SI KWELI Kijiji kizima chafutwa kwa tetemeko la ardhi nchini Morocco isipokuwa majengo mawili tu ya Msikiti

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Kwa jamii ya waislamu haswa Kwa mataifa kama Libya unategemea Kijiji kizima kilikuwa na mskiti mmoja tu huo?
 
Acha uongo wewe.

Unafahamu kuwa Masoreti walikuja kuandika hizo hadithi upya kwa kuingiza majina na geography ya maeneo baadae.

Yaani hao wahusika halisi (Farao) wameandikiwa story za kutungwa tu.

Kwamba unasema farao alikufa kwenye maji!?
Where is your refference
 
Umesahau hata U.s.a nao juzi tu wamepigwa na tufani.acha kujitoa ufahamu kwa chuki zako.
 
Allahhumma amina
Bismillah Allahu akbar
La ilaha illa Allah Muhammed asul Allah
Ash-hadu an la ilaha illa Allah, Wa ash-hadu anna Muhammadan Rasulu-Allah
Translate Kwa kiswahili tafadhari kama ni ujumbe Kwa wote
 
Kwa Libya ni Yesu kalipiza. Unakumbuka walivyowachinja wale wakristo kutoka Ethiopia kwasababu walikataa kusilimu kufuata mila za kiarabu?
acha kuangamia
kwa kukosa maarifa ewe mgalatia
yesu aliyeshindwa kujiokoa kwenye mateso ya.msalabani leo aweze kuadhibu!
ewe mgalatia
uliyekosa akili ni
Nani
aliyekuloga?
 
Huyu kajitungia tu.

Atupe Source
Naona nyie amuangalia hata talifa zakimataifa hashimu haebara wa aljazeera mvona anali report tukio hili kala baada ya saa kwenye taarifa za habari akiwa eneo la tukio au hujui kiingereza kabisa, ila ungeona picha tu.
 
Kwamba wali weka matairi?
ndio. nafikiri waliamini ukiweka matairi eneo lenye historia ya tetemeko, likija mtikisiko wake jengo litakuwa linanesa na halitaanguka. kuna clip ilisambaaga sana kipindi kile hadi walivyokuwa executed, walikuwa wanakamata mmoja mmoja (tena ujue ni mabos mainjinia wenye pesa na makampuni), wanamrushia kwenye shimo, wanamshindilia risasi. waliuwa wengi kweli.
 
Na wewe ukakubaliana na hizo propaganda? Imeelezwa kwenye chombo gani cha habari juu ya hilo jambo?
 
Kwa Libya ni Yesu kalipiza. Unakumbuka walivyowachinja wale wakristo kutoka Ethiopia kwasababu walikataa kusilimu kufuata mila za kiarabu?

yesu ana nguvu gani za kulipiza katundikwa msalaba na kijana moja tena mlemavu wa mguu kamkamata kampigilia msumari akawa anaomba msaada nisaidieni sirudii tena nimekoma halafu huyo ndie alipeze kisasi
 
Nina swali mkuu
Mungu huyo aliesambaratisha majengo yote na kuua watu ndo huyo huyo aliebakiza mskiti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…