Kijana wangu wa kiume amenivunjia heshima

Miaka 26 anafanya nini nyumbani?
 
Umri wa mtoto ni mara mbil ya umri wa baba , ikiwa mtoto ana miaka 26, tafuta umri wa baba baada ya miaka 26[emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahah,
 
Miaka 26 anapaswa atoke kama hatofuata kanuni zako.
 
Dah[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]ko umri huo unawezaje kumpangia mtoto maisha mkuu,???we mshauri tu jinsi ya kuplay fair sio kumkataza kula mbususu ni uongo.
 
Umfukuze aende wapi?Hapo ni kwao.Weye ndiye uondoke urudi kwa wazazi wako.Natania tu.
 
We utakua Punga tu,
Kijana wako kabisa akuvunjie heshima unakaa unalia ww vp wewe.
Wenzio tunaenda nao hadi kwa Mungu aombe msamaha kule na tunarudi hapo kashapigika sanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…