Huyo kijana ana akili sana
Kama uwezekano wa kupigana naye nikamshinda haupo, Binafsi Nita ondoka.Mkuu sehemu ulupokulia baba yako amejenga umelelewa hapo.
Akaja muhindi kukwambia ni kwangu kesho uondoke utaondoka?
Vita ni upumbavu.Ikitokea hii tanzania ya vijana wa sasahv kati ya 100 wataenda wawili.
Hakuna nchi ya wanaume waoga kama sis watanzania , maneno mengi hakuna vtendo
Panapotokea ukandamizaji hilo ndio linalofuata.Kama uwezekano wa kupigana naye nikamshinda haupo, Binafsi Nita ondoka.
Dunia hii ni kubwa sana, kama uwezekano wa kushinda ni mdogo ni bora kuhama.Panapotokea ukandamizaji hilo ndio linalofuata.
Hata wewe lazima utapambana tu, sioni shida watu kupambana kwa taifa lako kama wewe ambavyo hautakuwa tayari sehemu aliyokulea baba yako miaka zaidi ya 30 au 40 yupo hapo akaja muhindi akakuambia ondoka ni kwangu.
[emoji115][emoji116]Kwani hii ni vita ya kidini ?
[emoji115][emoji116]
Ohooooo [emoji16][emoji16]ana akili chache mno huyu hawez kujua hili
Hii ni falsafa ya juu sana ambayo bado haijafikiwa na binadamu wengi, tuishi kwanza kwenye utaifa.Ndio ikiwezekana yafutwe.
Kwani binadamu hawezi kuishi bila majeshi na kupigana?
Vita vyote vilivyo piganwa na vinavyo piganwa aliyeishia na anaye ishia kufa ni binadamu.
Dunia na ardhi ipo vilevile.
Sasa kupoteza uhai wako kwa vita ni upumbavu wa hali ya juu.
Uraia ni dhana ya kufikirika.
Nationality ni Fictional identity.
Kufa ukidai kwamba unapigania taifa lako ni upumbavu wa hali ya juu.
Mkuu magari na ajali zake zimeuwa watu wengi kuliko vita zote zilizokwisha piganwa hapa duniani- kama ni suala la watu kufa unahitaji kutushawishi zaidi
Huyo kijana,atafute nchi anayopenda akaishi huko, aiache Israel, kwa hiyo mtu mmoja ndo abadili sera za IDF? Yeye akaungane na jeshi la Hamas ili awasaidie hamas, sheria ya jeshi hakuna kuhoji, ikitaka mambo 6a kuhoji nenda kwenye siasa.Huyo kijana ana akili sana
Yeye kapata akili kabla hajajiunga.Karibuni nitawaletea kisa cha yule mwenzake kwanza aliyegoma kupigana akiwa na bunduki kamili halafu akatoka kabisa jeshini akipinga mafunzo ya jeshi la IDF kuwaona wapalestina wote kama ni maadui na viumbe vya kuuliwa tu,
Upumbavu ni kupoteza maisha yako kupigania ardhi ambayo ipo milele.
Halafu kuna mijitu ipo ikulu kazi kuzunguka kwenye viti tu, ikitoa order.
Moja ya kazi ya kipumbavu kwa binadamu ni uanajeshi.
Huyo kijana sio muoga.ila ametumia akili tu vyema.
Huwezi kupoteza maisha kisa Vita kupigana na binadamu mwenzako kisha mwisho wa siku wote mnakufa.
Mnachopigania kipo vilevile.
Kama uwezekano wa kupigana naye nikamshinda haupo, Binafsi Nita ondoka.