SI KWELI Kijiji kizima chafutwa kwa tetemeko la ardhi nchini Morocco isipokuwa majengo mawili tu ya Msikiti

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Swali langu ni kwamba, Je unauhakika huo ni msikiti?

Waweza kuonesha refference ya hii taarifa yako.

Sorry
 
Swali langu ni kwamba, Je unauhakika huo ni msikiti?

Waweza kuonesha refference ya hii taarifa yako.

Sorry
hata ingekuwa, huo ni muujiza mdogo sana, ni tofauti na Mungu wetu aliyeumba mbingu na nchi na aliyetenganisha maji ya bahari ay shamu waisrael wakapita, historia ambayo hadi leo wamisri wanaikumbuka vizazi na vizazi. huyo ndiye Mungu wa israel, sio fiction ya mtu fulani tu asiyejua kusoma na kuandika anayeamini kufuga baadhi ya majini "mazuri kwake" sio dhambi.
 
Unaamini Google kuliko journalist aliko kwenye sehemu ya tukio??? Google anakua fed na watu kulingana na interest zao au matakua, vyuo vikuu vingi Google sio reliable reference utakosa marks kwenye coursework bure.
Nioneshe refference
 
Kwahiyo mbona maghorafa kule uturuki yali poromoka ma ingeneer walikua fake, af nyumba zote ziwe mbovu kijiji kizima hakina mwenye uwezo kweli, mambo mengine tukubali.
Uturuki ilikuwa 7.8 hili la Morocco ni 6.8 huwezi kulinganisha.

Ila ukiona imani yako inaimarika kwa kupitia hili janga basi komaa.

Muhimu: Fuata misingi yote ya kisayansi iliyokubalika kitaalam unapofanya jambo lolote.
 
Wewe Unauhakika bahari ya shamu ilitengana!?

Nyie wote ni wazee wa hersey tu. Mmemezeshwa mauongo tu ya dini.
 
 
Wewe Unauhakika bahari ya shamu ilitengana!?

Nyie wote ni wazee wa hersey tu. Mmemezeshwa mauongo tu ya dini.
kawaulize wamisri wote leo watakuambia. hata mood aliamini hivyo kuhusiana na story ya firauni ambaye hadi leo mabaki yake yapo. firauni (farao) alikufa baada ya kuingia sehem maji yametenganishwa katikati ya bahari, waisrael walipovuka tu Musa akapiga maji kwa fimbo yakajirudi kama bahari tena na firauni akafia humo. mwili wake ulipopatikana ndio wakauhifadhi ili iwe kumbukumbu kwenu ninyi.
 
Miezi michache imepita Tetemeko -uturuki ,likaenda piga Morocco,jana Libya imepigwa na mafuriko watu 2000 wamekufa

Ni Mwendo wa Mapigo tu kwa Waarabu mpk wamrudie Mungu wa KweliπŸ˜‡
Waache kufeeraiina
 
Sorry kama nimekukwaza,swali lako nimeona la kinafiki,ungesema kua tetemeko limevunja nyumba karibu zote isipokua majengo mawili tu,hapo tungekupa jibu la kitaalamu,bt kutaja msikiti na mjenga msikiti umeingiza suala la imani,jibu gani utapewa zaidi ya jibu la kiimani?
Kama wewe sio geologist na huna lolote la kusema kuhusu hilo bora upite tu, naona unatafuta mengine
 
Sitatia neno, tutaelekea kwenye mabishano ya sio kua na tija kabisa, majengo ni majengo iwe kanisa uwe mskiti iwe bar nk. Kutaja jina la jengo haibadili ukweli wowote, ila basi liishe hilo.
 
Libya nako Kuna mafurikoo zaidi ya watu 5000 wanahofiwa kuaga dunia
 
Libya nako Kuna mafurikoo zaidi ya watu 5000 wanahofiwa kuaga dunia
Tunashukuru Mungu kwamba hayo yote hajatokea chini ya sub saharani Africa, tusingepata coverage na misaada kama hao wenzetu walivyo saidiwa maita 5000 hapa TZ nijanga kubwa almost kila kitu kingesimama ili kuweka mambo sawa, na hamna nchi ya kujitolea kiukweli ukweli kusaidia.
 
Hao siyo Watanzania?
 
Utasikia ulikuwa msikiti na wanaswali tano.matukio hayo waislamu wanayapenda sana kujimwambafai kuwa wao nibora.
Niliangalia Ile tusunami iliyotokea nchi Fulani iliposomba nyumba lakini msikiti ukabaki.
Kitaalamu msikiti asilimia kubwa una uwazi mkubwa wa madirisha na ambayo asilimia kubwa Huwa hakuna kizuizi kwa basi maji yanavo pita hayawezi kuwa na kizingiti ukilinganisha na nyumba zilizo na ukuta asilimia kubwa
 
Kwamba wali weka matairi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…