Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Huyo kijana ana akili sana
Yeye kapata akili kabla hajajiunga.Karibuni nitawaletea kisa cha yule mwenzake kwanza aliyegoma kupigana akiwa na bunduki kamili halafu akatoka kabisa jeshini akipinga mafunzo ya jeshi la IDF kuwaona wapalestina wote kama ni maadui na viumbe vya kuuliwa tu,