Kijana wa leo: Kuwa na pesa ama kutokua na pesa isiwe kipimo cha mapenzi/upendo.

Kijana wa leo: Kuwa na pesa ama kutokua na pesa isiwe kipimo cha mapenzi/upendo.

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
40,828
Reaction score
99,523
Ebu skilizeni niwaambie kabla sijalewa.....
Mwanangu:
Usije ukadanganywa na ukakubali kwamba pesa zako ndio ishara ya upendo wa kweli.
Binti zangu skilizeni....
Mwanaume akikununulia gari, nyumba or any goods haimaanishi kwamba huo ni upendo kwako.
Yawezekana Mudi amepata pesa ya urithi na akaamua kukununulia chuma ili umpende (huo sio upendo wala mapenzi).
Hata Jeni akiwa na wewe kijana wangu, kwasababu tu eti unauwezo wa kumnunulia Brazilian hair huyo mnawe.
Upendo unaongea.... Upendo ni zaidi ya pesa guys..... Namaanisha upendo sio vitu. Upendo hutoka moyoni. Vitu, pesa na mali hukuja baadae.
Vijana wangu.....
Nipoa ukatafuta pesa, lakini usiache ama usilazimishe upendo kwasababu ya pesa, mali ama vitu vizuri.
 
Mh! Hakuna kijana atakuelewa hayo yalikuwa ni mambo ya WW1 huko! Sasahivi no money no honey!.

Mwisho wasiku kila jambo na mambo yake,kauli yangu iwe kwa me au ke mapenzi yawepo na pesa iwepo ili linoge zaidi,alasivyo akina peremende wanaingilia kati watakula nyamnyam.
 
Mh! Hakuna kijana atakuelewa hayo yalikuwa ni mambo ya WW1 huko! Sasahivi no money no honey!.

Mwisho wasiku kila jambo na mambo yake,kauli yangu iwe kwa me au ke mapenzi yawepo na pesa iwepo ili linoge zaidi,alasivyo akina peremende wanaingilia kati watakula nyamnyam.
Don't let money lead your heart boy...🤨
 
Usichanganye hisia na akili...😊
Vyovyote utakavyosema ila pesa ni tamu ya penzi!
Vizee kama nyinyi ndo vitapeli haswa maana hapo ulipo ushazikusanya unavuta pisi za vijana wako unajitafunia halafu sisi unatuhubiria nini!.. njoo na mzimu mwengine huyu tumemkataa..😂
 
Vyovyote utakavyosema ila pesa ni tamu ya penzi!
Vizee kama nyinyi ndo vitapeli haswa maana hapo ulipo ushazikusanya unavuta pisi za vijana wako unajitafunia halafu sisi unatuhubiria nini!.. njoo na mzimu mwengine huyu tumemkataa..😂
Okay....
Ngoja nianze upya.
Ukiwa na pesa yes tumia.
Lakini usije kubali kwamba one day, pesa itakusaidia kupata mtu mwenye upendo kwako... bladi hell...☹️
 
Unaweza kumnunulia mwanamke brand kubwa na gharama za nguo, mikoba, cheni miwani n.k, unamtoa dinner hotel 5 star 🌟, lakini usiwe unampenda, nakubaliana na wewe.

Upendo wa kweli utaugundua hata kwenye vitu vidogo sana.
 
Back
Top Bottom