SI KWELI Kijiji kizima chafutwa kwa tetemeko la ardhi nchini Morocco isipokuwa majengo mawili tu ya Msikiti

SI KWELI Kijiji kizima chafutwa kwa tetemeko la ardhi nchini Morocco isipokuwa majengo mawili tu ya Msikiti

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Tetemeko la aridhi nchini Morroco limeua zaidi ya watu 5000, kuna kijiji kimoja cha mlimani chote kimefutwa na tetemeko isipo kua majengo mawili tu, hayo majengo mawili ni msikiti wa kijiji na nyumba ya huyu alio jenga huo msikiti, hiivi hili lina uhusiano wote na Imani au ni ecological force tu, wenye uelewa mambo theology na geography tuambieni.

Screenshot_20230913-072231_WhatsApp.jpg

 
Tunachokijua
Usiku wa Septemba 9, 2023, tetemeko kuu la ardhi lilitokea nchini Morocco na kuharibu vibaya moja ya maeneo muhimu ya kihistoria katika milima ya Atlas ya Juu, msikiti wa ardhi na mawe uliojengwa na nasaba ya enzi za kati iliyoteka Afrika Kaskazini na Uhispania.

Vyombo vya habari vya Morocco viliripoti kuwa sehemu za Msikiti wa Tinmel zimeporomoka. Picha zinazosambaa mtandaoni zilionyesha kuta zilizoanguka, mnara ulioanguka nusu na marundo makubwa ya uchafu.

screenshot-2023-10-05-161114-png.2772728

Mwanaume akitembea karibu na Msikiti wa Tinmel, ambao uliharibiwa na tetemeko kuu la ardhi, huko Tinmel, Morocco, Septemba 11. REUTERS/Hannah McKay
Kikijibu swali la Reuters kuhusu uharibifu ulioripotiwa kwa Tinmel, chanzo cha Wizara ya Utamaduni ya Morocco kilisema Wizara imeamua kukarabati na kuurejesha msikiti huo na wangetoa bajeti ya kutosha kufanikisha kazi hiyo.

Msikiti wa karne ya 12 ulijengwa ambapo nasaba ya Almohad ilianzisha mji mkuu wake wa kwanza katika bonde la mbali la Atlas kabla ya kwenda kuteka Marrakech, kumtangaza kiongozi wake Khalifa, na kuandamana katika eneo hilo kwa kuchochewa na bidii ya kidini.

Shirika la Umoja wa Mataifa la kitamaduni UNESCO limesema limesikia "uharibifu muhimu sana kwa Msikiti wa Tinmel", ambalo limeongeza kuwa lilipendekezwa kuorodheshwa kama eneo la Urithi wa Dunia, lakini likaongeza kuwa bado linasubiri kutuma timu kutathmini uharibifu huo.

Hadi Septemba 11, 2023, takriban watu 2,000 wamekufa katika tetemeko hilo la kipimo cha 6.8, ambalo ndilo lililoharibu zaidi eneo hilo tangu mwaka 1900. Lilipiga siku ya Ijumaa usiku, na kuharibu majengo ya jadi katika Atlas Kuu na kuanguka kwa nyumba za matofali na mawe katika vijiji vingi vinavyoonekana.

Tetemeko hilo pia lilisababisha uharibifu katika mji wa zamani wa Marrakech , eneo la Urithi wa Dunia wa UNESCO, ambapo mnara ulipinduka na sehemu za kuta za jiji la kihistoria kuanguka pamoja na baadhi ya nyumba za jadi.

JamiiForums imebaini kuwa Madai ya msikiti kutokuharibiwa na tetemeko hayana ukweli, na hakuna taarifa zinazothibitisha jambo hili.
Tetemeko la aridhi nchini Morroco limeua zaidi ya watu 5000, kuna kijiji kimoja cha mlimani chote kimefutwa na tetemeko isipo kua majengo mawili tu, hayo majengo mawili ni msikiti wa kijiji na nyumba ya huyu alio jenga huo msikiti, hiivi hili lina uhusiano wote na Imani au ni ecological force tu, wenye uelewa mambo theology na geography tuambieni.View attachment 2747461
kwahiyo mungu wenu ninyi anaweza tu kujidhihirisha kwa kuzuia huo msikini na nyumba, hawezi kuonekana kwenye maisha yenu? kwani shetani hawezi kuzuia izo zisivunjwe? hasa akiwa na lengo la kuwahadaa ili muendelee kuamini huo uongo na upotofu. kama haujui, kuna kipindi hapahapa duniani shetani kupitia mpinga kristo atakuwa na uwezo wa kuamuru hata moto ushuke toka angani na atafanya miujiza ya ajabu ajabu. huyo ni shetani. sasa anashindwaje kuzuia icho kijumbe kisibomoke ili aendelee kuwahadaa kwamba mnachoamini ndicho sahihi?

pale mbeya, kuna siku msiba ulitokea, wakati wa maziko mvua ikataka kunyesha, wachawi/machief wakazuia mvua, ikanyesha koote kuzunguka eneo la kaburi, ila pale kwenye kaburi hapakunyesha kitu. huo ni muujiza na ni wa kishetani tu. sasa kama mtu anafuga majini kwake, na kwenye jengo fulani kuna majini huwa yanaenda kusali, kwanini yasizuie kijumba kisidondoke? akili ya kawaida tu, yaani muujiza wa mungu wako unazidiwa hata na mujiza wa machief wa mbeya waliozuia mvua, kwenye kaburi jua linawaka, hatua kadhaa huko mvua kubwa hadi masishi yalipoisha.
 
Tetemeko la aridhi nchini Morroco limeua zaidi ya watu 5000, kuna kijiji kimoja cha mlimani chote kimefutwa na tetemeko isipo kua majengo mawili tu, hayo majengo mawili ni msikiti wa kijiji na nyumba ya huyu alio jenga huo msikiti, hiivi hili lina uhusiano wote na Imani au ni ecological force tu, wenye uelewa mambo theology na geography tuambieni.View attachment 2747461
Kuna maana gani msikiti kubaki wakati waumini (wenye dini) wamekufa!? Huyo Mungu analinda msikiti na kushindwa kuwalinda watu wake!
 
Tetemeko la aridhi nchini Morroco limeua zaidi ya watu 5000, kuna kijiji kimoja cha mlimani chote kimefutwa na tetemeko isipo kua majengo mawili tu, hayo majengo mawili ni msikiti wa kijiji na nyumba ya huyu alio jenga huo msikiti, hiivi hili lina uhusiano wote na Imani au ni ecological force tu, wenye uelewa mambo theology na geography tuambieni.View attachment 2747461
Spiritual connection

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tetemeko la aridhi nchini Morroco limeua zaidi ya watu 5000, kuna kijiji kimoja cha mlimani chote kimefutwa na tetemeko isipo kua majengo mawili tu, hayo majengo mawili ni msikiti wa kijiji na nyumba ya huyu alio jenga huo msikiti, hiivi hili lina uhusiano wote na Imani au ni ecological force tu, wenye uelewa mambo theology na geography tuambieni.View attachment 2747461
Wakati wa tsunami kule Aceh Indonesia na tetemeko la Turkey picha kama hizi zilitembea sana. Baadae watu wakaprove zilikuwa fake.

Hebu tuambie ni kijiji kipi huko Moroco ambako hii picha imepigwa. Na sisi tuangalie kwa google map tuamini uwezo wa Allah
 
Kama wewe sio geologist na huna lolote la kusema kuhusu hilo bora upite tu, naona unatafuta mengine
Niliona hii issue kwenye TV.

Kwa mazingira niliyoona ni kwamba nyumba za wenyeji asilimia kubwa zimejengwa kwa udongo(tope), na ujenzi wake ni wa kushikamana (ukuta kwa ukuta).
Ila msikiti umejengwa kisasa na unaonekana mjenzi amezingatia masharti yote ya ujenzi wa nyumba.

Hiyo ni sayansi tu, hakuna maajabu yoyote.
 
Wakati wa tsunami kule Aceh Indonesia na tetemeko la Turkey picha kama hizi zilitembea sana. Baadae watu wakaprove zilikuwa fake.

Hebu tuambie ni kijiji kipi huko Moroco ambako hii picha imepigwa. Na sisi tuangalie kwa google map tuamini uwezo wa Allah
Unaamini Google kuliko journalist aliko kwenye sehemu ya tukio??? Google anakua fed na watu kulingana na interest zao au matakua, vyuo vikuu vingi Google sio reliable reference utakosa marks kwenye coursework bure.
 
Hii inamaana majengo hayo yalikuwa imara kulinganisha na mengine.
 
Wakati wa tsunami kule Aceh Indonesia na tetemeko la Turkey picha kama hizi zilitembea sana. Baadae watu wakaprove zilikuwa fake.

Hebu tuambie ni kijiji kipi huko Moroco ambako hii picha imepigwa. Na sisi tuangalie kwa google map tuamini uwezo wa Allah
wavaa kobaz wanapenda sana vitu feki. hata Gaza kuna kipindi walikuwa wanajifanya wanaenda kuzika mtu aliyeuawa na waisrael, myahudi aliporusha bomu likadondoka karibu na kundi lao wakatawanyika wakikimbia, hata ule mwili wa marehemu walikuwa wamebeba kwenye machela uliamka ukaanza kutimua mbio. kumbe yote walitaka huruma kwa watu. kila wanachokiamini ni fake na kililetwa maalumu kupindua Biblia.
 
Unaamini Google kuliko journalist aliko kwenye sehemu ya tukio??? Google anakua fed na watu kulingana na interest zao au matakua, vyuo vikuu vingi Google sio reliable reference utakosa marks kwenye coursework bure.
Hahaaa...Maneno mengi ya nini mkuu. Tuambie jina la sehemu yalipo hayo majengo na sisi tujionee wenyewe muujiza wa mungu. Au hautaki tuzuoom google tujionee wenyewe? Siku hizi utapeli mwingi ndiyo maana tunataka kuona wenyewe
 
Niliona hii issue kwenye TV.

Kwa mazingira niliy00na ni kwamba nyumba za wenyeji asilimia kubwa zimejengwa kwa udongo(tope), na ujenzi wake ni wa kushikamana (ukuta kwa ukuta).
Ila msikiti umejengwa kisasa na unaonekana mjenzi amezingatia masharti yote ya ujenzi wa nyumba.

Hiyo ni sayansi tu, hakuna maajabu yoyote.
Kwahiyo mbona maghorafa kule uturuki yali poromoka ma ingeneer walikua fake, af nyumba zote ziwe mbovu kijiji kizima hakina mwenye uwezo kweli, mambo mengine tukubali.
 
Kwahiyo mbona maghorafa kule uturuki yali poromoka ma ingeneer walikua fake, af nyumba zote ziwe mbovu kijiji kizima hakina mwenye uwezo kweli, mambo mengine tukubali.
hoja ni kwamba, huo ni muujiza mdogo sana, hata shetan anaweza kuufanya hivyo hakuna proof kama aliyezuia msikiti usidondoke ni mungu au shetani. kwa habari ya uturuki, nadhali uliona kwa macho yako jinsi serikali ilivyokusanya mainjinia woote waliokuwa wameweka matairi chini ya magorofa wakati wa ujenzi, na waliwapiga risasi kama adhabu ya kifo. msikiti haukuwekwa matairi chini. akili zao waliamini ukitanguliza matairi kwenye msingi, tetemeko likija jengo litadundadunda na halitaporomoka, kumbe wamebugi, yale yaliyoporomoka ndio yalikuwa ya aina hiyo. hawakutakiwa kufanya experiment hiyo kwenye nyumba za kuishi. hata hivyo, huo ni muujiza mdogo sana hata jini tu anao uwezo kuufanya.
 
Back
Top Bottom