SI KWELI Kijiji kizima chafutwa kwa tetemeko la ardhi nchini Morocco isipokuwa majengo mawili tu ya Msikiti

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Nimefuatilia kwenye blogs na vyanzo vingine sijaipata habari hii. Naomba mtoa thread Covax aweke source.

Otherwise itakuwa picha ya kuokoteza na kuwekewa maneno tu
 
Wewe umehamisha mada sisi wa sabato tumekukosea nini?? Wakati wote tunaamini yesu yule yule isipo kua nyie Roma mnaabudu sanamu lake na la Maria sisi hapana hata hatuvai rozari au kunywesha watu pombe kanisani.
Aliyebariki maji yakawa divai alikosea? Someni neno mlielewe... acheni tabia ya kung'ang'ania msitari Mmoja na kuona umelielewa neno.

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Naamini huwezi ukawa mkristo... ikiwa ni mkristo itasikitisha !!

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
We jamaa unafikiri Mungu ni mtu siyo!?..na Wala hujui mipango yake na binaadam,elimu Haba udhia!!

Mimi nafikiri story zote za an imaginary being sitting in the clouds ni story za kusadikika. Wewe na akili yako unadhani mungu anakaa in the clouds anaangalia nyie mnavyokufa na kuteseka tu, hiyo ndo furaha yake sio.
 
Mimi nafikiri story zote za an imaginary being sitting in the clouds ni story za kusadikika. Wewe na akili yako unadhani mungu anakaa in the clouds anaangalia nyie mnavyokufa na kuteseka tu, hiyo ndo furaha yake sio.
Kakuambia nani yupo mawinguni!?..mawingu hayazidi kilomita moja toka ardhini,ndiyo maana nikakwambia huna elimu ya Mungu,upo chini ya half-baked,yaani ni mbumbumbu,ungeacha ujuaji ukajifunza kwanza
 
Kakuambia nani yupo mawinguni!?..mawingu hayazidi kilomita moja toka ardhini,ndiyo maana nikakwambia huna elimu ya Mungu,upo chini ya half-baked,yaani ni mbumbumbu,ungeacha ujuaji ukajifunza kwanza

😂😂 carry on na Imani za Mungu wako mpenda vifo na mateso regardless ya anapoishi. I, for one, am good 👍
 
Ns wewe umeamini yote hayo
 
Nyumba za kuishi za Udongo za Mskiti matofali ya kuchoma na sementi juu
 
Shida ya Africa kaskazini nyumba zao si imara wanajenga ilimradi
Wanazipamba nje lakini uhalisia si nyumba
Hili janga litaikumba siku moja Zanzibar Bagamoyo
Mungu awafanyie wepesi kwa majanga haya
Earthquake Floods dah mwisho wa Ulimwengu au
Unajua maana ya ulimwengu?
 
Hehehe
 
Wee na Libya tena?
 
Je, hicho kijiji hakikuwa na kanisa ?
Je, vitabu vya Mungu havikuwepo?
 
Kwa Libya ni Yesu kalipiza. Unakumbuka walivyowachinja wale wakristo kutoka Ethiopia kwasababu walikataa kusilimu kufuata mila za kiarabu?
Hilo silijui lakini dini ya kulazimishana mpaka kuchinjana kwa dunia ya Leo yenye uelewa,inatia shaka sana.Maana kama dini yako ni nzuri huwezi mchinja mtu asopenda vitu vizuri.
 
Kijiji chote kina msikiti huo mmoja? If not, kipi kimetokea Kwa misikiti mingine.
 
Yaani Mungu aruhusu watu wengine wapot ze nyumba, Mali na maelfu wafe , amuche aliyejenga msikiti! 😳
Ili aswali peke yake msikitini na aishi bila majirani.

Hivyo ndio vituko vya Allah.😀😀
 
Huu msikiti na aliyejenga mbona hawajasalimika? Au walitenda dhambi?



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…