- Thread starter
- #21
Bei Gani? Inbox plzHongera sana mkuu, naomba ukifikia hatua ya kununua chakula cha mifugo tuwasiliane nikupe bei za kiwandani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei Gani? Inbox plzHongera sana mkuu, naomba ukifikia hatua ya kununua chakula cha mifugo tuwasiliane nikupe bei za kiwandani
Na huyo kijana ni mimi sasa,mkuu karibu tuyajenge tufuge kisasa nina uzoefu kidogo na ufugaji na ng'ombe nimechunga piaAchana na habari za certificate sijui nn tafuta kijana wale wako committed na mifugo mfano aliyewahi kuchunga ng’ombe. Halafu uwe na daktari wa mifugo mmoja anaeleweka. Niliwahi fuga nguruwe nikampata jamaa alikuwa mchungaji ww ng’ombe alijifunza kuchoma iron piglets, kukata meno, kuchoma ukurutu na minyoo tukamsahau dokta.
Na huyo kijana ni mimi sasa,mkuu karibu tuyajenge tufuge kisasa nina uzoefu kidogo na ufugaji na ng'ombe nimechunga pia
Internet now ipo mpaka huku vijijini tu mtu akijua kusoma na kuandika hawezi kutumia JF,fb au twitter?Hahahaha mkuu Wewe huelekei hata nukta kuwa hao vijana, I’m sorry to say hao vijana ni local men hawana mambo ya mitandao hawajui JF, fb au twitter! View attachment 2666631
Unapatikana wapi?Internet now ipo mpaka huku vijijini tu mtu akijua kusoma na kuandika hawezi kutumia JF,fb au twitter?
Nimekuelewa mkuuAchana na habari za certificate sijui nn tafuta kijana wale wako committed na mifugo mfano aliyewahi kuchunga ng’ombe. Halafu uwe na daktari wa mifugo mmoja anaeleweka. Niliwahi fuga nguruwe nikampata jamaa alikuwa mchungaji ww ng’ombe alijifunza kuchoma iron piglets, kukata meno, kuchoma ukurutu na minyoo tukamsahau dokta.
Mlandizi_Pwani.Unapatikana wapi?
Nipe namba yakoHongera sana mkuu, naomba ukifikia hatua ya kununua chakula cha mifugo tuwasiliane nikupe bei za kiwandani
Nitumie namba yako pm.Na huyo kijana ni mimi sasa,mkuu karibu tuyajenge tufuge kisasa nina uzoefu kidogo na ufugaji na ng'ombe nimechunga pia