Kijana wa kiume mwenye miaka 40+ kuna ushauri wenu hapa

Kijana wa kiume mwenye miaka 40+ kuna ushauri wenu hapa

Wanaume msidanganyike...
Kataa ndoa.... Ndoa ni upuuzi ushamba uoga utoto usengerema ushenzi ushetani umasikini na kupoteza muda
 
Wanaume msidanganyike...
Kataa ndoa.... Ndoa ni upuuzi ushamba uoga utoto usengerema ushenzi ushetani umasikini na kupoteza muda
Ndoa ni muhimu, chukulia mfano umepata ajali ukateguka kiuno, unafikiri ni nani atakuwa anakutawaza?
 
NAWAKUMBUSHA VIJANA.....

Ukiamua kuoa ukae na utafakari kwa kina.......usikurupuke.....Mimi kwa Zama hizi sitoi ushauri wa mtu kuoa au kuolewa maana anaweza kukuchukia maisha yake yote...nyakati hizi NDOA ni jambo la hatari sana....
 
Kama una miaka 40+ na unafanya yafuatayo:-​
  • Unafua nguo mwenyewe​
  • Unapiga nguo pasi mwenyewe​
  • Unajipikilisha/unajipikia mwenyewe​
  • Unajitandikia kitanda mwenyewe​
  • Unajiandalia chakula mwenyewe​
  • Unaishi peke yako​
  • Unajifungulia mlango au geti mwenyewe n.k​
Elewa, kuna sehemu kutakuwa na tatizo; jaribu kutatua hilo tatizo mapema.​
Wewe umeolewa au ndo gia yako ya kutafuta bwana?
 
Kama una miaka 40+ na unafanya yafuatayo:-​
  • Unafua nguo mwenyewe​
  • Unapiga nguo pasi mwenyewe​
  • Unajipikilisha/unajipikia mwenyewe​
  • Unajitandikia kitanda mwenyewe​
  • Unajiandalia chakula mwenyewe​
  • Unaishi peke yako​
  • Unajifungulia mlango au geti mwenyewe n.k​
Elewa, kuna sehemu kutakuwa na tatizo; jaribu kutatua hilo tatizo mapema.​
Haya maisha sivyo unavyofikiria. Unaweza kuwa umeoa na ukawaona waliosingle kama wamechanganyikiwa hivi ila kumbuka kunakuachana
Soma hii
 
Nafanya yote hayo sema umesahau kitu kimoja
"Natafuta pesa mwenyewe"
Kama Nina tatizo sio kesi maana duniani hakuna asiye na "tatizo"
 
Kama una miaka 40+ na unafanya yafuatayo:-​
  • Unafua nguo mwenyewe​
  • Unapiga nguo pasi mwenyewe​
  • Unajipikilisha/unajipikia mwenyewe​
  • Unajitandikia kitanda mwenyewe​
  • Unajiandalia chakula mwenyewe​
  • Unaishi peke yako​
  • Unajifungulia mlango au geti mwenyewe n.k​
Elewa, kuna sehemu kutakuwa na tatizo; jaribu kutatua hilo tatizo mapema.​
Basi ulaya na huko Marekani wanashida kubwa zaid
 
Back
Top Bottom