Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Mbona huwa mnaenda kuwala ambao hawawafanyii yote hayo?Sasa je! Mwanaume anavutiwa na mwanamke anayemnyenyekea. Yaani anakula chakula na mpishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona huwa mnaenda kuwala ambao hawawafanyii yote hayo?Sasa je! Mwanaume anavutiwa na mwanamke anayemnyenyekea. Yaani anakula chakula na mpishi
Wengine wanajua bado ni vijana40+ kijana?! Duh na sisi 20+ ni vijuzi
Alafu huduma wanapata wapi?At 18+ si ndio walijiunga kataa ndoa.
Huduma zipo kila mahaliAlafu huduma wanapata wapi?
Inabidi wabadilishe msimamobaadhi ya hao ndiyo kataa ndoa wa sasa watakavyokuwa miaka ijayo...
Mkuu, Watu wanaishi nyumba moja na wameamua hawaongei mpaka wageni ishindikane vipi hilo la kukaa mbali?Hivi watu wakioana ni lazima waishi under the same roof. Je inawezekana kila mtu aishi kwake then tukitaka kukutana tunachagua wapi pa kukutania? Just thinking out loud 😁😁😁
Basi ni bora tu kila mmoja awe na kwake tuMkuu, Watu wanaishi nyumba moja na wameamua hawaongei mpaka wageni ishindikane vipi hilo la kukaa mbali?
Mtakavyoamua mkuu.Basi ni bora tu kila mmoja awe na kwake tu
Hivi watu wakioana ni lazima waishi under the same roof. Je inawezekana kila mtu aishi kwake then tukitaka kukutana tunachagua wapi pa kukutania? Just thinking out loud 😁😁😁
Uko sahihiMiaka 40+ ni makamo.
Hiki chama na CHAPUTA ni vyama rafiki bila shakaKawaida tu, hasa kama ni mwanachama wa chama chetu cha kataa ndoa.
Kutakuwa kuna tatizo mahaliHuduma zipo kila mahali
Duh waniozeshe kwa lazima basi 😂Mkuu Mwachiluwi memba wanaogopa kukwambia ukweli wanaamua kurusha jiwe gizani.
Acha kwanza nimalize kunyoosha nguo hapa chap 😂
According to serikali ya CCM, 40+ ni kijana mbichi kabisa. Ndio maana kijana wa makamo mzee Wasira kateuliwa kuwa makamu mwenyekiti huko chamani40+ kijana?! Duh na sisi 20+ ni vijuzi