SI KWELI Kijiji kizima chafutwa kwa tetemeko la ardhi nchini Morocco isipokuwa majengo mawili tu ya Msikiti

SI KWELI Kijiji kizima chafutwa kwa tetemeko la ardhi nchini Morocco isipokuwa majengo mawili tu ya Msikiti

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Tetemeko la aridhi nchini Morroco limeua zaidi ya watu 5000, kuna kijiji kimoja cha mlimani chote kimefutwa na tetemeko isipo kua majengo mawili tu, hayo majengo mawili ni msikiti wa kijiji na nyumba ya huyu alio jenga huo msikiti, hiivi hili lina uhusiano wote na Imani au ni ecological force tu, wenye uelewa mambo theology na geography tuambieni.

Screenshot_20230913-072231_WhatsApp.jpg

 
Tunachokijua
Usiku wa Septemba 9, 2023, tetemeko kuu la ardhi lilitokea nchini Morocco na kuharibu vibaya moja ya maeneo muhimu ya kihistoria katika milima ya Atlas ya Juu, msikiti wa ardhi na mawe uliojengwa na nasaba ya enzi za kati iliyoteka Afrika Kaskazini na Uhispania.

Vyombo vya habari vya Morocco viliripoti kuwa sehemu za Msikiti wa Tinmel zimeporomoka. Picha zinazosambaa mtandaoni zilionyesha kuta zilizoanguka, mnara ulioanguka nusu na marundo makubwa ya uchafu.

screenshot-2023-10-05-161114-png.2772728

Mwanaume akitembea karibu na Msikiti wa Tinmel, ambao uliharibiwa na tetemeko kuu la ardhi, huko Tinmel, Morocco, Septemba 11. REUTERS/Hannah McKay
Kikijibu swali la Reuters kuhusu uharibifu ulioripotiwa kwa Tinmel, chanzo cha Wizara ya Utamaduni ya Morocco kilisema Wizara imeamua kukarabati na kuurejesha msikiti huo na wangetoa bajeti ya kutosha kufanikisha kazi hiyo.

Msikiti wa karne ya 12 ulijengwa ambapo nasaba ya Almohad ilianzisha mji mkuu wake wa kwanza katika bonde la mbali la Atlas kabla ya kwenda kuteka Marrakech, kumtangaza kiongozi wake Khalifa, na kuandamana katika eneo hilo kwa kuchochewa na bidii ya kidini.

Shirika la Umoja wa Mataifa la kitamaduni UNESCO limesema limesikia "uharibifu muhimu sana kwa Msikiti wa Tinmel", ambalo limeongeza kuwa lilipendekezwa kuorodheshwa kama eneo la Urithi wa Dunia, lakini likaongeza kuwa bado linasubiri kutuma timu kutathmini uharibifu huo.

Hadi Septemba 11, 2023, takriban watu 2,000 wamekufa katika tetemeko hilo la kipimo cha 6.8, ambalo ndilo lililoharibu zaidi eneo hilo tangu mwaka 1900. Lilipiga siku ya Ijumaa usiku, na kuharibu majengo ya jadi katika Atlas Kuu na kuanguka kwa nyumba za matofali na mawe katika vijiji vingi vinavyoonekana.

Tetemeko hilo pia lilisababisha uharibifu katika mji wa zamani wa Marrakech , eneo la Urithi wa Dunia wa UNESCO, ambapo mnara ulipinduka na sehemu za kuta za jiji la kihistoria kuanguka pamoja na baadhi ya nyumba za jadi.

JamiiForums imebaini kuwa Madai ya msikiti kutokuharibiwa na tetemeko hayana ukweli, na hakuna taarifa zinazothibitisha jambo hili.
Kwa Libya ni Yesu kalipiza. Unakumbuka walivyowachinja wale wakristo kutoka Ethiopia kwasababu walikataa kusilimu kufuata mila za kiarabu?
Bukoba yesu alikuwa analipiza nao waliwachinja watu gani?
 
Hili linajionesha bayana watu wa eneo hilo walifanya machukizo sana kwa mwenyenzi mungu, walimchukiza sana mungu kwa kudharau watu na kuwa wabinafsi wao kwa wao, linawezekana alijenga msikiti alimcha mungu na kutoa vile alivojaliwa.

Zinaa ziliwazidi, fitina, roho za husda, wivu, ubinafsi na choyo, dharau na kiburi, mengine watamalizia waislamu......mimi si muislam ila hili linaonesha jamii hiyo ilikuwa ni waja wa mungu walio kiremiwa vizuri sana na walipata tawala za juu za kifalme kwa wakirstu tunaamini hivo ila sasa tamaa za dunia ziliwazidi wakaona mungu kwao ni ziada.
Hayo ulio yaorodhesha hapa mbona bongo yapo tu kwahiyo tungoje tetemeko?
 
Sidhani kama ni kweli hiyo ni Imani yako dunia nzima imejaa majanga hiyo ni kawaida Africa tuko kwenye hali ya majanga January hadi December sijui kama kweli ni mpago wa yesu kutuadhibu kama unavo taka kutuaminisha.
[emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581]
 
Nataka kuamini kuwa wewe ni mja wa Subhanau Wa Taala!
Sasa sijui kipi cha thamani mbele za Mungu, Majengo au Watu?
Yaani kama watu wamekufa msikiti ukabaki haina maana mbele za Mungu!
Huyo anayeua Watu harafu anaacha miskiti ni Shetani!
Cha ajabu huenda wakazi wa kijiji hicho walikuwa Waislamu!
 
Mosi, Tupe legit source ya habari yako. Sio kuaminishana ujinga kama nyumbu tu, huwa warahisi sana kuchotwa akili nyie watu.

Pili, hii habari inamchafua Mungu kuliko kumjenga. Yani kwake kuua watu na kubomoa makazi ni jambo la maana kuliko kusave hivyo vijengo viwili? Nana akasali sasa hapo? Mzazi gani anaweza ua wanae na kuacha mji wa mmoja wao akidhani ni sifa. Mambo mengine hata kwa akili ya binadamu ni illogical ila mnaesema ni mungu muweza yote na mjua yote anashindwa kufanya reasoning ndogo tu. Smh
 
Miezi michache imepita Tetemeko -uturuki ,likaenda piga Morocco,jana Libya imepigwa na mafuriko watu 2000 wamekufa

Ni Mwendo wa Mapigo tu kwa Waarabu mpk wamrudie Mungu wa Kweli😇
Mungu yupi!?..yule aliyevizia kiza kinene akateremka toka mbinguni,yakobo alipokua anaenda chooni akamshutia,akazichapa nae mpaka Mungu akapakachuliwa paja!?
 
Mosi, Tupe legit source ya habari yako. Sio kuaminishana ujinga kama nyumbu tu, huwa warahisi sana kuchotwa akili nyie watu.

Pili, hii habari inamchafua Mungu kuliko kumjenga. Yani kwake kuua watu na kubomoa makazi ni jambo la maana kuliko kusave hivyo vijengo viwili? Nana akasali sasa hapo? Mzazi gani anaweza ua wanae na kuacha mji wa mmoja wao akidhani ni sifa. Mambo mengine hata kwa akili ya binadamu ni illogical ila mnaesema ni mungu muweza yote na mjua yote anashindwa kufanya reasoning ndogo tu. Smh
Anayetoa watu roho kila siku ni nani!?..naona umepanik Sana!
 
Anayetoa watu roho kila siku ni nani!?..naona umepanik Sana!

You tell me? Ni Mungu?

Wewe unaweza mtoa roho mwanao? Hamuoni it doesn't make no sense. Kwamba anawapenda sana then anawaua, wengine anawaua huku anaacha vijengo if at all hiyo habari ni ya kweli.
 
Shida ya Africa kaskazini nyumba zao si imara wanajenga ilimradi
Wanazipamba nje lakini uhalisia si nyumba
Hili janga litaikumba siku moja Zanzibar Bagamoyo
Mungu awafanyie wepesi kwa majanga haya
Earthquake Floods dah mwisho wa Ulimwengu au
 
You tell me? Ni Mungu?

Wewe unaweza mtoa roho mwanao? Hamuoni it doesn't make no sense. Kwamba anawapenda sana then anawaua, wengine anawaua huku anaacha vijengo if at all hiyo habari ni ya kweli.
Mwanao!?.. Mungu Hana mwana,wewe ndiyo unaona ukatili binaadam kufa,yeye haoni hivyo,we ulishawahi ones huruma sisimizi ulioua!?..achilia mbali ng'ombe na samaki unaowala supu!?
 
Mosi, Tupe legit source ya habari yako. Sio kuaminishana ujinga kama nyumbu tu, huwa warahisi sana kuchotwa akili nyie watu.

Pili, hii habari inamchafua Mungu kuliko kumjenga. Yani kwake kuua watu na kubomoa makazi ni jambo la maana kuliko kusave hivyo vijengo viwili? Nana akasali sasa hapo? Mzazi gani anaweza ua wanae na kuacha mji wa mmoja wao akidhani ni sifa. Mambo mengine hata kwa akili ya binadamu ni illogical ila mnaesema ni mungu muweza yote na mjua yote anashindwa kufanya reasoning ndogo tu. Smh
Umesahau Mungu huyu huyu aliweka mwanae peke msalabani na akafia kwenye huo msalaba ila hawezi kusamehe watu, kifo kwa watu baki sio issue kama aliweza kutesa his first born Yesu sembuse nyie Wamakonde!!!!!
 
Tetemeko la aridhi nchini Morroco limeua zaidi ya watu 5000, kuna kijiji kimoja cha mlimani chote kimefutwa na tetemeko isipo kua majengo mawili tu, hayo majengo mawili ni msikiti wa kijiji na nyumba ya huyu alio jenga huo msikiti, hiivi hili lina uhusiano wote na Imani au ni ecological force tu, wenye uelewa mambo theology na geography tuambieni.

View attachment 2747461
kwahiyo unachotaka kusema kuwa misikiti haiwezi kubomolewa na tetemeko?hivi humo kichwani mmejaza kamasi?
 
Hili linajionesha bayana watu wa eneo hilo walifanya machukizo sana kwa mwenyenzi mungu, walimchukiza sana mungu kwa kudharau watu na kuwa wabinafsi wao kwa wao, linawezekana alijenga msikiti alimcha mungu na kutoa vile alivojaliwa.

Zinaa ziliwazidi, fitina, roho za husda, wivu, ubinafsi na choyo, dharau na kiburi, mengine watamalizia waislamu......mimi si muislam ila hili linaonesha jamii hiyo ilikuwa ni waja wa mungu walio kiremiwa vizuri sana na walipata tawala za juu za kifalme kwa wakirstu tunaamini hivo ila sasa tamaa za dunia ziliwazidi wakaona mungu kwao ni ziada.
Upumbavu huo mzee
 
Ndugu zangu akina mudi kwa ujinga huu Ibilisi atazidi kuwapepeta.
Kuna jengo imara zaidi ya huo msikiti limebebwa na tetemeko katika hicho kijiji?
 
Back
Top Bottom