Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

Safari yetu ya utafutaji katika dunia hii imejaa misukosuko mingi sana either ya kifamilia, ndoa, kazi na kipato.

Wapo watu chungu nzima dunia hii inawasulubu na hawajui wafanye nini kila wanalofanya linakwama iwe ajira, mahusiano na kipato.

Wapo watu ambao mambo yao yamewanyokea kutokana na juhudi zao saizi wana usafiri, wanavaa safi na kusaidia familia zao kiasi kwamba wanaona wengine wazembe

Mfano mimi nimewahi pata msala katika utafutaji kama sio ndugu na washkaji zangu kunipa faraja, ushauri sidhani kama ningefika hatua moja mbele. Ilifika hatua nikamuomba MUNGU.

why Umeruhusu haya majaribu?

Shusha uzoefu wako ni msukosuko upi huwezi usahau ,na ulijikwamua vipi?

Na ambao mambo bado tafrani wafanyaje waweze kupata nafuu?
We mbona huja share wako sasa??
 
Acha Uongo, watu wanapiga nyeto na show wanapiga vizuri, hayo mengine yote ya Uongo
sichekeshi wala kudanganya chief lengo la huu uzi nikujifunza

punyeto ni mbaya sana,tena sio kimwili tu hadi kiroho

stop masturbation
or better do health masturbation while hii kitu inatengeneza addiction
 
Kiukweli mimi ile kufeli mazima ilikuwa 2012. Sababu kuu ilikuwa papuchi. Nilikuwa sina demu permanent ila nadhani kila siku nilikuwa natafuna kama sio dadapoa basi yeyote anayepatikana kirahisi. Mwaka 2010 hadi 12 nilikuwa niko poa kiuchumi ila sikufanya lolote zaidi ya kutafuna mbususu na kujikuta ninafeli na kutumbukia kwenye madeni. Hiyo 2012 nikaanza kupambana kulipa madeni na kufikia Januari 2013 nikawa nimemaliza. Ilibidi nihamie Dar na kuanza upya kabisa. Haikuwa kazi rahisi ila kufikia mwaka 2016 nilikuwa na kiasi kama 5m na ndo ukawa mtaji wangu wa biashara. 2017 nikapata demu ambaye huyo ndo aliniteka na karibia kunifilisi Part II. Huyo manzi alikuwa mchaga anachuna kama hana akili nzuri. 2020 nikarudi kwenye akili zangu timamu na kuachana naye mazima. Wakati naachana naye nilikuwa nimeanza kupotea kabisa ila kwa bahati nikaanza kusimama upya hadi ninavyoandika hali sio mbaya. Hilo shetani la kichaga huwa nikilikumbuka najikuta naungana na dronedrake Kukataa ndoa.
 
Kiukweli mimi ile kufeli mazima ilikuwa 2012. Sababu kuu ilikuwa papuchi. Nilikuwa sina demu permanent ila nadhani kila siku nilikuwa natafuna kama sio dadapoa basi yeyote anayepatikana kirahisi. Mwaka 2010 hadi 12 nilikuwa niko poa kiuchumi ila sikufanya lolote zaidi ya kutafuna mbususu na kujikuta ninafeli na kutumbukia kwenye madeni. Hiyo 2012 nikaanza kupambana kulipa madeni na kufikia Januari 2013 nikawa nimemaliza. Ilibidi nihamie Dar na kuanza upya kabisa. Haikuwa kazi rahisi ila kufikia mwaka 2016 nilikuwa na kiasi kama 5m na ndo ukawa mtaji wangu wa biashara. 2017 nikapata demu ambaye huyo ndo aliniteka na karibia kunifilisi Part II. Huyo manzi alikuwa mchaga anachuna kama hana akili nzuri. 2020 nikarudi kwenye akili zangu timamu na kuachana naye mazima. Wakati naachana naye nilikuwa nimeanza kupotea kabisa ila kwa bahati nikaanza kusimama upya hadi ninavyoandika hali sio mbaya. Hilo shetani la kichaga huwa nikilikumbuka najikuta naungana na dronedrake Kukataa ndoa.
Halikuwa anakuchuna mzee yan kila hela anayoomba unampa.
 
Safari yetu ya utafutaji katika dunia hii imejaa misukosuko mingi sana either ya kifamilia, ndoa, kazi na kipato.

Wapo watu chungu nzima dunia hii inawasulubu na hawajui wafanye nini kila wanalofanya linakwama iwe ajira, mahusiano na kipato.

Wapo watu ambao mambo yao yamewanyokea kutokana na juhudi zao saizi wana usafiri, wanavaa safi na kusaidia familia zao kiasi kwamba wanaona wengine wazembe

Mfano mimi nimewahi pata msala katika utafutaji kama sio ndugu na washkaji zangu kunipa faraja, ushauri sidhani kama ningefika hatua moja mbele. Ilifika hatua nikamuomba MUNGU.

why Umeruhusu haya majaribu?

Shusha uzoefu wako ni msukosuko upi huwezi usahau ,na ulijikwamua vipi?

Na ambao mambo bado tafrani wafanyaje waweze kupata nafuu?
Niliteleza sana na utelezi nikalekeza mazima.
 
Kiukweli mimi ile kufeli mazima ilikuwa 2012. Sababu kuu ilikuwa papuchi. Nilikuwa sina demu permanent ila nadhani kila siku nilikuwa natafuna kama sio dadapoa basi yeyote anayepatikana kirahisi. Mwaka 2010 hadi 12 nilikuwa niko poa kiuchumi ila sikufanya lolote zaidi ya kutafuna mbususu na kujikuta ninafeli na kutumbukia kwenye madeni. Hiyo 2012 nikaanza kupambana kulipa madeni na kufikia Januari 2013 nikawa nimemaliza. Ilibidi nihamie Dar na kuanza upya kabisa. Haikuwa kazi rahisi ila kufikia mwaka 2016 nilikuwa na kiasi kama 5m na ndo ukawa mtaji wangu wa biashara. 2017 nikapata demu ambaye huyo ndo aliniteka na karibia kunifilisi Part II. Huyo manzi alikuwa mchaga anachuna kama hana akili nzuri. 2020 nikarudi kwenye akili zangu timamu na kuachana naye mazima. Wakati naachana naye nilikuwa nimeanza kupotea kabisa ila kwa bahati nikaanza kusimama upya hadi ninavyoandika hali sio mbaya. Hilo shetani la kichaga huwa nikilikumbuka najikuta naungana na dronedrake Kukataa ndoa.
Dah; hizi papuchi ndo kilio kwa vijana tunaojitafuta.
 
Kiukweli mimi ile kufeli mazima ilikuwa 2012. Sababu kuu ilikuwa papuchi. Nilikuwa sina demu permanent ila nadhani kila siku nilikuwa natafuna kama sio dadapoa basi yeyote anayepatikana kirahisi. Mwaka 2010 hadi 12 nilikuwa niko poa kiuchumi ila sikufanya lolote zaidi ya kutafuna mbususu na kujikuta ninafeli na kutumbukia kwenye madeni. Hiyo 2012 nikaanza kupambana kulipa madeni na kufikia Januari 2013 nikawa nimemaliza. Ilibidi nihamie Dar na kuanza upya kabisa. Haikuwa kazi rahisi ila kufikia mwaka 2016 nilikuwa na kiasi kama 5m na ndo ukawa mtaji wangu wa biashara. 2017 nikapata demu ambaye huyo ndo aliniteka na karibia kunifilisi Part II. Huyo manzi alikuwa mchaga anachuna kama hana akili nzuri. 2020 nikarudi kwenye akili zangu timamu na kuachana naye mazima. Wakati naachana naye nilikuwa nimeanza kupotea kabisa ila kwa bahati nikaanza kusimama upya hadi ninavyoandika hali sio mbaya. Hilo shetani la kichaga huwa nikilikumbuka najikuta naungana na dronedrake Kukataa ndoa.
huyu demu alikupa demo ya kutosha,pole chief
 
Back
Top Bottom