Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Muulize vizuri


Kuna maelezo zaidi kwa huyu mwamba, nimemblock ila kanisaka hadi insta kaja niomba tuonane..anasumbua sio kawaida.

Nimempanga nipo lodge nika.wambia aingie sijui alienda wakamwambiaje maana sikuepo.

NIkajua atakasirika nilivyomdanganya ila wapiiiii ndio kwanza ananibadilishia namba tu.
 
Upo tayari kumuona mwanao au mdogo wako / kaka yako anafanya hivyo vitendo?
 
Kuna apps zinahamasisha hizo mambo
www.grindr.com
 
Hapo ndipo wanaume wanaponishangaza, kwa KE ni sawa kuwafanyia hivyo ila ME wanapiga vita.!!

“Ni sawa na kusema nyama ya nguruwe hali ila mchuzi wake anakunywa” bora km umeona unafiki wa wanaume wenzio
😀😀😀😀Hata ziwani kuna samaki hawaliwiii msihalalishee haramuuuuu
 
Ushogaa unaanzaga kama mzahaa.. Mtoto wa kiume unasfiwaaa sifa za kidemuu unachekaaa oohoo..!!
 
Ushogaa unaanzaga kama mzahaa.. Mtoto wa kiume unasfiwaaa sifa za kidemuu unachekaaa oohoo..!!
MAra mama anamfunga mtoto wa kiume kitenge,sjui kanga walahi niliona hivyo siku kwa mama mtoto wangu niliwapa onyo iwe mwanzo na mwisho kumpa ashike hata kitenge chenu.

Tumia TAULO kwa mtoto wa kiume, ushoga unaanzaga taratbu kwa vitu vidogo sana
 
Bado hujamuuliza
 
MAra mama anamfunga mtoto wa kiume kitenge,sjui kanga walahi niliona hivyo siku kwa mama mtoto wangu niliwapa onyo iwe mwanzo na mwisho kumpa ashike hata kitenge chenu.

Tumia TAULO kwa mtoto wa kiume, ushoga unaanzaga taratbu kwa vitu vidogo sana
Mnoo yani Mimi kuna kijana nilimshuhudia toka anaanza hizo dalili lakini zikawa suguu tokana na watu kumjaza ujingaa ubaya hata ikitokea maigizo ya Sehemu anahitajika mtu kuigiza kama Mdada alikuwa anaitwa dogo aigizee aisee mwisho wa siku hadi shule akatimuliwaa.
 
Hicho kitendo kinafanywa Kwa Siri kubwa. Kasoro Zanzibar ndio hawajifichi
Ndo maana nimesema wazazi wawe makini kufuatilia nyendo za watoto wao na malezi kwa ujumla. Hao wanaofanya kwa siri tayari wameshakosa malezi ya wazazi na jamii imewatupa. Tuangalie mzizi wa tatizo kuanza kutibu huo ugonjwa.
 
Tatizo sipo tu huko.Mazingira niliyokulia hao watu nimewaona tangu nipo mtoto,mpaka leo nimekuwa wapo.
Nimewaona wanavyofurahia Maisha Yao,wanavyougua homa za mgongo na HIV.Mpaka wanavyokufa tunaenda kuwasitiri.
Ni Binadamu tu kama sisi,na hiyo ndio lifestyle Yao.
Wengine kwa kutaka tu wenyewe kwa tamaa zao na kushindwa kudhibiti miili Yao.Na wengine wako hivyo tangu watoto wadogo.
I Don't judge.
 
Na hata hao wanawake wanaofanyiwa hivyo wengi wao wanafanya kwa tamaa ya fedha na kusaidiwa maisha kama ilivyo kwa vijana wa kiume. Kimsingi familia zimeshindwa kuwasimamia vyema .
 
Na ndio hao hao wanawaingilia na wanaume wenzao, wakikosa kwa wanawake wanaanza kuinamishana wao kwa wao ila hapa sababu ya unafiki wao huwaoni kupinga.!!

Wao mpk wanaowaingilia wote ni mashoga, na km kuuliwa basi waanze wao wanaoingilia wenzao nyuma.
 
H
Ahahaha we jamaa umekula hapo mpk ukaja kumuita mkee
Ety ataku control usiwe na hamu manina kuna vituko dunian
 
😀😀😀😀Hata ziwani kuna samaki hawaliwiii msihalalishee haramuuuuu
Waambie wanaume wenzio wanaosifia kuwasodoma wanawake halafu kwa wanaume wanapinga na unafiki wao.
 
Shule za bweni ziwekewe ulinzi na utaratibu maalum kwa jinsia zote ili kuepusha ushoga na usagaji.

pia tuombe kwa mola mlezi atuepushe na hiyo laana hasa kwa taifa letu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…