Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukizaliwa mwanaume chochote chenye nyau unless hauko related nayo lazima mjomba asimameKwamba mtu akikufulia nguo ndo nyege zinapanda juu yake?
Tup to 45 inahesabiwa ni kijana kwa sasa ila 40-45 ni kijana wa makamo😅Kuna kijana wa 40+?
Sisi wengine wagane hatuna tàtizo mahali popote.
Kijana wa makamo to 45Hivi 40+ ni kijana au ni mbabu?
Hata ukiwa na mke hapo itasimama tu kwa mfanyakaziUkizaliwa mwanaume chochote chenye nyau unless hauko related nayo lazima mjomba asimame
WapiKutakuwa kuna tatizo mahali
Mkuu saiv siunajua unaorder tu mzgo unakuja.Unatakiwa utafute mbadala, vinginevyo tuambie; hisia zako huwa unazimalizia wapi?
Huyu jamaa ajui saiv mzgo unagiza tu.Huduma zipo kila mahali
ni kuclick tu kama unarequest boltHuyu jamaa ajui saiv mzgo unagiza tu.
Umemaliza kila Kitu Mkuu. Hana akili huyo.Acheni kupangia watu maisha yao.
Hisia za ndoa 😁😁😁😁😁 kumbe kuna hisia za ndoa siku hizi ...maana kama ni hisia za sex hata kataa ndoa wanazo na wanafanya sex na watoto wanazaa ila ni nje ya ndoa ...tatizo lako mleta uzi ni akili za ko finyu umeshindwa kujua tofauti ya kataa ndoa na kataa sex ........kataa ndoa awajakataa sex wao wanafanya sex hadi na huyo mke wako 😁😁😁 kuhusu kufua ..kupasi ..kufagia si unaweka house girl hata 2 na house boy 1 au utakavyo na uwezo wako kifedhq ....tumia akiliKutakuwa kuna tatizo, kwa nini akatae ndoa wakati hisia anazo?
Uhakika wasingekuwepo mademu wanaume wengi wangeoa maana ni cheap kuliko kumilik mwanamke.ni kuclick tu kama unarequest bolt
Uhakika wasingekuwepo mademu wanaume wengi wangeoa maana ni cheap kuliko kumilik mwanamke.ni kuclick tu kama unarequest bolt
Tumia akili ...kataa ndoa siyo kataa sexAlafu huduma wanapata wapi?
Tumia akili ...kataa ndoa siyo kataa sex
Mamb ya mahusiano ni magumu mkuu.unakuta huyo jamaa wa 40+ alipigwa tukio.Kama wanafanya tendo ambalo halina baraka, ni sawa sawa na wanyama tu; leo anaruka na mtetea wa kijivu, kesho na mtetea mweusi.
Tunasema, huo ni uhuni; kijana wa miaka 40+ hatakiwi kuishi kama digidigi.
Kwa hiyo walio oa awawezi au awafanyangi uhuni 🙄🙄🙄Kama wanafanya tendo ambalo halina baraka, ni sawa sawa na wanyama tu; leo anaruka na mtetea wa kijivu, kesho na mtetea mweusi.
Tunasema, huo ni uhuni; kijana wa miaka 40+ hatakiwi kuishi kama digidigi.
Wanasema, safari moja uanzisha nyingine; kupigwa tukio, iwe ni sehemu ya mafunzo ili kuweza kusonga mbele.Mamb ya mahusiano ni magumu mkuu.unakuta huyo jamaa wa 40+ alipigwa tukio.
Kama wana vitendea kazi na vinafanya kazi iliyokusudiwa basi baraka zipoKama wanafanya tendo ambalo halina baraka, ni sawa sawa na wanyama tu; leo anaruka na mtetea wa kijivu, kesho na mtetea mweusi.
Tunasema, huo ni uhuni; kijana wa miaka 40+ hatakiwi kuishi kama digidigi.