Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #41
Inawezekana ameenda kutafuta mpishiMkuu Mwachiluwi memba wanaogopa kukwambia ukweli wanaamua kurusha jiwe gizani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana ameenda kutafuta mpishiMkuu Mwachiluwi memba wanaogopa kukwambia ukweli wanaamua kurusha jiwe gizani.
😆😆😆😆 kwani yule mpishi alikuja pm?Duh waniozeshe kwa lazima basi 😂
Mimi nilikuja kuulizia mfanyakazi humu watu wakanishangaa na kunikatisha tamaa.Anachohitaji ni mfanyakazi na si mke.
Kufua nguo kuna washing machines, kufungua milango na mageti kuna mifumo ya automation unafungua geti kwa simu, kuna vitasa vya finger print na password, kuhusu kupika ni preference ya mtu unaweza kujisikia siku hio upike au uende mgahawani, isitoshe hivi sasa kuna appliances mbali mbali zinazorahisisha zoezi zima la upishi kama microwaves, ovens, toasters, rice cookers, pressure cookers , grills, sous vide machines, air fryers,multi-cookers n.k zinazorahisisha zoezi zima la upishi.Kama una miaka 40+ na unafanya yafuatayo:-
Unafua nguo mwenyewe Unapiga nguo pasi mwenyewe Unajipikilisha/unajipikia mwenyewe Unajitandikia kitanda mwenyewe Unajiandalia chakula mwenyewe Unaishi peke yako Unajifungulia mlango au geti mwenyewe n.kElewa, kuna sehemu kutakuwa na tatizo; jaribu kutatua hilo tatizo mapema.
Ulideka kinyama! Sasa angepass over na wewe mwaka usingechukua ungeng'ata shuka 🤧Tafakari sana,kama wewe unafanyiwa yote hayo..karata zako ni chache sana..you don't have life..but you can't see.
Kuna mda nlikuwa teja kama wewe..bt it happened mke wangu akasafiri..nikawa napiga simu kuuliza kila kitu..hata chumvi sijui ilipo kwenye nyumba yangu mwenyewe. It was as if I am a stranger in my own house...
Learn to do some stuff by yourself
😆😆😆🤣 Ila kimsingi watu walisema kweliMimi nilikuja kuulizia mfanyakazi humu watu wakanishangaa na kunikatisha tamaa.
Wanadai itamfanya mke.
Ni sahihi baba mwenye familia kupikia watoto na kuosha vyombo?Kufua nguo kuna washing machines, kufungua milango na mageti kuna mifumo ya automation unafungua geti kwa simu, kuna vitasa vya finger print na password, kuhusu kupika ni preference ya mtu unaweza kujisikia siku hio upike au uende mgahawani, isitoshe hivi sasa kuna appliances mbali mbali zinazorahisisha zoezi zima la upishi kama microwaves, ovens, toasters, rice cookers, pressure cookers , grills, sous vide machines, air fryers,multi-cookers n.k zinazorahisisha zoezi zima la upishi.
Kuhusu kutandika kitanda ,kuandaa chakula, kuishi peke yako, na kupiga nguo pasi ni mambo ya kawaida na kazi rahisi sana wengine hawapendi muingiliano na kelele zisizo na maana.
![]()
Kuna wengine wanataka ku focus zaidi kwenye goals zao, na hawahitaji yeyote kuwa kikwazo au kuingilia maamuzi yao.
Hakuna tatizo lolote ni preference za mtu tu...
Huwezi mfanya mke mtu usiyempenda na wala huoni future nae.Mimi nilikuja kuulizia mfanyakazi humu watu wakanishangaa na kunikatisha tamaa.
Wanadai itamfanya mke.
Si aligoma hakuja😆😆😆😆 kwani yule mpishi alikuja pm?
kumbe mbuzi alizimia tu alivokuona muuza supu unanoa visu akaona bora alale mbele 🤣🤣🤣🤣Si aligoma hakuja
Ngoja nifanye hivyo, maana hizu house chores ni balaa.Huwezi mfanya mke mtu usiyempenda na wala huoni future nae.
Wewe tafuta mfanyakazi anakuja mara mbili kwa wiki au mara 3. Siku ukipata mke utajua tu mwamba huyu ni mke wangu.
Alizikwa nazo mke wangu, nilijaribu kupata mbadala nikaona siwezi maana tabia mpya kwa umri huu ni ngumu kuzikubali.. Hatimaye nimekuwa kataa ndoa uzeeni.Unatakiwa utafute mbadala, vinginevyo tuambie; hisia zako huwa unazimalizia wapi?
Ndio ivyo labda apatikane mwenyewe asekumbe mbuzi alizimia tu alivokuona muuza supu unanoa visu akaona bora alale mbele 🤣🤣🤣🤣
kupanga ni kuchagua au wanasema 'we reap what we saw'Inabidi wabadilishe msimamo
Kijana wa kataa ndoa katika ubora wake.
Babu anatamani kurudi ujananiKijana wa kataa ndoa katika ubora wake.
Mwenye ndoa hawezi hili ngendembwe.
Young at heart, age is nothing but a number. Yuko ujanani hapo, uzee ni mindset.Babu anatamani kurudi ujanani