Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Angalizo hapa, ukimuonea sana huruma shoga anaweza akatumia advantage huruma yako hatimae akakuletea design sio. Sasa ni bora umshtukie mapema coz ukichelewa wadau wanaweza wakadhani na wewe pia upo kwenye chama ... either ndo basha wake au nyote mnafumuliwa pamoja!

We mshauri tu ila usiweke sana ukaribu nae kaka, atakuchafua!
 
Japo wataalam wanashauri usijaribu kuonja kaa nao mbali
 
Gay smart na anayejitambua hawezi kuwa na mazoea holela na straight, kwan had afanye hivyo anatakajee? Straight ndo atake mazoea na Gay.

Afu mbona Bongo kuishi ni simple sana ukiwajulia waja!! Tatizo gays wengi wa Bongo hasa wasiokalia Dawati, hawajielewi wala hawajitambui, kutwaa kuranda kwenye mashughuri kuuuza nyago, au huko bar na club kujichoreshaaa.

Wakiishi life lao private, nongwa zinatoka wapiii? Unaishi kivyakoo had wao wanajiuliza anajimudu eeeh.
 
KIjana kuwaza tu hata haya mawazo,ni ushetani wa hari ya juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…