauri viapo vya kanisani viache uko uko madhabuhuni huku field mambo tofauti wanawake sio kabisa, kuna baadhi wana wasomesha ila mwishowe wana achwa kisa mme sio wa adhi yake.
Usikute unamfanyia haya yote ila bado unagongewa na njemba fulani huko kazini kwao.
 
Back
Top Bottom