Kijana wa miaka 18 afungwa jela miaka 30 kwa kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile

Basha unampimaje (kudhibitisha)?
 
Hasira zako za ripoti ya CAG na ajira ndo zimefanya umeanza kushughulikiwa..
 
Hivi wanakua wanaruhusu vipi? Wanavua nguo na kujibinua anayetaka kuingiza aingize ama inakuaje? Na hao walioruhusiwa kuingiza sheria haina neno nao?
Ni kwamba wewe ni mtoto au?
 
Wafungwe tu kunusuru kizazi kilichopo
Tunawahukumu sana hawa mashoga,

Kwanini mabasha wako huru?
Hawa mabasha ndio tunasikia wanawalawiti watoto,
Wana nafasi kubwa sana kuwafanya watoto wa leo kuwa mashoga kesho.
Hawa ni wakuchukuliwa hatua kali sana.

Kumpeleka shoga jela si adhabu..
Wanaenda kuwa wake za watu huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…