Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Ndo maana sasa wazazi tujaribu sana katika kufuatilia malezi kwa karibu ya watoto wetu. Wamjuwe Mungu na kuwa na maadili mema ili kuepuka huo ushenzi. Maana huko mtaani wapo busy kuhakikisha watoto wanaharibika hii ni VITA ya kiroho.
Asa kama mpk Papa anaogopa kuwasema na baadhi ya kanisa zinafungisha ndoa ya jinsia moja bus hakuna tunachoweza Fanya zaid ya kukomaa na familia yako asitokee mtu uyo na kuomba mungu xnaa
 
Una uhakika gani km alikua anakuzingua
Ushawahi kumshuhudia?
Kwahiyo unahisi ni story za sungura na fisi?
Yule dogo ss hivi anabond wigs kichwani, anavaa crop top na chain kiunoni. Na kinachoumiza mwanaume ambaye ndio basha wake ni m/kiti wa mtaa 😭😭😭😭
Na ni mtu ambaye alikuwa karibu sana na mama yake.!!
 
Acheni hizo nyinyi mboni mnawafira Wanawake baada ya kuwafira hua mnawaambia hivyo au sababu ni Wanawake basi kuingiliwa nyuma ni sawa ni haki yao?
Unaonea wivu hadi wanawake, vipi nawewe Diarra katoka golini nini?
 
Every person ana story yake
Some did it for money, some were molested, some learnt it in same sex schools, some explore it as a sexual fantasy after testing female behinds and some of us only felt it naturally. No influence or whatsoever
Kwa hio kwako ww uko kwenye kundi la kua umezaliwa hivyo ?
 
Acheni hizo nyinyi mboni mnawafira Wanawake baada ya kuwafira hua mnawaambia hivyo au sababu ni Wanawake basi kuingiliwa nyuma ni sawa ni haki yao?
Hapo ndipo wanaume wanaponishangaza, kwa KE ni sawa kuwafanyia hivyo ila ME wanapiga vita.!!

“Ni sawa na kusema nyama ya nguruwe hali ila mchuzi wake anakunywa” bora km umeona unafiki wa wanaume wenzio
 
Ungeacha uone pishi lake afu akuulize utakula ndio ule au ule ndio utakulaa
 
Ungeacha uone pishi lake afu akuulize utakula ndio ule au ule ndio utakula
 
Na Wewe unaemfira Mwajuma una Akili gani au kwa sababu Mwajuma ni Mwanamke na ukishamuingilia kwa nguvu unakua umefanya nini km sio sawa umemuingilia Mwanaume tu?
Kwa mwajuma unaeza jitetea kua umekosea maana hio hutokea Mara nyingi tuh
Ila kwa jumaa utakosea vipi na juma analo tundu moja tuh
 
Kwa hiyo vikipatikana vilainishi hakuna shida?
 
Hapo ndipo wanaume wanaponishangaza, kwa KE ni sawa kuwafanyia hivyo ila ME wanapiga vita.!!

“Ni sawa na kusema nyama ya nguruwe hali ila mchuzi wake anakunywa” bora km umeona unafiki wa wanaume wenzio
Poor souls
 
Kwa hiyo vikipatikana vilainishi hakuna shida?
Kuzuia vilainishi Ni kuhatarisha maisha ya wanaofanya bila vilainishi. Tunajidanganya hao watu hawapo na hawafanyi kitu ambacho si kweli. Wanafanya Tena wanahatarisha maisha Yao zaidi
 
Nakutembezea likes tu mwanangu since day one
 
Duuuh... Mwamba ni mtu wa kuliwa ndogo huyu, mtu wa kisamvu 😂
 
Ingekua mtu ukibanduliwa unakua na hela gays wengi wangekua matajiri.

Acha kupotosha watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…