cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Washitakiwe wapiii? Wao wanaachwa ili wawatengeneze wengine wapyaa..Waliyokuwa wakimuingilia nao vp
Wameshtakiwa
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washitakiwe wapiii? Wao wanaachwa ili wawatengeneze wengine wapyaa..Waliyokuwa wakimuingilia nao vp
Wameshtakiwa
Ova
I kweli wee Ni msmabazajiBoraa wee usemee, maana tukisema wengine tuna ambiwa tunasambaza. Lol
Kwani we unapoingiliwa huwa unaruhusu vipi? (Hata kama ni mbele), huwa unaruhusu vipi?Hivi wanakua wanaruhusu vipi? Wanavua nguo na kujibinua anayetaka kuingiza aingize ama inakuaje? Na hao walioruhusiwa kuingiza sheria haina neno nao?
Ouk sawa.I kweli wee Ni msmabazaji
Basha unampimaje (kudhibitisha)?Hii yote ni sawa lakini haina mantiki, haki wala mashiko ikiwa wanaoshiriki nao wapo nje.
Iwe ni sharti la kwanza kumtaja basha kila pale shoga anaeingiliwa anakamatwa.
Kuhukumu wanaofanywa tu na kuacha wanao wafanya ni sawa na kujitibu gono bila kumtibu mwenzi wako na kuendelea kulala nae bila kinga.
Kunyongwa dearNamna ipii hiyo Dear, hebu eleza.
na wadungwe sindano za sumuWafungwe tu kunusuru kizazi kilichopo
karibu geitaBoraa wee usemee, maana tukisema wengine tuna ambiwa tunasambaza. Lol
Watakuambia haki za binadamuna wadungwe sindano za sumu
wanasahau hakuna haki inayo vuka mipakaWatakuambia haki za binadamu
Hasira zako za ripoti ya CAG na ajira ndo zimefanya umeanza kushughulikiwa..Utakuta kajiuza kufirwa kutokana na kukosa ajira na maisha kufanywa kuwa magumu kwasababu viongozi wake kuiba matrilioni ambayo yamethibitishwa na CAG .
Kijana anafungwa ili aende kufirwa bure Magereza kwa miaka 30 huku wale wezi wanaambiwa watupishe na mabulungutu yetu ya tozo wamesunda na kualikwa futari.
Wapii nifikie, katoro, nyamanolo au nyamalembo??karibu geita
Wachaaa wee,Kunyongwa dear
Ni kwamba wewe ni mtoto au?Hivi wanakua wanaruhusu vipi? Wanavua nguo na kujibinua anayetaka kuingiza aingize ama inakuaje? Na hao walioruhusiwa kuingiza sheria haina neno nao?
Wanyongwe hao mashoga Bora fisadi kuliko shogaKwanini wasinyongwe wale waliopora fedha zako na wametajwa kwenye ripoti ya CAG.
Tunawahukumu sana hawa mashoga,Wafungwe tu kunusuru kizazi kilichopo
fika hapa mitaa ya halmashauri moja kwa moja,kupotea ni ngumu sana ufundishwe kutembea wima farasi weweWapii nifikie, katoro, nyamanolo au nyamalembo??
basi sawa nikifika hapo nakuambia uje unipokee.fika hapa mitaa ya halmashauri moja kwa moja,kupotea ni ngumu sana
Mafisadi ndio wanaotusababishia umasikini mpaka vijana inabidi wauze makalio.Wanyongwe hao mashoga Bora fisadi kuliko shoga
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hasira zangu dhidi ya wezi CCM na sio Mashoga hata kidogo.Hasira zako za ripoti ya CAG na ajira ndo zimefanya umeanza kushughulikiwa..