Kijana wa kiume mwenye miaka 40+ kuna ushauri wenu hapa

Kijana wa kiume mwenye miaka 40+ kuna ushauri wenu hapa

Haya maisha sivyo unavyofikiria. Unaweza kuwa umeoa na ukawaona waliosingle kama wamechanganyikiwa hivi ila kumbuka kunakuachana
Soma hii
Ukikorofishana na huyu, unapata mwingine
 
Na hao wa miaka 40+ wakioa huwa wanasumbuana na wake zao maana anajua mpaka nusu ya nyama anaweka chumvi kiasi gani,lita ya mafuta inakaa mda gani,kipande cha sabuni kinafua nguo ngapi n.k
 
Hivi kwa nini watu waliooa ndio huwa wanahangaika na ambao hawajaoa

kwa nini waliooa wanatamani watu wote waoe

Kwa sababu sijawahi kukutana na senior bachelor anawashauri waliiooa waachane na wake zao ili wawe kama wao. Ila siku zote Ni wale wenye ndoa wanapenda sana kutoa ushauri wa ndoa hata kama hawajaombwa
😂😂😂
 
Hiyo migendaeka unaiitaje vijana? 😹
Yani huyo babu akafanane na Chinno wangu mwenye 35 wee jiheshimu 😹😹😹
 
Screenshot_20250210-235432.jpg
 
Kama una miaka 40+ na unafanya yafuatayo:-​
  • Unafua nguo mwenyewe​
  • Unapiga nguo pasi mwenyewe​
  • Unajipikilisha/unajipikia mwenyewe​
  • Unajitandikia kitanda mwenyewe​
  • Unajiandalia chakula mwenyewe​
  • Unaishi peke yako​
  • Unajifungulia mlango au geti mwenyewe n.k​
Elewa, kuna sehemu kutakuwa na tatizo; jaribu kutatua hilo tatizo mapema.​
Tatizo noti
 
Back
Top Bottom