Kijue chombo maalumu Inkwizisheni (Inquisition) cha kutesa

Kijue chombo maalumu Inkwizisheni (Inquisition) cha kutesa

Watoto wa Ellen G. White, kupinga Kanisa Katoliki hakuwapeleki mbinguni. Ingekuwa Siasa hakika mngewapa umaarufu tu.
 
Mmemshindwa kwenye mada za dini mmeanza kuchanganya na mada za jukwaa la wakubwa, acheni usenge
We binti nyamaza !!

Umesoma post hizo na michepuko!! Hapo nimshukuru huyo akiyezileta ili tujue kati yake na papa nani shetani !! Au na wewe msabato, ingekuwa mbaya mods wangefuta !!
 
Nahis jamaa anaonewa baada ya kushusha data ikatumika mbinu ya kushusha masuala yake ya huko nyuma.

Binafsi sioni ajabu sababu hata katika bible watu wengine waliotumwa na Mungu hapo kabla walikuwa si wasafi kiroho.

Ebu chukulia mtu kama Mtume Paulo alivyokuwa muujaji wa kutisha. Watu kama kina suleimani na wake kibao, Mfano mwingine ni yule mwanamke Malaya aliyesamehewa dhambi zake na Yesu eti kwa kuwa Nduguze wanafiki walitaka kumuua kwa dhambi za Uzinzi.

Je, na ninyi mnataka kuhudhirishia ulimwengu kwamba ni wanafiki!? Kwamba hamfanyi ngono!? Kwamba hamjawai tenda dhambi!? Kama jibu ni ndyo basi na muwe wa kwanza kumrushia mawe mleta mada hapa Jukwaani!!

Mwisho wa siku naelekea kukunaliana na hoja za jamaa maana naona anataka kushinda kwa fact ili kumzima anaibuliwa mambo yale wengine wanadai hawayafanyi. Huku ni kushindwa Vibaya. Kwa kifupi mnaonesha mngekuwa karibu na mleta mada mngeweza hata kumchoma visu au kumuangamiza kwa namna yoyote ile.

Wito wangu endeleeni kuleta hoja za kupinga hoja. Kuhusu mada husika. Huo ndio Ugreat thinker wenyewe.

Pia AARON ushauri wangu jitahidi uwe na uzi mmoja tu si kuanzisha uzi mpya kila siku utawafanya watu waseme una chuki na kanisa kumbe labda nia yako ni kuelimisha labda.
 
AROON
JF-Expert Member, 23
AROON was last seen:Jan 3, 2017 at 8:36 AM
About
Birthday:Jan 11, 1993 (Age: 23)
Interact
Content:
Find all content by AROON
Find all threads by AROON
Conversation:Start a Conversation
Signature
YHWH IS GOOD ALL THE TIME !!
Ma agent wa shetani wengi sana wanaranda humu ndani siku hizi
 
Nahis jamaa anaonewa baada ya kushusha data ikatumika mbinu ya kushusha masuala yake ya huko nyuma.

Binafsi sioni ajabu sababu hata katika bible watu wengine waliotumwa na Mungu hapo kabla walikuwa si wasafi kiroho.

Ebu chukulia mtu kama Mtume Paulo alivyokuwa muujaji wa kutisha. Watu kama kina suleimani na wake kibao, Mfano mwingine ni yule mwanamke Malaya aliyesamehewa dhambi zake na Yesu eti kwa kuwa Nduguze wanafiki walitaka kumuua kwa dhambi za Uzinzi.

Je, na ninyi mnataka kuhudhirishia ulimwengu kwamba ni wanafiki!? Kwamba hamfanyi ngono!? Kwamba hamjawai tenda dhambi!? Kama jibu ni ndyo basi na muwe wa kwanza kumrushia mawe mleta mada hapa Jukwaani!!

Mwisho wa siku naelekea kukunaliana na hoja za jamaa maana naona anataka kushinda kwa fact ili kumzima anaibuliwa mambo yale wengine wanadai hawayafanyi. Huku ni kushindwa Vibaya. Kwa kifupi mnaonesha mngekuwa karibu na mleta mada mngeweza hata kumchoma visu au kumuangamiza kwa namna yoyote ile.

Wito wangu endeleeni kuleta hoja za kupinga hoja. Kuhusu mada husika. Huo ndio Ugreat thinker wenyewe.

Pia AARON ushauri wangu jitahidi uwe na uzi mmoja tu si kuanzisha uzi mpya kila siku utawafanya watu waseme una chuki na kanisa kumbe labda nia yako ni kuelimisha labda.
Yaani huo upupu aliokusanya kisa tu anajua ku_google ndio unaita great thinker !!
Umeona wapi kama katoa reliable source of his arguments .
Nahisi Jf wamenunuliwa na FB.
 
AROON
JF-Expert Member, 23
AROON was last seen:Jan 3, 2017 at 8:36 AM
About
Birthday:Jan 11, 1993 (Age: 23)
Interact
Content:
Find all content by AROON
Find all threads by AROON
Conversation:Start a Conversation
Signature
YHWH IS GOOD ALL THE TIME !!
Tatizo la watoto wa siku hizi wanakimbilia kusoma biblia na vipeperushi vyao. Inabidi uisome biblia Kama darasa la kawaida kwanza. Dogo unajua who wrote bible? When? For whom? And for which purpose?. Umesoma criticisms za bible? Unazifahamu cultural background zilizoathiri bible?Kwa taarifa yako hata huyo Yahweh umemuandika kwenye id yako ni Mungu wa kipagani.Pitia kidogo hapo
Yahweh - Wikipedia

Chukua muda wa kutosha jifunze hayo, soma Biblia Kama somo kabla hujaanza kusoma kilichomo.
 
Dogo ni denti na amenyweshwa sumu za Waadventista Wasabato zikamkolea sawasawa. Kuanzia mwaka mpya anapambana na Papa na Wakatoliki kwa nguvu zote. Maajabu hata hivyo ni kwamba kutokana na juhudi hizi ungetegemea kuwa yeye mwenyewe angekuwa anajitahidi kunyoosha maisha yake kwanza. Pengine anadhani kuwa, kama Wasabato wengi wanavyodhani, ile kusali tu siku ya Jumamosi na kushika sheria butu za Mafarisayo, basi moja kwa moja ni tiketi ya kwenda mbinguni. Nimepitia baadhi ya post zake na nimeshangaa sana. Kuhukumu ni kazi ya Mungu lakini angalau ningetemea kuona juhudi za kibinadamu kujaribu kuwa karibu na Mungu? Post zake nyingi zina ukakasi sana. Unafiki wa kutisha!
34e42e7c4c4c0731843724abb6e68014.jpg
f8ae50f547f159e9f698c8fd89451e21.jpg
d27ffb62afc955b0dab8d43b7273ba01.jpg
82e31da050386b410208a6820132f349.jpg
4a4c74065373b2aa9197007ac83c4a35.jpg
052a2109fc0836ed1f059c4a7962e1c4.jpg
Hongera sana mkuu Shimba ya Buyenze.
Umempiga huyu dogo forensic audit ya ukweli.
Anataka kutuzingua na kuhukumu wenzie kuwa ni mashetani kumbe yeye ndo shetani mkuu kabisa..
Hana uadilifu wa kidini, kiimani wala kijamiii.
Huyu Aaron ni wa kuchapa kabisa...
 
Dogo ni denti na amenyweshwa sumu za Waadventista Wasabato zikamkolea sawasawa. Kuanzia mwaka mpya anapambana na Papa na Wakatoliki kwa nguvu zote. Maajabu hata hivyo ni kwamba kutokana na juhudi hizi ungetegemea kuwa yeye mwenyewe angekuwa anajitahidi kunyoosha maisha yake kwanza. Pengine anadhani kuwa, kama Wasabato wengi wanavyodhani, ile kusali tu siku ya Jumamosi na kushika sheria butu za Mafarisayo, basi moja kwa moja ni tiketi ya kwenda mbinguni. Nimepitia baadhi ya post zake na nimeshangaa sana. Kuhukumu ni kazi ya Mungu lakini angalau ningetemea kuona juhudi za kibinadamu kujaribu kuwa karibu na Mungu? Post zake nyingi zina ukakasi sana. Unafiki wa kutisha!
34e42e7c4c4c0731843724abb6e68014.jpg
f8ae50f547f159e9f698c8fd89451e21.jpg
d27ffb62afc955b0dab8d43b7273ba01.jpg
82e31da050386b410208a6820132f349.jpg
4a4c74065373b2aa9197007ac83c4a35.jpg
052a2109fc0836ed1f059c4a7962e1c4.jpg
Unachofanya ni character assassination kwa jamaa,, pambana nae kwa hoja sio kuleta post zake zilizopita.
 
Yaani huo upupu aliokusanya kisa tu anajua ku_google ndio unaita great thinker !!
Umeona wapi kama katoa reliable source of his arguments .
Nahisi Jf wamenunuliwa na FB.
Mkuu hata wewe si unaweza kujibu kwa kugoogle kama unadhani jamaa kafanya hivyo!? Mbona rahisi sana. Maswali yanayoletwa na facts za google yajibiwe na facts zinazotolewa google au nyingine ambazo ni bora kuliko hizo
 
Tatizo la watoto wa siku hizi wanakimbilia kusoma biblia na vipeperushi vyao. Inabidi uisome biblia Kama darasa la kawaida kwanza. Dogo unajua who wrote bible? When? For whom? And for which purpose?. Umesoma criticisms za bible? Unazifahamu cultural background zilizoathiri bible?Kwa taarifa yako hata huyo Yahweh umemuandika kwenye id yako ni Mungu wa kipagani.Pitia kidogo hapo
Yahweh - Wikipedia

Chukua muda wa kutosha jifunze hayo, soma Biblia Kama somo kabla hujaanza kusoma kilichomo.
Sina hakika kama ulinitageti mimi, ila mleta mada
 
Mkuu hata wewe si unaweza kujibu kwa kugoogle kama unadhani jamaa kafanya hivyo!? Mbona rahisi sana. Maswali yanayoletwa na facts za google yajibiwe na facts zinazotolewa google au nyingine ambazo ni bora kuliko hizo
Nimeanza kuwa na mashaka na malezi unayompa Tina, siyo kila source ya google ni ya kuaminika , aweke source sio porojo.
 
Hongera sana mkuu Shimba ya Buyenze.
Umempiga huyu dogo forensic audit ya ukweli.
Anataka kutuzingua na kuhukumu wenzie kuwa ni mashetani kumbe yeye ndo shetani mkuu kabisa..
Hana uadilifu wa kidini, kiimani wala kijamiii.
Huyu Aaron ni wa kuchapa kabisa...

Kwa suala la AROON kuwa zamani alikuwa hivyo mi sioni kuwa ni tatizo kwa sababu yeye sio MALAIKA.

Alipitia matamanio akiwa kama BINADAM aliyekamilika la sivyo hawezi kuwa BINADAM KAMILI.

Ameshajirudi na kujitambua sasa hivi kuwa yale ya nyuma natumai haendelei kuyafanya sasa yupo katika kuwaelimisha ambao wanaenda njia si sahihi. Hili ni jambo jema kabisa.

Sidhani kama ntaona mtu ana akili sawasawa eti kwa kumdhihaki AROON kupitia makosa yake ya nyuma ambayo natumai ameshaachana nayo na kuacha kumshangaa MCHUNGAJI ambae bado anakunywa KONYAGI na huku akiendelea kuchunga kondoo wa bwana na mikondoo ikiendelea kumskiliza na kumfata huku imeinamisha vichwa chini.

Mi naona AROON yuko sahihi kabisa kwa sasa coz makosa yake ya nyuma ambayo natumai amejitambua na kujisafisha na kuzaliwa akawa MSAFI KABISA. Makosa yake ya nyuma hayazuii hizi mada anazoweka hapa kupokelewa na watu na kuzisoma.

Watu watazipokea na kuendelea kubaini machafu yote yanayofanywa na hao wanayoyafanya.

Safi kabisa mkuu AROON kwa kufanya kazi ya MUNGU kwa kufichua maovu yao. MUNGU AKUTIE NGUVU NA AKUTANGULIE, AKULINDE DHIDI YA JICHO LIKUTAZAMALO VIBAYA.

BWANA YUNAWE MKUU. VYEMA KABISA.
 
Tunataka chanel zile za bure zirudishwe la sivyo waturudishie analogia yetu maana antena bado tunazo. Hii ni laana na unyonyaji mkubwa kwa kutaka kuwakamua maskini wa nchi hii kila walichonacho.
 
Kwa suala la AROON kuwa zamani alikuwa hivyo mi sioni kuwa ni tatizo kwa sababu yeye sio MALAIKA.

Alipitia matamanio akiwa kama BINADAM aliyekamilika la sivyo hawezi kuwa BINADAM KAMILI.

Ameshajirudi na kujitambua sasa hivi kuwa yale ya nyuma natumai haendelei kuyafanya sasa yupo katika kuwaelimisha ambao wanaenda njia si sahihi. Hili ni jambo jema kabisa.

Sidhani kama ntaona mtu ana akili sawasawa eti kwa kumdhihaki AROON kupitia makosa yake ya nyuma ambayo natumai ameshaachana nayo na kuacha kumshangaa MCHUNGAJI ambae bado anakunywa KONYAGI na huku akiendelea kuchunga kondoo wa bwana na mikondoo ikiendelea kumskiliza na kumfata huku imeinamisha vichwa chini.

Mi naona AROON yuko sahihi kabisa kwa sasa coz makosa yake ya nyuma ambayo natumai amejitambua na kujisafisha na kuzaliwa akawa MSAFI KABISA. Makosa yake ya nyuma hayazuii hizi mada anazoweka hapa kupokelewa na watu na kuzisoma.

Watu watazipokea na kuendelea kubaini machafu yote yanayofanywa na hao wanayoyafanya.

Safi kabisa mkuu AROON kwa kufanya kazi ya MUNGU kwa kufichua maovu yao. MUNGU AKUTIE NGUVU NA AKUTANGULIE, AKULINDE DHIDI YA JICHO LIKUTAZAMALO VIBAYA.

BWANA YUNAWE MKUU. VYEMA KABISA.
Kwa hiyo sasa hivi Aaron ameokoka
 
Dogo ni denti na amenyweshwa sumu za Waadventista Wasabato zikamkolea sawasawa. Kuanzia mwaka mpya anapambana na Papa na Wakatoliki kwa nguvu zote. Maajabu hata hivyo ni kwamba kutokana na juhudi hizi ungetegemea kuwa yeye mwenyewe angekuwa anajitahidi kunyoosha maisha yake kwanza. Pengine anadhani kuwa, kama Wasabato wengi wanavyodhani, ile kusali tu siku ya Jumamosi na kushika sheria butu za Mafarisayo, basi moja kwa moja ni tiketi ya kwenda mbinguni. Nimepitia baadhi ya post zake na nimeshangaa sana. Kuhukumu ni kazi ya Mungu lakini angalau ningetemea kuona juhudi za kibinadamu kujaribu kuwa karibu na Mungu? Post zake nyingi zina ukakasi sana. Unafiki wa kutisha!
34e42e7c4c4c0731843724abb6e68014.jpg
f8ae50f547f159e9f698c8fd89451e21.jpg
d27ffb62afc955b0dab8d43b7273ba01.jpg
82e31da050386b410208a6820132f349.jpg
4a4c74065373b2aa9197007ac83c4a35.jpg
052a2109fc0836ed1f059c4a7962e1c4.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyu dogo hatari
 
Back
Top Bottom