Kijana yakubali Mazingira ulipo, pana fursa nyingi

Kijana yakubali Mazingira ulipo, pana fursa nyingi

Kimwakaleli

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2018
Posts
7,755
Reaction score
11,737
Mimi ni kijana wa zamani,kwa Sasa Nina umri wa miaka Hamsini na tatu(53)naelekea uzeeni. Enzi hizo kazi za kuajiriwa haikuwa shida sana kama ilivyo hivi Sasa!

Pia wasomi hawakuwa wengi kama ilivyo hivi Sasa,kila nyakati Zina changamoto zake!Simu za mikononi zilikuwa hamna Wala mitandao ya kijamii ilikuwa hakuna na barabara kwa ujumla zilikuwa za ovyo sana.

Hivi Sasa mambo yamebadilika sana,taarifa zozote unazipata hata ukiwa umelala!.Kwa sasas ajira ni ngumu za kuajiriwa na serikali au sekta binafsi, pale ulipo au unapoishi kuna fursa nyingi za kufanya kulingana na Eneo ulilopo, Mfano kuna saidia fundi ujenzi, magenge ya kuuza vitu, kulima bustani na kuwauzia wenye migahawa na mahotel,kuuza chipsi na mishikaki, kuuza maji nk,

Tusione Aibu ,mwanzo mgumu.Ahsanteni.
 
Mimi ni kijana wa zamani,kwa Sasa Nina umri wa miaka Hamsini na tatu(53)naelekea uzeeni. Enzi hizo kazi za kuajiriwa haikuwa shida sana kama ilivyo hivi Sasa!

Pia wasomi hawakuwa wengi kama ilivyo hivi Sasa,kila nyakati Zina changamoto zake!Simu za mikononi zilikuwa hamna Wala mitandao ya kijamii ilikuwa hakuna na barabara kwa ujumla zilikuwa za ovyo sana.

Hivi Sasa mambo yamebadilika sana,taarifa zozote unazipata hata ukiwa umelala!.Kwa sasas ajira ni ngumu za kuajiriwa na serikali au sekta binafsi, pale ulipo au unapoishi kuna fursa nyingi za kufanya kulingana na Eneo ulilopo, Mfano kuna saidia fundi ujenzi, magenge ya kuuza vitu, kulima bustani na kuwauzia wenye migahawa na mahotel,kuuza chipsi na mishikaki, kuuza maji nk,

Tusione Aibu ,mwanzo mgumu.Ahsanteni.

Mkuu fursa hizi:

"Mfano kuna saidia fundi ujenzi, magenge ya kuuza vitu, kulima bustani na kuwauzia wenye migahawa na mahotel,kuuza chipsi na mishikaki, kuuza maji nk."

Mbona haziwahusu walamba asali?

IMG_20211119_091739_123.jpg


Ngoja tuikomboe hii nchi kwanza mbona tutaelewana tu?

Tusichoshane!
 
Mkuu fursa hizi:

"Mfano kuna saidia fundi ujenzi, magenge ya kuuza vitu, kulima bustani na kuwauzia wenye migahawa na mahotel,kuuza chipsi na mishikaki, kuuza maji nk."

Mbona haziwahusu walamba asali?

View attachment 2717752

Ngoja tuikomboe hii nchi kwanza mbona tutaelewana tu?

Tusichoshane!
Sawa ukiweza!
 
Unamsomesha kijana MD halafu aje kusaidia kubeba tofali hebu tuwe serious hii nchi.

What a failed state, serikali imefika mwisho wa kufikiri kiasi ya kwamba tumeamua kuwasakizia vijana wajiajiri? Huu wimbo wa vijana kujiajiri unatumika vibaya sana asa a scapegoat of the failed state.

Ukweli lazima usemwe, nchi zote duniani zinapigana kuvumbua na kurasimisha sekta mbalimbali ilimradi watu wake wapate ajira rasmi. Sisi tuna sekta nyingi sana bado hatujataka kurasimisha ambazo zingetoa fursa nyingisana za ajira.

Duniani kote hakuna serikali inayosisitiza vijana wajiajiri as a solution ya serikali kushindwa kutoa ajira kwa vijana wake. Kama serikali imeshindwa kufungua fursa za ajira ni kijana yupi ataweza kujiajiri kwa style hiyo?

Serikali ina kila aina ya resources lakini watu wamebaki kuwaambia vijana wajiajiri hivi ni kweli kwamba kola kijana ni entrepreneur?

Tumeshindwa kufahamu kwamba sio kola mtu ana akili au uwezo wa kuwa entrepreneur? Vijana wanahangaika wamefungua vibiashara vyao lakini ukweli ni kwamba hawapati kitu wanapiga mark time tu.

Japo ni ushauŕi mzuri kwa vijana lakini serikali isifanye hii kama ndio ajira rasmi kwa vijana. Serikali lazima ifanye juhudi za makusudi kufungua sekra nyingine ili fursa za ajira ziwepo maana kila kunapokucha vijana wanaendelea kumaliza vyuo hata huko kwenye kujiajiri sijui kama watatoshea maana nani atamuajiri nani?

Vijana wanaojiajiri bado wanashindwa kuajiri wenzao kwa hiyo serikali isidhani kuimba huu wimbo wa vijana kujiajiri ndio solution.
 
Kijana ni MD, Lawyer ana MSc nk, ushauri wako ajira ni hizi?

"Mfano kuna saidia fundi ujenzi, magenge ya kuuza vitu, kulima bustani na kuwauzia wenye migahawa na mahotel,kuuza chipsi na mishikaki, kuuza maji nk."

Acheni utani ...
Tatizo wasomi wa nchi hii hamtaki kuambiwa ukweli,,
 
Mkuu fursa hizi:

"Mfano kuna saidia fundi ujenzi, magenge ya kuuza vitu, kulima bustani na kuwauzia wenye migahawa na mahotel,kuuza chipsi na mishikaki, kuuza maji nk."

Mbona haziwahusu walamba asali?

View attachment 2717752

Ngoja tuikomboe hii nchi kwanza mbona tutaelewana tu?

Tusichoshane!
we ni lofa na utakufa maskini. Unaikomboa kutoka kwa nani.
 
we ni lofa na utakufa maskini. Unaikomboa kutoka kwa nani.

Kwani nyani huona kundule? Lofa ni wewe ulpo ni mfu masikini!

Hujui taifa linakombolewa kutoka kwa nani? Kama ungali hujui, wako humo:

IMG_20211119_091739_123.jpg


Bure kabisa!
 
Kijana ni MD, Lawyer ana MSc nk, ushauri wako ajira ni hizi?

"Mfano kuna saidia fundi ujenzi, magenge ya kuuza vitu, kulima bustani na kuwauzia wenye migahawa na mahotel,kuuza chipsi na mishikaki, kuuza maji nk."

Acheni utani ...
Apambane tuu Kuna watu wanamaster,na wanaendasha bajaji wamejikubali na wamejenga!
 
Unamsomesha kijana MD halafu aje kusaidia kubeba tofali hebu tuwe serious hii nchi.

What a failed state, serikali imefika mwisho wa kufikiri kiasi ya kwamba tumeamua kuwasakizia vijana wajiajiri? Huu wimbo wa vijana kujiajiri unatumika vibaya sana asa a scapegoat of the failed state.

Ukweli lazima usemwe, nchi zote duniani zinapigana kuvumbua na kurasimisha sekta mbalimbali ilimradi watu wake wapate ajira rasmi. Sisi tuna sekta nyingi sana bado hatujataka kurasimisha ambazo zingetoa fursa nyingisana za ajira.

Duniani kote hakuna serikali inayosisitiza vijana wajiajiri as a solution ya serikali kushindwa kutoa ajira kwa vijana wake. Kama serikali imeshindwa kufungua fursa za ajira ni kijana yupi ataweza kujiajiri kwa style hiyo?

Serikali ina kila aina ya resources lakini watu wamebaki kuwaambia vijana wajiajiri hivi ni kweli kwamba kola kijana ni entrepreneur?

Tumeshindwa kufahamu kwamba sio kola mtu ana akili au uwezo wa kuwa entrepreneur? Vijana wanahangaika wamefungua vibiashara vyao lakini ukweli ni kwamba hawapati kitu wanapiga mark time tu.

Japo ni ushauŕi mzuri kwa vijana lakini serikali isifanye hii kama ndio ajira rasmi kwa vijana. Serikali lazima ifanye juhudi za makusudi kufungua sekra nyingine ili fursa za ajira ziwepo maana kila kunapokucha vijana wanaendelea kumaliza vyuo hata huko kwenye kujiajiri sijui kama watatoshea maana nani atamuajiri nani?

Vijana wanaojiajiri bado wanashindwa kuajiri wenzao kwa hiyo serikali isidhani kuimba huu wimbo wa vijana kujiajiri ndio solution.Mkuu Mimi sipo serikalini,bali ni Mtanzania ninayeona mambo yanavyokwenda sio lazima ubebe tofali unaweza kuwa supervisor hata wa hizo tofali mradi tuu ujitume.
 
Back
Top Bottom