Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Muulize vizuri
Screenshot_20240630_131703_Messages.jpg


Kuna maelezo zaidi kwa huyu mwamba, nimemblock ila kanisaka hadi insta kaja niomba tuonane..anasumbua sio kawaida.

Nimempanga nipo lodge nika.wambia aingie sijui alienda wakamwambiaje maana sikuepo.

NIkajua atakasirika nilivyomdanganya ila wapiiiii ndio kwanza ananibadilishia namba tu.
 
Iwe kwa sababu yoyote Ile,Siwezi kumhukumu mtu anayefanya mapenzi ya jinsia Moja.
Mwili ni wake,hiyo tuzi anayotoa ni yake,madhara na faida anayepata ni yeye,kama Mungu yupo siku ya hukumu atakayehukumiwa ni yeye,anayetengwa na kujitenga na jamii ni yeye!!
Mimi ni nani kumhukumu Binadamu mwenzangu?
Sishiriki aina hiyo ya ngono lakini Sina usafi wa kuwaona wengine ni wakosefu kuliko Mimi.
Upo tayari kumuona mwanao au mdogo wako / kaka yako anafanya hivyo vitendo?
 
Kijana wa kiume usishawishike hata upewe mamilioni ya pesa usikubali kuuza utu wako. Unapewa kilema cha maisha bila kujua.

MADHARA

1. Uwezekano wa kupata UKIMWI na magonjwa mengine ya Ngono ni mkubwa (michubuko) maana sehemu ya haja kubwa haikuandaliwa kupitisha mizigo mikubwa na bongo vilainishi marufuku.


2. Ukipata matatizo, hospitali za bongo utaambulia matusi na kunangwa huku unaoza,

3. Hao mabazazi watakuchekea wakufumue Tu hawana muda na wewe wakishakuharibu,

4. Nawajua vijana kadhaa kwa sasa inabid wavae diapers kuzuia haja kutoka bila taarifa.

5. Mmoja anaomba michango akatibiwe India, waliokua wanampapasa wanamkimbia. Michango tunaombwa watu Baki. Sio fair!
Kuna apps zinahamasisha hizo mambo
www.grindr.com
 
Hapo ndipo wanaume wanaponishangaza, kwa KE ni sawa kuwafanyia hivyo ila ME wanapiga vita.!!

“Ni sawa na kusema nyama ya nguruwe hali ila mchuzi wake anakunywa” bora km umeona unafiki wa wanaume wenzio
😀😀😀😀Hata ziwani kuna samaki hawaliwiii msihalalishee haramuuuuu
 
Hili jina sijui lina shida gani? Kuna dogo ana jina km hilo, alikuwa kijana mzuri nikawa namtania mchumba, siku naenda home napata habari zake kawa shoga nililia mpk sasa siamini. Hata kumuona sitaki naogopa nitalia na itaweza kumfanya azidi kujisikia vibaya.
Hivi vitu vinaumiza kwa watu wetu wa karibu
Ushogaa unaanzaga kama mzahaa.. Mtoto wa kiume unasfiwaaa sifa za kidemuu unachekaaa oohoo..!!
 
Ushogaa unaanzaga kama mzahaa.. Mtoto wa kiume unasfiwaaa sifa za kidemuu unachekaaa oohoo..!!
MAra mama anamfunga mtoto wa kiume kitenge,sjui kanga walahi niliona hivyo siku kwa mama mtoto wangu niliwapa onyo iwe mwanzo na mwisho kumpa ashike hata kitenge chenu.

Tumia TAULO kwa mtoto wa kiume, ushoga unaanzaga taratbu kwa vitu vidogo sana
 
View attachment 3029710

Kuna maelezo zaidi kwa huyu mwamba, nimemblock ila kanisaka hadi insta kaja niomba tuonane..anasumbua sio kawaida.

Nimempanga nipo lodge nika.wambia aingie sijui alienda wakamwambiaje maana sikuepo.

NIkajua atakasirika nilivyomdanganya ila wapiiiii ndio kwanza ananibadilishia namba tu.
Bado hujamuuliza
 
MAra mama anamfunga mtoto wa kiume kitenge,sjui kanga walahi niliona hivyo siku kwa mama mtoto wangu niliwapa onyo iwe mwanzo na mwisho kumpa ashike hata kitenge chenu.

Tumia TAULO kwa mtoto wa kiume, ushoga unaanzaga taratbu kwa vitu vidogo sana
Mnoo yani Mimi kuna kijana nilimshuhudia toka anaanza hizo dalili lakini zikawa suguu tokana na watu kumjaza ujingaa ubaya hata ikitokea maigizo ya Sehemu anahitajika mtu kuigiza kama Mdada alikuwa anaitwa dogo aigizee aisee mwisho wa siku hadi shule akatimuliwaa.
 
Hicho kitendo kinafanywa Kwa Siri kubwa. Kasoro Zanzibar ndio hawajifichi
Ndo maana nimesema wazazi wawe makini kufuatilia nyendo za watoto wao na malezi kwa ujumla. Hao wanaofanya kwa siri tayari wameshakosa malezi ya wazazi na jamii imewatupa. Tuangalie mzizi wa tatizo kuanza kutibu huo ugonjwa.
 
Tatizo sipo tu huko.Mazingira niliyokulia hao watu nimewaona tangu nipo mtoto,mpaka leo nimekuwa wapo.
Nimewaona wanavyofurahia Maisha Yao,wanavyougua homa za mgongo na HIV.Mpaka wanavyokufa tunaenda kuwasitiri.
Ni Binadamu tu kama sisi,na hiyo ndio lifestyle Yao.
Wengine kwa kutaka tu wenyewe kwa tamaa zao na kushindwa kudhibiti miili Yao.Na wengine wako hivyo tangu watoto wadogo.
I Don't judge.
 
Hawa watu ni Washenzi wanawaharibu sana Wanawake kwa kuwaingilia nyuma Ila zikija hizi mada wanajifanya wasafi wakati ni wachafu kabisa wanawafanya Wanawake kinyume na maumbile kwa asilimia nyingi means wanapendelea hio michezo michafu ya kuingia nyuma
Na hata hao wanawake wanaofanyiwa hivyo wengi wao wanafanya kwa tamaa ya fedha na kusaidiwa maisha kama ilivyo kwa vijana wa kiume. Kimsingi familia zimeshindwa kuwasimamia vyema .
 
Hawa watu ni Washenzi wanawaharibu sana Wanawake kwa kuwaingilia nyuma Ila zikija hizi mada wanajifanya wasafi wakati ni wachafu kabisa wanawafanya Wanawake kinyume na maumbile kwa asilimia nyingi means wanapendelea hio michezo michafu ya kuingia nyuma
Na ndio hao hao wanawaingilia na wanaume wenzao, wakikosa kwa wanawake wanaanza kuinamishana wao kwa wao ila hapa sababu ya unafiki wao huwaoni kupinga.!!

Wao mpk wanaowaingilia wote ni mashoga, na km kuuliwa basi waanze wao wanaoingilia wenzao nyuma.
 
H
View attachment 3029707

Mwanaume anakutania anataka kuja kupikaaa au sio??? Yani anataka kuja kunipikia dinner sio? Ananizingua sio


View attachment 3029708

Nikamwambia nimechoka akataka kuja nifanyia Massage, anazingua bado au sio??

Ngojea nkutaftie nilipoanza kumuita MKE WANGU na ana respond fresh kabisa...
Ahahaha we jamaa umekula hapo mpk ukaja kumuita mkee
Ety ataku control usiwe na hamu manina kuna vituko dunian
 
😀😀😀😀Hata ziwani kuna samaki hawaliwiii msihalalishee haramuuuuu
Waambie wanaume wenzio wanaosifia kuwasodoma wanawake halafu kwa wanaume wanapinga na unafiki wao.
 
Shule za bweni ziwekewe ulinzi na utaratibu maalum kwa jinsia zote ili kuepusha ushoga na usagaji.

pia tuombe kwa mola mlezi atuepushe na hiyo laana hasa kwa taifa letu.
 
Back
Top Bottom