SI KWELI Kijiji kizima chafutwa kwa tetemeko la ardhi nchini Morocco isipokuwa majengo mawili tu ya Msikiti

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Kwa Libya ni Yesu kalipiza. Unakumbuka walivyowachinja wale wakristo kutoka Ethiopia kwasababu walikataa kusilimu kufuata mila za kiarabu?
Sidhani kama ni kweli hiyo ni Imani yako dunia nzima imejaa majanga hiyo ni kawaida Africa tuko kwenye hali ya majanga January hadi December sijui kama kweli ni mpago wa yesu kutuadhibu kama unavo taka kutuaminisha.
 
Unashangaa hilo?Subiri yatakayowakuta ninyi CCM!
 
Sasa kama issues ni Imani Sasa yatakuwa yana faida gani kama yamewaangamiza waumini wote na mjenzi wa msikiti?
 
Wasabato na wavaa kobazi hizi ndo sehemu wanazopenda kuchukulia point tatu za bureeee.......
Wewe umehamisha mada sisi wa sabato tumekukosea nini?? Wakati wote tunaamini yesu yule yule isipo kua nyie Roma mnaabudu sanamu lake na la Maria sisi hapana hata hatuvai rozari au kunywesha watu pombe kanisani.
 
Sasa kama issues ni Imani Sasa yatakuwa yana faida gani kama yamewaangamiza waumini wote na mjenzi wa msikiti?
Unawakika kama hamna walio nusurika kifo? Wanawatakao hamia tena.
 
Wewe umehamisha mada sisi wa sabato tumekukosea nini?? Wakati wote tunaamini yesu yule yule isipo kua nyie Roma mnaabudu sanamu lake na la Maria sisi hapana hata hatuvai rozari au kunywesha watu pombe kanisani.
😁😁😁Oky nimekusoma kijana wa mnyazi mungu
 
Sidhani kama ni kweli hiyo ni Imani yako dunia nzima imejaa majanga hiyo ni kawaida Africa tuko kwenye hali ya majanga January hadi December sijui kama kweli ni mpago wa yesu kutuadhibu kama unavo taka kutuaminisha.
Nimecheka sana hapo SIJUI NI MPANGO WA YESU KUTUADHIBU. πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Huko sahihi kabisa nikikumbuka vimbunga na moto kila siku marekani na canada.
 
Mungu wa kweli hawezi Fanya jambo ovu kama Hilo! Na hawezi kulazimisha watu wamwabudu kinafiki ,,yaani wamwabudu Kwa kuwatiisha

Angetaka hivyo angetufinya wote ,acheni kumchafua mungu.. we are under Satan rule as God of this kingdom , Kila kitu kinachotokea kipo sisi na shetan tunawajibika baada ya Ile dhambi ya wazazi wetu WA kwanza pale Eden
 
Nimemkumbuka yule nabii Alie sema mwakani mwezi April na may 2024...

Watu waondoke dar es salaam maana mji utapigwa na mafuriko naanza ku connect dots
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…