Kijana wa kiume mwenye miaka 40+ kuna ushauri wenu hapa

Kijana wa kiume mwenye miaka 40+ kuna ushauri wenu hapa

Usitake mtu aishi maisha unayoyafikiria kuwa sawa.

Watu waishi kwa kufuata sheria na kanuni mbalimbali za nchi

Tufurahie maisha
 
Ni maamuzi
Kama una miaka 40+ na unafanya yafuatayo:-​
  • Unafua nguo mwenyewe​
  • Unapiga nguo pasi mwenyewe​
  • Unajipikilisha/unajipikia mwenyewe​
  • Unajitandikia kitanda mwenyewe​
  • Unajiandalia chakula mwenyewe​
  • Unaishi peke yako​
  • Unajifungulia mlango au geti mwenyewe n.k​
Elewa, kuna sehemu kutakuwa na tatizo; jaribu kutatua hilo tatizo mapema.​
 
Ikitokea umevunjika kiuno, ni nani atakayekuwa anakusafisha pale kitandani?
Sijui,

Una uhakika mke wa ndoa anaweza kukufanyia hayo?

Maana kuna jamaa yangu alikuwa mfanyakazi mwenzangu kupata matatizo ya macho tu mkewe kamkimbia

Sa hv tunaangalia namna ya kumsaidia

Binafsi nimeoa ila sina imani naye na sitakuja kumuamini mwanamke
 
Sijui,

Una uhakika mke wa ndoa anaweza kukufanyia hayo?

Maana kuna jamaa yangu alikuwa mfanyakazi mwenzangu kupata matatizo ya macho tu mkewe kamkimbia

Sa hv tunaangalia namna ya kumsaidia

Binafsi nimeoa ila sina imani naye na sitakuja kumuamini mwanamke
Tafuta unayemuamini kabla maji hayajazidi unga
 
Kama una miaka 40+ na unafanya yafuatayo:-​
  • Unafua nguo mwenyewe​
  • Unapiga nguo pasi mwenyewe​
  • Unajipikilisha/unajipikia mwenyewe​
  • Unajitandikia kitanda mwenyewe​
  • Unajiandalia chakula mwenyewe​
  • Unaishi peke yako​
  • Unajifungulia mlango au geti mwenyewe n.k​
Elewa, kuna sehemu kutakuwa na tatizo; jaribu kutatua hilo tatizo mapema.​
Ukweli mtupu
 
Back
Top Bottom