Kijana wa Kukaa Shamba anahitajika

Kijana wa Kukaa Shamba anahitajika

Bosi yupi huyo? alienunua shamba akaenda jenga huko nyumba aje achukue mazao yako?

anaekulisha bure
anaekulipa na mshahara
hakudai chochote

ulime achukue mazao yako, Heka mbili utavuna nini atakachochukua ? umesoma vizuri ukubwa wa shamba?

Heka mbili utavuna nini ambacho kitamtamanisha huyo unaemuita Bosi?
Nimeandika kutokana na uzoefu wangu shambani na hata hapa JF kuna mtu alikuwa analalamika kuhusu mwenye shamba kuchukua mazao shambani wakati hakumsaidia kulima.

Ardhi huvutia pale inaposafishwa haswa na mtu mwingine.

Ninayoyasema yapo!
 
Mkuu,japo wengi wanachukulia masihara,lakini ulikuwa umejitahidi kuweka mambo sawa. Lakini kumbuka,kwa umbali huo na nauli hizo,kutakuwa na ugumu na usumbufu. Maana inaelekea kwanza si karibu na senta au miundo mbinu.
Maji yanapatikanaje? Hapo ni wazi kuchaji simu si rahisi. Na kingine,kama ingelikuwa ni mtu kweli mwenye uwezo,panafaa kwa kilimo no ufugaji. Ila kwa mtu ambae bado anabangaiza,itakua ngumu.
Japo kama unalenga usafi wa shamba,hapa labda mtu aliyezoea kulima. Na asiwe kijana,awe mtu mwenye familia. Na kama uko vizuri,ungemtafuta mtu unaemuamini,bila kujali kutopenda kilimo,iwe kama mnashirikiana aweze kusafisha huku ana mazao.
 
Shamba lipo hapo Wilaya ya Kisarawe. Majukumu ya kijana ni kuweka mazingira sawa, kulima na kuhakikisha majani hayaoto kwenye shamba husika.

Shamba ni la heka 2, halijapandwa zao lolote lina majani. Kuna nyumba katikati ya shamba ambayo ndio makazi ya kijana husika.

Nyumba imekamilika inayofaa kuishi binadamu aliekamilika.

Chakula: Juu yangu muajiri
Mshahara: Makubaliano

View attachment 2813408View attachment 2813408

Picha hapo Juu ni nyumba iliyo Shamba.

Nimeipiga picha nikiwa shamba/kiwanja cha jirani ambae yeye tayari kwake ni kusafi. Ukiangalia hiyo picha kuna eneo halina majani hapa mwanzo, hiki ni kiwanja/shamba cha mtu mwingine yeye kashajenga shamba lake safi kiwanja kimenyooka kama Azam Complex.

Na Kijana ninae mtaka ndio nataka aondoe ile nyumba kutoka kati kati ya majani alime kote kipatikane kiwanja kisicho na majani Nyumba ikae hapo kati. Jukumu kubwa ni hilo usafi wa kiwanja muda wote jani lisiote hata 1.

NOTE: Akitokea mtu na familia yake anataka kukaa huku anakaribishwa, mshahara tutakubaliana, chakula juu yangu muajiri. Ruksa ukitaka kulima, ruksa ukitaka kufuga, ruksa kufanya chochote.

Muhitaji alie serious tu karibu inbox.
Nipigie Mkuu. 0621275256. Kwa ajili ya ku-ultilize hilo eneo. Taaluma ya kilimo ninayo, ka-mtaji ninako, ujuzi wa ujasiriamali ninao.

Ukipata kijana ama ukiwa umekosa, nipigie tukawekeze hapo.[emoji1317]
 
Shamba lipo hapo Wilaya ya Kisarawe. Majukumu ya kijana ni kuweka mazingira sawa, kulima na kuhakikisha majani hayaoto kwenye shamba husika.

Shamba ni la heka 2, halijapandwa zao lolote lina majani. Kuna nyumba katikati ya shamba ambayo ndio makazi ya kijana husika.

Nyumba imekamilika inayofaa kuishi binadamu aliekamilika.

Chakula: Juu yangu muajiri
Mshahara: Makubaliano

View attachment 2813408View attachment 2813408

Picha hapo Juu ni nyumba iliyo Shamba.

Nimeipiga picha nikiwa shamba/kiwanja cha jirani ambae yeye tayari kwake ni kusafi. Ukiangalia hiyo picha kuna eneo halina majani hapa mwanzo, hiki ni kiwanja/shamba cha mtu mwingine yeye kashajenga shamba lake safi kiwanja kimenyooka kama Azam Complex.

Na Kijana ninae mtaka ndio nataka aondoe ile nyumba kutoka kati kati ya majani alime kote kipatikane kiwanja kisicho na majani Nyumba ikae hapo kati. Jukumu kubwa ni hilo usafi wa kiwanja muda wote jani lisiote hata 1.

NOTE: Akitokea mtu na familia yake anataka kukaa huku anakaribishwa, mshahara tutakubaliana, chakula juu yangu muajiri. Ruksa ukitaka kulima, ruksa ukitaka kufuga, ruksa kufanya chochote.

Muhitaji alie serious tu karibu inbox.
Mkuu Kuna Wi-Fi ? utanikatia Bima na Nguo Mpya za sikukuu ?
 
Maana inaelekea kwanza si karibu na senta au miundo mbinu.
Maji yanapatikanaje? Hapo ni wazi kuchaji simu si rahisi.
Mkuu sio porini kama unavyohisi, Huduma zote muhimu zipo, Mahali kuna maduka na Umeme kwa kutembea kwa mguu ni dk 10.

Kuna zahanati mahali ilipo n dk 10 tu sina mashaka na huduma za jamiii.

Ndio mana unaona sijasema nataka mtu wa kulima nimesema nataka mtu wa kusafisha tu eneo, Kwanini?

Naanza Ujenzi Mkubwa Muda si mrefu kwahyo kile ni kiwanja ila nimepaita shamba kwasbabu n porini, angalia picha juu kuna ambayo nmepost jirani niliepakana nae uone nyumba aliyojenga. Maji kachimba kisima vha mashine kabisa ni 24hrs. (mwenyewe anapaita kwake n Bustani ya Eden)

Naamini ntapata Mtu sahihi maana sio kwamba nabeba beba tu ilimradi mtu.
 
Mkuu pamoja na gharama zote hizo unazojitoa, unafaidikaje na hilo shamba??
Naanza kujenga Mwakani Nyumba ya mimi kuishi, Sihitaji faida na shamba nahtaji mtu atakae kaa pale kuangalia material nitakazo anza peleka.

Maana akipatikana mtu naanza nunua material napeleka by december 2024 ujenzi unaanza, hivyo nina mwaka mzima wa kukusanya vifaa vinavyohtajika kwa ujenzi.

Faida nitakayopata ni Mtu atakua analinda vifaa nitakavyokua napeleka.

Sijanunua hilo eneo kwa ajili ya Kulima au kufuga bali Kuishi ndio mana huoni nikisema hata nilime au nifuge japo ntafuga ila kwa eneo hilo nahtaji kujenga nyumba ya kuishi.
 
Back
Top Bottom