Kijana usijaribu kumsaidia binti jambo lolote au kiasi chochote cha pesa kama huyo binti si ndugu yako

Kijana usijaribu kumsaidia binti jambo lolote au kiasi chochote cha pesa kama huyo binti si ndugu yako

Kichwa cha habari kinahusika.
Ni nature ya Dunia wanawake ni watu wabinafsi, hasa hawa wadada.
Hawana cha kukupa zaidi ya UTI
Hawana shukrani
Wakikutana na msaada mwingine anaanza kuusahau msaada wako anaanza kumwazia yule wa pili, tatu n.k
Saidia wazazi wako au ndugu zako wa damu, huo ndio uwekezaji usiotia mashaka.
Utafiti unaonyesha kuwa karibu ndoa zote katika dunia ya 3 mwanamke anamdai pesa mume wake. Unashangaa baba ndiye mfanyakazi sasa hizi pesa mke anazomdai mume wake zimetoka wapi?
Ni kwamba mume humpa mke pesa bure hata laki 5, milioni n.k ila mke akimpa mume elfu 20 hiyo atamkopesha.
Kama si mke wako, dada yako , shangazi au mama yako usimpe pesa. Hata kama anataka kutoka roho usimpe.
ndo niko nataka niwaombe wajomba zangu hapa Watu8 Glenn na bamdogo Ngalikihinja
 
Kichwa cha habari kinahusika.
Ni nature ya Dunia wanawake ni watu wabinafsi, hasa hawa wadada.
Hawana cha kukupa zaidi ya UTI
Hawana shukrani
Wakikutana na msaada mwingine anaanza kuusahau msaada wako anaanza kumwazia yule wa pili, tatu n.k
Saidia wazazi wako au ndugu zako wa damu, huo ndio uwekezaji usiotia mashaka.
Utafiti unaonyesha kuwa karibu ndoa zote katika dunia ya 3 mwanamke anamdai pesa mume wake. Unashangaa baba ndiye mfanyakazi sasa hizi pesa mke anazomdai mume wake zimetoka wapi?
Ni kwamba mume humpa mke pesa bure hata laki 5, milioni n.k ila mke akimpa mume elfu 20 hiyo atamkopesha.
Kama si mke wako, dada yako , shangazi au mama yako usimpe pesa. Hata kama anataka kutoka roho usimpe.
Hii nakazia kabisa usitoe pesa kwa kiumbe yoyote anaitwa mwanamke zipende pesa zako tu
 
Kichwa cha habari kinahusika.
Ni nature ya Dunia wanawake ni watu wabinafsi, hasa hawa wadada.
Hawana cha kukupa zaidi ya UTI
Hawana shukrani
Wakikutana na msaada mwingine anaanza kuusahau msaada wako anaanza kumwazia yule wa pili, tatu n.k
Saidia wazazi wako au ndugu zako wa damu, huo ndio uwekezaji usiotia mashaka.
Utafiti unaonyesha kuwa karibu ndoa zote katika dunia ya 3 mwanamke anamdai pesa mume wake. Unashangaa baba ndiye mfanyakazi sasa hizi pesa mke anazomdai mume wake zimetoka wapi?
Ni kwamba mume humpa mke pesa bure hata laki 5, milioni n.k ila mke akimpa mume elfu 20 hiyo atamkopesha.
Kama si mke wako, dada yako , shangazi au mama yako usimpe pesa. Hata kama anataka kutoka roho usimpe.
Ila ni kweli, Mwanamke ni mbinafsi

Akipata wa zaidi yako anakusahau,yupo kwa faida za upande wake zaidi
 
Back
Top Bottom