Kijana wa Kukaa Shamba anahitajika

Kijana wa Kukaa Shamba anahitajika

Sio uongo na wala unachoandika sio utani.

Nilipata vijana hapa dar kipindi cha nyuma kabla sijawajengea hapo nilipanga chumba kijijini hapo nikawaekea vitu vya kula.

Mchele,unga,viungo (nyanya,karoti,kitunguu),dagaaa...

Siku moja nikapiga simu nikawauliza mko wapi? wakasema wapo nyumbani, Leo hamjaenda kazini? wakasema hawajaenda (wana njaa).. kwanini? Chakula mboga karoti zimeisha kuna nyanya na kitunguu tu hatujapika..

Nikagomba pale ikaisha, Siku ingine wakanletea Kubwa KULIKO wamechoka UGALI na WALI wamekinai wanaomba Hela wanunue Ndizi labda au vyakula vingine.

KESHO yake wote walikua wanawasiliana kwenye simu, Mmoja akiwa anaelekea MBEYA kwao mwingine MBAGALA huko...
😂😂😂😂
 
Mwaka jana nilikuwa jobless. Ingekuwa ni sasa ningekuja maana me mwnywe mtu pori na maisha ya upweke kama hayo me nayapenda balaa
Mm Nina job freshi sema hizi naruka nazo tu kama zinalipa maana kujiongeza karuhusu na Nina plan ya kufuga mwakani.

Sad news ni kwamba inahitajika uwe huna hata mawazo kidogo ili bos kubwa akupeleke mchakamchaka vizuri. Mimi sipendi bos anaetaka kutake grants... Yani ukutane na bos Ambae akikuona mfanyakaz wake anaona kichefchef. Bosi wa aina hii atamtafuta mchawi tu

NB: Haihusiani na mada hii, huu ni mfano tu.
 
Mwaka jana nilikuwa jobless. Ingekuwa ni sasa ningekuja maana me mwnywe mtu pori na maisha ya upweke kama hayo me nayapenda balaa
Upo kama mm mkuu
Maisha ya chaka kama hayo safi sana
Na jamaa katoa ruksa ukitaka kufuga kupanda ni ww tuu ,huko Kuna faa Ngoma ngumu watoto wa mama hawawezi Maisha hayo
 
Upo kama mm mkuu
Maisha ya chaka kama hayo safi sana
Na jamaa katoa ruksa ukitaka kufuga kupanda ni ww tuu ,huko Kuna faa Ngoma ngumu watoto wa mama hawawezi Maisha hayo
Mashamba huko yanauzwa laki 2 hadi 4 kwa hekari moja.

Hili suala la kusema kijana anaweza kupanda na kufuga: hapa akianza kufanikiwa boss ataanza kutamani na kumletea figisu asilime ama kufuga.

Au atamruhusu vizuri ila atakuwa anachukua mazao shambani hadi kero.
 
Mashamba huko yanauzwa laki 2 hadi 4 kwa hekari moja.

Hili suala la kusema kijana anaweza kupanda na kufuga: hapa akianza kufanikiwa boss ataanza kutamani na kumletea figisu asilime ama kufuga.

Au atamruhusu vizuri ila atakuwa anachukua mazao shambani hadi kero.
mashamba yanauzwa kwa hii bei chief?

vipi sio productive land
 
Mm Nina job freshi sema hizi naruka nazo tu kama zinalipa maana kujiongeza karuhusu na Nina plan ya kufuga mwakani.

Sad news ni kwamba inahitajika uwe huna hata mawazo kidogo ili bos kubwa akupeleke mchakamchaka vizuri. Mimi sipendi bos anaetaka kutake grants... Yani ukutane na bos Ambae akikuona mfanyakaz wake anaona kichefchef. Bosi wa aina hii atamtafuta mchawi tu

NB: Haihusiani na mada hii, huu ni mfano tu.
Masikini hatakiwi kua na mbwembwe mzee.
 
mashamba yanauzwa kwa hii bei chief?

vipi sio productive land
Ardhi ya Kisarawe ni mali kuliko wilaya zote za Mkoa wa Pwani.

Mwenyewe ninajilaumu kwanini nilienda kununua Vigwaza-Chalinze.

Ukifika pale Kisarawe mjini kuna bango lina tangazo la mashamba ya laki 4.

Nimewahi kuitiwa shamba la laki na 90 huko Kisarawe.

Sijui vijana wanakwama wapi.

Changamoto ni kwamba mashamba kama haya mengine ni bodaboda pekee ama trekta inafika huko.

Ni mpaka uwe na passion na mashamba ndiyo utaona raha yake.
 
Back
Top Bottom